Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
- #201
Mwamba tu abstain kuimarisha uhusiano na Muumba..hujaona hiyo point hapoDadeki ilinyanduana na pepo mchafu weye [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba tu abstain kuimarisha uhusiano na Muumba..hujaona hiyo point hapoDadeki ilinyanduana na pepo mchafu weye [emoji23]
Sio kweli!uhusiano mzuri na Mungu..
Si unakuwa safi kiroho..Sio kweli!
Mwamba tu abstain kuimarisha uhusiano na Muumba..hujaona hiyo point hapo
Jamaa kasema wakati huo hudindisha dushelele usiku na alfajiri 😂😂Si unakuwa safi kiroho..
Labda ndoto nyevu[emoji849]Hakuna point hapo, kazini na pepo mchafu kisha akapiz ni takatifu gani huo?
Na hizo nyege za usingizini alizipata wapi wakati amejiweka wakfu 7 days?
Umeanza kuelewana sasa, ni kweli kabisa ukiota unashiriki ngono ndoto ujue umefunga ndoa na jini.Labda ndoto nyevu[emoji849]
Ila nasikia unakuwa hatarini kutawaliwa na jini mahaba..hasa ukichelewa kuoa..which is more risky
Nami nsindikize kwa mwamposa nkaombewe[emoji4]T
Umeanza kuelewana sasa, ni kweli kabisa ukiota unashiriki ngono ndoto ujue umefunga ndoa na jini.
Sasa mwamba keshakojozwa na jini utakatifu autoe wapi.
Ni vyema aende akaombewe tu [emoji23]
Unaukemea na kuuambia uache kiherehere, sio vyote uvionavyo ni vya kugusa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ikifika tarehe 20 mwezi huu nafunga miezi mitatu,nakuwa busy na kazi-nikichoka hata ngono siwazi kabisa.Ila akakikaa binti jirani tu mnara unasoma 5G kwa muda kisha unatulia.
Wewe naweza kukuombea mm wala huna haja ya kwenda kwa mwamposa, nipe tu location nitakuja kukuombea bure na nitakupaka mafuta buree kabisa.Nami nsindikize kwa mwamposa nkaombewe[emoji4]
Au siyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyinyi endeleeni kuwaza upuuzi ila mimi bado madili yangu mawili tu muaze kusema mmesoma na mimi
no ucnchukulie vby mana kwa nlivosoma comments inaonekana wewe ndo umelitunza tunda mda mrefu miaka 7. Sa nkawa nasema unaujasir umewezaje au ulikeketwa. Samahan laknKukeketwa tena[emoji849]
5yrs
Miaka 5 mbona kawaida sana mshamba_hachekwichai mchana mchana sio poa😂
Inawezekana kabisaa Abigail NabalMie naelekea 7 years
Kama sina hela, hisia huwa zinakimbia kabisa
haijakaa sawa.... hilo ni PEPO nalikemeaMiaka 5 mbona kawaida sana @mshamba_hachekwi
Tatizo tunapambana hivyo hivyo, tunaishia kupata za kubadilishia dagaa tuHiyo ndio tofauti kati ya wanaume na marioooo
Endelea kutafuta hela bro💪
Why?Mie naelekea 7 years