Unaweza kula chakula gani kila siku bila kukikinai?

Unaweza kula chakula gani kila siku bila kukikinai?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nambie msosi gani hata ukiwa unaula mwaka mzima huwezi kuuchoka.

Mimi mihogo na makange ya samaki, ukiniandalia nitakula asubuhi mchana na jioni siku zote za maisha yangu.samaki Hakifu kama nyama

48BCFB13-DC2D-47EC-9B63-24498E00278F.jpeg

097BB753-96B3-4832-A70A-FBB87E84175D.jpeg
 
Mimi napenda wali nazi na maharagwe na Mke wangu ashafahamu hilo basi kama wapemba vile.
Wali unachosha mkuu.

Mimi nilikua napenda sana nyama mpaka wife akajua so for years ikawa ni bandika bandua currently sipendi tena sijui kuku, nyama za mbuzi, ng'ombe, kitimoto N.k

sipendi sijui maharage maana nilikulaga sana boarding school so sijawai penda maharage..

Saivi sijui Kwa kweli Nile nini nacho penda..
 
Back
Top Bottom