Afta
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 469
- 724
Chapati na chai masala TANGAWIZI izidi radha ya viungo vyote(iwekali)Chapati au chapoo za kusukuma ikiwa na chai ya rangi au maziwa.
Ugali dona wenye mboga za majani na mboga nyinginezo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chapati na chai masala TANGAWIZI izidi radha ya viungo vyote(iwekali)Chapati au chapoo za kusukuma ikiwa na chai ya rangi au maziwa.
Ugali dona wenye mboga za majani na mboga nyinginezo.
jazia nyamaNdo Basi Tena hamna kitu hapa😃😃
hahah hiyo ya wachache sana!!Hii aisee safi sana hata Mimi naielewa
Sasa kuna chai haina Tangawizi? Hiyo inakua siyo chai ni maji yaliyochemshwaChapati na chai masala TANGAWIZI izidi radha ya viungo vyote(iwekali)
na ceres pembeni siochipsi na mishkaki
nikajua utasema supu binti kiziwi kwasababu ya posts zako kwenye ule uziUgali dagaa wa mwanza
Ndizi nyama
Chips kavu
Mihogo na dagaa au mishikaki weee!
Pepsi 😅
Hapo kwa wapemba ndo umenichekesha khaaa wale watu wanapenda wali jamani 😂😂🙌🏻Mimi napenda wali nazi na maharagwe na Mke wangu ashafahamu hilo basi kama wapemba vile.
😃 😃 😃 ya Apple au Zabibuna ceres pembeni sio
Mkuu hapa hapa nchini nchini Kizimkazi hivyo vitu vipo kweli😂Chinese fried rice iwe na matango, baby corns, eggs na niurou...
Hii uipate na iced tea yenye flavor ya peach au lemon...
anakinaisha, ila lazima watu wakusahauHata chair fire, jaribu kumla miezi mi3 mfululizo kisha utakuja niambia hapa.
Sawa,, lakini Kwahiyo wewe ndo unapenda kula chips yai sio😃😃jazia nyama
yeah, tena ziko air fried, safi kabisa, kwani vipiSawa,, lakini Kwahiyo wewe ndo unapenda kula chips yai sio😃😃
HahahahahahUgali majani ya,maboga,au nguniyani,kunde au tembele na sangara mkavu vibambala.
Mi hata unifunge jela maisha kwa misosi hiyo tutaelewana nayo tu lugha zetu.
Mkuu hapa hapa nchini nchini Kizimkazi hivyo vitu vipo kweli😂