ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
- #61
Hio uhakika hata mimiugali maziwa na kitimotooo ndizii weeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio uhakika hata mimiugali maziwa na kitimotooo ndizii weeeeee
Inabid utuwekee uzi tujifunze na sisi mkuuVipo kwenye migahawa ya kichina, na pia najua namna ya kutengeneza...
Inabid utuwekee uzi tujifunze na sisi mkuu
Ugali tu, mboga yoyote.Nambie msosi gani hata ukiwa unaula mwaka mzima huwezi kuuchoka.
Mimi mihogo na makange ya samaki, ukiniandalia nitakula asubuhi mchana na jioni siku zote za maisha yangu.samaki Hakifu kama nyama
tuwekee mkuu wengine wageniUzi upo niliuandika miaka mingi kidogo iliyopita...
tuwekee mkuu wengine wageni
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa hata nonino ni sawa tu mtu kukinai🤣🤣Kukinai ni kitu cha asili kabisa ndani mwetu, ni ngumu saana kula kitu hicho hicho daily na kuendelea kufeel the same.
Use observe vizuri sana, kuna muda hatuli chakula kwa kupenda, tunakula sababu kinapendwa na wengi. Mimi nyumbani kwangu supu inabamba watu wote asubuhi na jioni. Ila hivyo vyakula nilivyotaja navipenda pekeyangu hata vikipikwa I'll end up mealing alone. Kwahiyo tunafanya wengi wape.... hatujafika ile point ya kila mtu kula akipendacho.nikajua utasema supu binti kiziwi kwasababu ya posts zako kwenye ule uzi
Kama unaishi mjini fika pale Rombo greenview Sinza/Shekilango, tena saa hii ndio muda wenyewe wa shindano, utaona glass kubwa kubwa zamtindi wa baridiiii zinapitishwa pitishwa ndipo utajua kwa hakika umefika eneo la tukio.Ugali nyama choma kachumbari pembeni na mrindi,
Vipi kuna sehemu wana shindano au tunapogezeana muda tuu?
Lazima unatokea kamachumu au kashaiUwiiii 🤭🤭
View attachment 2888361
Very true mkuu itakua sabb na vicent vya kubadili mboga....sababu huna hela kwahy unakula mpaka njaa iume na njaa ikiuma haichagui ki2 cha kula wala ukipendacho yenyewe ndio hukuandalia
Naunga mkono hoja😊Kukinai ni kitu cha asili kabisa ndani mwetu, ni ngumu saana kula kitu hicho hicho daily na kuendelea kufeel the same.
Mpare na makande😂😂🤣🤣Hehehe mchaga na wali maharage...
Mm nikimla Leo hamu inaisha kabisa hadi siku nyingine siwezi mla mfululizo, nyama ya mbuzi ndo naweza kula mfululizo Kuna wakati nilikua umasaini huko kwenye minada yao utakula nyama hadi ukimbie lakini cha ajabu hawana vitambi na daily wanagonga nyama na beer hazikosi mpaka vijijini siku hizi.Hata chair fire, jaribu kumla miezi mi3 mfululizo kisha utakuja niambia hapa.