Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,•Wali maharage
•Makande
WapareMakande ni chakula Cha
Nikienda huko upareni with no options basi ntakonda sana maana makande Huwa siyakubali kabisa maana ni Moja ya INFERIOR FOODS hapa ulimwenguniWapare
Wapare hawali makande tu pekee wanakula na vinginevyoNikienda huko upareni with no options basi ntakonda sana maana makande Huwa siyakubali kabisa maana ni Moja ya INFERIOR FOODS hapa ulimwenguni
Tafuta pesa kijana.... Chakula kisichokinai ni pesa tu!...Nambie msosi gani hata ukiwa unaula mwaka mzima huwezi kuuchoka.
Mimi mihogo na makange ya samaki, ukiniandalia nitakula asubuhi mchana na jioni siku zote za maisha yangu.samaki Hakifu kama nyama
Mkuu topic ni chakula sio pesa, mbona unapenda kufanya mambo yaonekane magumuTafuta pesa kijana.... Chakula kisichokinai ni pesa tu!...
Ukiendelea kutafta pesa na kuzipatia... utagundua ya kwamba....kadri unavyokuwa na pesa unapoteza hamu ya vyakula pendwa vingi tu
Usipokuwa na pesa ndipo unaona vyakula havikinai!
Ushawahi kuona mtu mwenye pesa anawaza kula-kula hovyo! Kama wewe!?
Hiki ukishakula uende ukale mzigo ongeza pilipiliMchemsho
Chakula chake itakua ni Pesa anakunya Mia Mia Mia 2Mkuu topic ni chakula sio pesa, mbona unapenda kufanya mambo yaonekane magumu
They say...."The last dream never come true!Mkuu topic ni chakula sio pesa, mbona unapenda kufanya mambo yaonekane magumu
Yaani hii nchi kuna watu wajuaji kumbe kichwani utumbo tu mtu anauliza chakula yeye analeta habari ya kutafuta pesa! Sasa nani asiyejua chakula lazima uwe na pesa na ufanye kazi. Acha tu CCM ITAAWALEChakula chake itakua ni Pesa anakunya Mia Mia Mia 2
acha ujuaji mdogo wangu, soma title mbona wenzako wamechangia fresh, kujua kwngi mbele kiza Halafu kujifanya kuandika kingereza akuondoi ukweli kwamba huna akiliThey say...."The last dream never come true!
So keep dreaming about recipes!
Atakua anakunya buku buku usiogopeYaani hii nchi kuna watu wajuaji kumbe kichwani utumbo tu mtu anauliza chakula yeye analeta habari ya kutafuta pesa! Sasa nani asiyejua chakula lazima uwe na pesa na ufanye kazi. Acha tu CCM ITAAWALE
Apige na gambe Kwa mbaliiiii ndege John analijua hili 😊😊😊😊Hiki ukishakula uende ukale mzigo ongeza pilipili
Arguing with a ratite, Proves there are two flightless!acha ujuaji mdogo wangu, soma title mbona wenzako wamechangia fresh, kujua kwngi mbele kiza Halafu kujifanya kuandika kingereza akuondoi ukweli kwamba huna akili
pumzika kila mtu kashakuona ulivyo mpumbavu kwa kujifanya mjuajiArguing with a ratite, Proves there are two flightless!
Period!