Unaweza kula chakula gani kila siku bila kukikinai?

Unaweza kula chakula gani kila siku bila kukikinai?

Mkuu,
Mimi makande nayachukia sana niliyalaga boarding school with no options Yale makande walikua wakipewa nguruwe wanagoma kula tangia hapo Nika ingia confrontation na neno makande kuliko makande yenyewe😊😊

Makande ni chakula Cha kuwaulia wanyama walio shindikana marekani yaani chakula hicho sijawai kipenda Abadan I HATE MAKANDE
Pole sana kiongozi. Huenda ulikula makande yaliyopikwa vibaya, ukikutana na watu wanaojua kupika kande hutazichukia.
 
Huenda na maisha yao ya mikiki mikiki, ni mazoezi tosha, sisi huku ofisini, ukitoka upo kwenye kibaby walker chako, mitungi, nyama kwa sana, ukitoka kibaby walker unaenda lala, bado mavyakula ya hovyo ni mengi, junks food huku ni kwa sana tofauti na huko vijijini.
Kilichonishinda kule ni kunywa damu ya ng'ombe wakati mwinginne wanaikaanga yanatokea mabongemabonge kama maini hivi.
 
Halafu hizo Dagaa ziwekwe Karanga ya kusaga na siyo nazi... Uchanganye Bamia au nyanya chungu....

Jamani jamani[emoji39][emoji39]
Umesahau kitu kimoja tu hapo guess what.........pilipili ya mwendo kasi toa mbegu zote kisha lidumbukize ndani ya bakuli nimeagiza dagaa mwanza hawana mchanga kabisa wasafi then naambiwa debe 25,000 na hapo naambiwa kwamba bei imepanda mwezi umeenda giza.
 
Back
Top Bottom