Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Bado hujajibu swaliNiko poa kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujajibu swaliNiko poa kabisa.
Bado hujajibu swali
Mi hiki hapaNambie msosi gani hata ukiwa unaula mwaka mzima huwezi kuuchoka.
Mimi mihogo na makange ya samaki, ukiniandalia nitakula asubuhi mchana na jioni siku zote za maisha yangu.samaki Hakifu kama nyama
I see. Halafu mimi sio mkuu [emoji16]Chakula ni pilau tu mkuu [emoji23]
I see. Halafu mimi sio mkuu [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] I give upBasi Boss au chief [emoji28]
Asante! Dj, hii ni kwa wotewali arage aisee na ukoko wake
Hapo pa ugali dagaa wa Mwanza tupo pamoja. My fav😋Ndizi nyama...
Ugali Dagaa wa Mwanza..
Wali Maharage...
Kiburu.
Boarding kweli hata mie ilinifanya niyachukie maharage.Wali unachosha mkuu.
Mimi nilikua napenda sana nyama mpaka wife akajua so for years ikawa ni bandika bandua currently sipendi tena sijui kuku, nyama za mbuzi, ng'ombe, kitimoto N.k
sipendi sijui maharage maana nilikulaga sana boarding school so sijawai penda maharage..
Saivi sijui Kwa kweli Nile nini nacho penda..
Hebu hukooo!!!Chinese fried rice iwe na matango, baby corns, eggs na niurou...
Hii uipate na iced tea yenye flavor ya peach au lemon...
Hebu hukooo!!!
Unajikuta mchina mwenyewe baada ya kupiga ubwabwa na parachichi 🤣🤣🤣Acha loho mbaya mkwe...😊
Ukija ushagoo kwetu nikupeleke kwa macho madogo ukashangaze enzymes...
Unajikuta mchina mwenyewe baada ya kupiga ubwabwa na parachichi 🤣🤣🤣
Mboga mboga tena...unachafua wali bwanaWali maharage na mboga mboga
Mboga ya serikali 😊😊😊Boarding kweli hata mie ilinifanya niyachukie maharage.
Kamchicha fulani hivi na matunda kwa mbali...Mboga mboga tena...unachafua wali bwana
Sio mpemba kweli wewe😀Wali asee, hata kama hauna maharage huwa natumia wali tena kama mboga.