Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Sawa dogo ukikua utayaonaWatu wanakula ugali mkavu au kwa kutoezea kwenye maji ya chumvi sembuze hii? Kua uyaone dogo!
Watu wanakula ugali na chumvi....Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Nini shida dogo.Huo msosi powa kabisa.Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Maigizo haya!!Wakishua bhana
Kupuka siyo kuunga pekee.kwa ambao hamjaelewa mweka mada anamaanisha, unaweza kudate mdada asiejua kupika...??
punguza kiherehere mkuuKupuka siyo kuunga pekee.
hawaelewi ya kitaa sioWakishua bhana
Kujua kupika for what? Restaurant zipoπββοΈπββοΈπββοΈkwa ambao hamjaelewa mweka mada anamaanisha, unaweza kudate mdada asiejua kupika...??
Hata mimi naonaKujua kupika for what? Restaurant zipoπββοΈπββοΈπββοΈ
Hamna. Anachangamsha umati wa JF. Huyu ni mwenzetu wa kawaida. Msimpopoe maweSawa dogo ukikua utayaona