Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Hujaelewa, sio kupika chakula, ni Kupika Yas au Mixxxx by Yas aka TiGOKujua kupika for what? Restaurant zipo[emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaelewa, sio kupika chakula, ni Kupika Yas au Mixxxx by Yas aka TiGOKujua kupika for what? Restaurant zipo[emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Unatutamanisha mkuu kwanini tusiweze sasa?Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Tumeoa huko mkuu usiseme hivyoWapare wanakula ugali kwa picha ya samaki sembuse nyama ambayo haijaungwa
Kwa wali unakuwa mtam sana lakini ugali hapanaUnaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Hawa ni wapare wa wapi asee😐?Wapare wanakula ugali kwa picha ya samaki sembuse nyama ambayo haijaungwa
hedaruHawa ni wapare wa wapi asee😐?
Iyo kisamvu ni kwere😂Mimi ninaweza
ila hivi vitu vimeliwa sana na watu tuliopitia shule za bweni zilizo chini ya serikali.
Ugali Kwa supu ya nyama.
Ugali Kwa supu ya maharage
Wali Kwa supu ya nyama/maharage
Makande mchemsho
Afu wengine wamekula mpaka kisamvu mchemsho Kwa ugali
Duh😅😅Hujaelewa, sio kupika chakula, ni Kupika Yas au Mixxxx by Yas aka TiGO
sio wapare wote, wakwe zetu wapo vizuriTumeoa huko mkuu usiseme hivyo
Ndio mkuu tumeoa huko na hawali ugali na picha ya Samakisio wapare wote, wakwe zetu wapo vizuri
Jirani...Naunga vyakula kwasababu wanakula wengine, kama ni mimi pekeyangu au na mama yangu, ugali na supu au wali na supu ndio mambo yetu.
Kwahiyo huo msosi hapo mezani ni perfect kabisa.
Tutaenda kuoa huko very soon tule ugali mchemshoMapishi ya watu wa Musoma hayo...
Mambo ya kuunga nyama sijui samaki siyo mambo yao...
Na inakuaga tamu kuliko michuzi iliyowekwa viungo..
😂😂😂DuH 🙄 na njaa hii unaweka msosi huo kabisa we mkuu unanitafutia nini la moyoni
Jirani si ndioo!? Tukienda jikoni kwa Rehema tutatoa special order ya ugali, kichuri na pilipili kwa wingi 😋Jirani...
Hawa watoto wakishua wanakuaga nyoronyoro sana...😂
Hapo huku kwetu tunatupia kichuri na pilipili kwa wingiii😋