Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyama choma kachumbari pilipili kimtindo na bia ya baridi 😋Kuna Yale malevi yanayokulaga ugali na nyama choma kavu kavu sijui yanashushaje kuelekea tumboni
Tumekula sana JKT wale waliokuwa enzi za mwalimuUnaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungl
Labla nyama chomaNyama ambayo haijaungwa ni supu , na inashuka vizuri tu na ugali
Hayo maisha siyawezi kwa kweli!Mimi ninaweza
ila hivi vitu vimeliwa sana na watu tuliopitia shule za bweni zilizo chini ya serikali.
Ugali Kwa supu ya nyama.
Ugali Kwa supu ya maharage
Wali Kwa supu ya nyama/maharage
Makande mchemsho
Afu wengine wamekula mpaka kisamvu mchemsho Kwa ugali
Duduke dudu keDuh[emoji28][emoji28]
Hiyo kitu inashuka vizuri, tena kwenye picha hapo kuna nyama nyingi sana, kuna mdau humu alipiga ugali na dagaa wa kuchemsha, tena walikuwa hawajaungwaHayo maisha siyawezi kwa kweli!
Ninachoweza kula hapo ni wali kwa supu ya nyama tu!
YeahHapo imekosekana pilipili tu
unasikia?Naunga vyakula kwasababu wanakula wengine, kama ni mimi pekeyangu au na mama yangu, ugali na supu au wali na supu ndio mambo yetu.
Kwahiyo huo msosi hapo mezani ni perfect kabisa.
Jamani, why not 😀unasikia?
kama unasikia kwanini ujiite kiziwi?Jamani, why not 😀
Kabla sijawa mshangazi nilikuwa nafanana na binti kiziwi wa Z anto.kama unasikia kwanini ujiite kiziwi?
wee!Kabla sijawa mshangazi nilikuwa nafanana na binti kiziwi wa Z anto.
Ndio ndiooo!wee!
kweli?
Picha hii ni ya nyama na ugali, siyo ugali na nyama!Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Labda huko kwenu, sisi huku mnyama akinona tuu, tunachinja.Mbongo hapiki Nyama Hadi Mambo mawili yatokee.
1. Awe anaumwa.
2.Mnyama anaumwa .
Nyongeza
3. Mhusika na Mfugo wake wote wanaumwa.
Zis z Afrika.