Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Wakishua wapi?huyo ni kijana wa hovyo tu kuuliza maswali ya kiwakiWakishua bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakishua wapi?huyo ni kijana wa hovyo tu kuuliza maswali ya kiwakiWakishua bhana
Haya toka kwa mama haraka sana.nikukute pm kwanguNaunga vyakula kwasababu wanakula wengine, kama ni mimi pekeyangu au na mama yangu, ugali na supu au wali na supu ndio mambo yetu.
Kwahiyo huo msosi hapo mezani ni perfect kabisa.
Naogopa hilo jina mkuu!Haya toka kwa mama haraka sana.nikukute pm kwangu
hutaki kua tajiriNaogopa hilo jina mkuu!
😀
Karibu kanda ya ziwa kwenye misiba huo ndio msosi na wali maharageUnaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Uko mm sipoo 😂😂😂😂Watu wamekomaa kuongelea msosi alafu ukute mleta mada yeye ana maanisha kula mwanamke asiye na shanga kiunoni 😂😂
ivyo tu ? Mbona mkavu mm nakula!! Au ugali na miwa au ugali na embe unaweza??Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Tumekula sana 5&6 iyo kitu, tena inagombaniwa kinoma. Watu tunakula ugali na nyama choma, sembuse iyo ina supu kabisa🤤🤤Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Ewaaa hizi ndio.pigo zangu alafu pemben uwe.na salad ya parachichi hadi mate yameshukaUnaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
Ewaaaaah kalibu tuleEwaaa hizi ndio.pigo zangu alafu pemben uwe.na salad ya parachichi hadi mate yameshuka
Nataka , masharti ndio kasheshe 🤣hutaki kua tajiri
Asante sanaEwaaaaah kalibu tule
Wapi hapo ndio nimeamka na bia hapa
Unalika vyema tu tena nyama iwe nyingi hivyo hivyo😁Unaweza kula ugali na nyama ambayo haijaungwa.?View attachment 3165185
njoo kwetuWapi hapo ndio nimeamka na bia hapa