Kwani upo namtumbo!? Samahan nilijua upo nanjilinji😅Namtumbo kumbe nayo ni abroad ziheshimiwe vpn kwa kweli 😄😄😄
Tupo same Watsap group...Mchuzi wa hivyo kwangu ni favourite kuliko mchuzi wa kuungwa na nyanya
Ka nyamwi kaone 😛@
Kwani upo namtumbo!? Samahan nilijua upo nanjilinji😅
Dada yangu nikikuona nafarijiika ujue😶Tupo same Watsap group...
Hebu niambie kwanza mdogo wangu...Dada yangu nikikuona nafarijiika ujue😶
Kutoka wap kwenda moshi?Hebu niambie kwanza mdogo wangu...
Dadako sina nauli December hii🤔
Kuhusu nini?The Icebreaker nisaidie mkuu😁😁😁😁
😆Deka tuHebu niambie kwanza mdogo wangu...
Dadako sina nauli December hii🤔
Kuna watu ukiwaambia hv wanafikri utani, lakin ukwel ni kwamba maisha ya wengi (watanzania) yapo hvyo!Watu wanakula ugali mkavu au kwa kutoezea kwenye maji ya chumvi sembuze hii? Kina Mshana Jr wanakula ugali kwa kuangalia picha ya samaki ije kuwa nyama halisi! Kua uyaone dogo!
Ndiyo Kaka...Kutoka wap kwenda moshi?
Sema half London bhana, ukija nakusubiriaNdiyo Kaka...
Kutoka Darsalade kwenda Mrenyi😄
Tumekula sana ivo enzi Za Same Boys
Tuonane mitaa ya Rau😃Sema half London bhana, ukija nakusubiria
Kuna mafuriko, tuonane tambarareTuonane mitaa ya Rau😃