Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa mkuu.Hii kitu simshauri. Itamtesa sana kisaikolojia, kijamii, kisiasa, kitamaduni na kisayansi pia.
Kwanza unakulaje dem unajua kabisa flan ashakula hapo?. Hata asingekuwa rafki ake..... Kitendo cha kujua kuwa flan amechakata kinaathiri sana akili.
Mwambia HAWARA HAWAACHANI.
I love you so much.Halua haina makombo
Je wanaooa single mother Sasa wenyewe unawaambieje hapo ??Hii kitu simshauri. Itamtesa sana kisaikolojia, kijamii, kisiasa, kitamaduni na kisayansi pia.
Kwanza unakulaje dem unajua kabisa flan ashakula hapo?. Hata asingekuwa rafki ake..... Kitendo cha kujua kuwa flan amechakata kinaathiri sana akili.
Halua haina makombo
Mwache dada apate stara, huyu chovya chovya zilipendwa.😂😂😂😂😂😂 jamaa ni chovya chovya anaweza kutaka KUCHOVYA tena. Mimi ushauri wangu aingie mitini.
Hao n wamejitoa muhanga, so hata uwape neno haitawaokoa.Je wanaooa single mother Sasa wenyewe unawaambieje hapo ??
Afu kwangu kusalitiwa huwa sio inshu sana kwangu,kikubwa kuheshimiwa
Tofautisha demu wa kuchakata na mke wa kuoa.Mimi alimuacha rafki angu akahamisha majeshi kwangu,,jamaa nilimueleza kila tukio ambalo mtto alkua akilifanya wakiwa na jamaa ,, mshikaji akaniruhusu kuchakata manzi yake na akaachana nae hata hivyo mtot nae akamueleza jamaa kila kitu. Kifupi jamaa ndio alikuwa hajatulia mpaka mtto kuhamia kwang ni 5 yrs mpaka sasa bado nachakata na jamaa urafiki haujawahi shuka hata nukta kwani kuna wakati namchakatia kwa jamaa na michongo tunafanya safi tu.
Sent from my SH-02J using JamiiForums mobile app
Huwa najihis kama siwez kusalitiwa.Mkuu unaongea kirahis sana kias kwamba inaonyesha hauko serious na iz mambo kwakweliiii