Challya
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 469
- 606
Aisee kama unataka kuoa demu ambaye sio bikra, ukijaribu tu kufungua mafaili yake ya huko nyuma aisee nakwambia hakika hutaoa. Unaweza achana na huyo kutokana ametembea tu na rafiki yako na ukaja kupata mwingine ambae ndio ana worst past life, so mi nakushauri kama anaeleweka tulia nae.