Ilikuaje mkuu?Kuna mshkaji ilikuwa kazi yake hiyo ila wasukuma walimuua kikatili mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuaje mkuu?Kuna mshkaji ilikuwa kazi yake hiyo ila wasukuma walimuua kikatili mno
Kila kitu haramu kina faida kubwa sana, na madhara yake ni makubwa pia, halikadhalika, anguko lake ni kubwa sanaBiashara ya nyama ya ng’ombe inalipa zaidi ukijihusisha na ng’ombe za deal😂 ila haki haki utachelewa
Kijij gani hichoKwa dsm mabucha yanauza at least
Mimi kule kijijini kwetu jumapili ukichinja ng'ombe wa kg 150 anaisha hata saa sita haifiki!
Katikati ya wiki unachinja mbuzi au kondoo hata mara mbili
Kwa kijijini kwetu uwe na moto na masufuria basi!
Wanaobisha sijui lkn my father was doing this hata mm nawish kuwa na bucha la kisasa lenye kila kitu so lzm niuze 50kg lkn kuloga muhimu 😂
Rombo huko mkuuKijij gani hicho
Mkuu… biashara haipo ivo!!Assume kila siku utauza Kg 50 pekee na hizo 25Kg zitabaki.
Bro Mimi ni mfugaji na nina mabucha, ni biashara ninayoifahamu ndani na nje.
Amani Mshana, tatizo lenu ndugu zangu Wapare nyie ni wabishi mno na ni wajuaji sana
JichShukrani Kwa motisha Kiongozi
Kumbe tunaweza kukopa milioni 10 ukafungua bucha mbili, ambapo Kwa mahesabu hayo, baada ya Mwaka unakuwa umelipa deni na Faida ya almost 10M inakuwa imepatikana
Subscribed 👊
Yes yani kwa kifupi usije ukaingia kichwa kichwa kama alivyo eleza hapo kwenye makaratasi, uhalisia n tofauti kabisa yaani🙌Kuna mtu niliwahi kutaka kumfungulia hiyo biashara
Kabla mambo hayakaa sawa nikabadiri mipango baada kusita.
Nadhani hiyo biashara inahitaji research ya kutosha kabla hujafanya
Watu kuongea rahisi, vitendo sasaBiashara kwenye makaratasi na ground ni vitu viwili tofauti unaweza kujiona bilionea kwenye karatasi lakini ground huko dio mziki ulipo.
Labda uwe unanua za wizi na mizoga
Hii kazi naijua vizuri sana
Nawajua majambazi wenye mabucha na ndio kazi zao kununua za wizi ila hawana furaha unawaona tu na wanakufa kwa pressure na kisukari kwa sababu ya life style wanayobadilisha pindi wanapopata helaUkinunua NYAMA za wizi BIASHARA lazima utaiona mbaya. Maana jina lako litachafuliwa vibaya pia utakuwa na maisha ya kukaa MAHABUSU mara kwa mara.
KumbeBiashara ya nyama ya ng’ombe inalipa zaidi ukijihusisha na ng’ombe za deal😂 ila haki haki utachelewa
Ni kweli Mkuu, mambo ya kwenye writings na ground huwa ni tofauti sanaYes yani kwa kifupi usije ukaingia kichwa kichwa kama alivyo eleza hapo kwenye makaratasi, uhalisia n tofauti kabisa yaani🙌
Na mimi ni mfugaji, hakika yeyote anayebainika kuwa mwizi wa mifugo hasa ng'ombe hakuna namna yoyote ya kumuacha zaidi ya kuondoa uhai wake.Kuna mshkaji ilikuwa kazi yake hiyo ila wasukuma walimuua kikatili mno
Nimewahi kushuhudia ulaji wa nyama maeneo ya Shimbi yaani siku ya Jumapili na Alhamisi nyama hata uchinje ng'ombe 3 wanaisha siku hiyo hiyo, na nikabaini mtu kama yuko maeneo ya Rombo hii fursa ni nzuri sana.Kwa dsm mabucha yanauza at least
Mimi kule kijijini kwetu jumapili ukichinja ng'ombe wa kg 150 anaisha hata saa sita haifiki!
Katikati ya wiki unachinja mbuzi au kondoo hata mara mbili
Kwa kijijini kwetu uwe na moto na masufuria basi!
Wanaobisha sijui lkn my father was doing this hata mm nawish kuwa na bucha la kisasa lenye kila kitu so lzm niuze 50kg lkn kuloga muhimu 😂