Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Hata Mimi ni wa Rombo Tarakea ko kitu ni kile kile...... Yaaan ng'ombe wanalika sanaNimewahi kushu
Nimewahi kushuhudia ulaji wa nyama maeneo ya Shimbi yaani siku ya Jumapili na Alhamisi nyama hata uchinje ng'ombe 3 wanaisha siku hiyo hiyo, na nikabaini mtu kama yuko maeneo ya Rombo hii fursa ni nzuri sana.
AchaaaπNi kweli Mkuu, mambo ya kwenye writings na ground huwa ni tofauti sana
Unaweza kukopa kisha kujaribu kuingia Kwenye hiyo biashara ukabaki na madeni tu huku Mtaji ukikata bila returns
Tajiri mimi nakushukuru hili wazo tayari nilishaongea na My Wife.Wazo: BUCHA La NyamaCapital: 4MBidhaa: Nyama ya Ng'ombeKwanza, Biashara hii ni Fursa nzuri sana ikiwa tu itaendeshwa kwa Ufanisi na kwa kutumia vifaa vya kisasa, kwasabb NYAMA inalika kila kona ya nchi. Nataka nikupe mchanganuo mzima kuanzia Mtaji hadi FAIDA inavyopatikana.
View attachment 3235498
GHARAMA:
1. Frame: 150k Γ 3months (450,000)
2. Mashine ya Kukatia (1.2M)
3. Mzani Digital (Kg40) (120,000)
4. Freezer (200L) (800,000)
5. Visu, mifuko etc (100,000)
6. Mabango (500,000)7. Vibali E.g Leseni, Ukaguzi,Cheti cha Afya, Halmashauri (200,000)TOTAL= Tshs. 3,370,000
View attachment 3235497
Nyama machinjioni 1Kg =8,000
Tuseme utachuku Kilo 75.
75 Γ 8,000 = 600,000
Usafiri (machinjioni- buchani) 15,000
JumlishaπVifaa + mtaji wa nyama + usafiri)(3,370,000 + 600,000 + 15,000) + Umeme 5,000
Jumla ni 3,990,000/=
Assume kila siku utauza Kg 50 pekee na hizo 25Kg zitabaki. Ukumbuke sehemu unaweza kulipa kodi ya 150,000 kwa mwezi ni site nzuri, means bado ulikuwa na uwezo wa kutafuta Frame ya 70K au Laki moja, Lkn mimi nimekupendekezea utafute sehemu nzuri kodi 150K. Bei ya buchani = 10K+
Mahesabu:50Kg X 10,000 = 500K TOA Mtaji (50Kg)- 400,000 Mfanyakazi- 10,000
Usafiri hadi buchani- 15,000
Mifuko ya kufungia- 5,000 Umeme- 5k
Jumla = 435K
500,000 - 435,000 #FAIDA (Tshs 65,000)
Everday deposit Bank Tshs 40,000/= Remain with 25K
Kwa mwaka:40,000 X 365 Days = 14,600,000
Kumbuka hiyo ni Bucha moja tu, Times Two (02) butchery.14.6M Γ 2 = 29,200,000 within 1 Year.
Lengo letu miaka ni miaka miwili.29.2M X Two Years = 58.4Millions
Hapo nimekupigia mahesabu ya Bucha mbili pekee na kila siku utauza 50Kg
Una manisha ngombe za wizi?π€£π€£Biashara ya nyama ya ngβombe inalipa zaidi ukijihusisha na ngβombe za dealπ ila haki haki utachelewa
Hizo zana kijijini ndo zenyewe mashine umkatie mtu mifupa watakususia πTajiri mimi nakushukuru hili wazo tayari nilishaongea na My Wife.
Sina mtaji ila naanza kujikusanya kwa maeneo niliyopo nahitaji kama 2M tu.
Hiyo Mahsine ya 1.2M naachana nayo kwanza naanza na Mapanga na visu na gogo la Mtiπ€£π€£
Deal=wizi?π€£π€£π€£π€£π€£πΊπΊπΊBiashara ya nyama ya ngβombe inalipa zaidi ukijihusisha na ngβombe za dealπ ila haki haki utachelewa
Hatari πAchaaaπ
Buchani hakuna utajiri mkuu ni hela ya Mboga tuu!Hii. Kitu inatembea sana utazan kweli basi
Hapo unaweza Kuta alinunua ng'ombe wa wizi kwa kujua au bila kujua!Kuna mshkaji ilikuwa kazi yake hiyo ila wasukuma walimuua kikatili mno
Kwa hiyo wewe ni mtoto wa kigagula!Kwa dsm mabucha yanauza at least
Mimi kule kijijini kwetu jumapili ukichinja ng'ombe wa kg 150 anaisha hata saa sita haifiki!
Katikati ya wiki unachinja mbuzi au kondoo hata mara mbili
Kwa kijijini kwetu uwe na moto na masufuria basi!
Wanaobisha sijui lkn my father was doing this hata mm nawish kuwa na bucha la kisasa lenye kila kitu so lzm niuze 50kg lkn kuloga muhimu π
Hapana yeye alikuwa anawaibaHapo unaweza Kuta alinunua ng'ombe wa wizi kwa kujua au bila kujua!
Kigagula ndo nn kimwakaleliKwa hiyo wewe ni mtoto wa kigagula!
Biashara ya maandishi kuiweka kwenye fremu ni mtihani mwingine.....kikubwa umesomekaWazo: BUCHA La NyamaCapital: 4MBidhaa: Nyama ya Ng'ombeKwanza, Biashara hii ni Fursa nzuri sana ikiwa tu itaendeshwa kwa Ufanisi na kwa kutumia vifaa vya kisasa, kwasabb NYAMA inalika kila kona ya nchi. Nataka nikupe mchanganuo mzima kuanzia Mtaji hadi FAIDA inavyopatikana.
View attachment 3235498
GHARAMA:
1. Frame: 150k Γ 3months (450,000)
2. Mashine ya Kukatia (1.2M)
3. Mzani Digital (Kg40) (120,000)
4. Freezer (200L) (800,000)
5. Visu, mifuko etc (100,000)
6. Mabango (500,000)7. Vibali E.g Leseni, Ukaguzi,Cheti cha Afya, Halmashauri (200,000)TOTAL= Tshs. 3,370,000
View attachment 3235497
Nyama machinjioni 1Kg =8,000
Tuseme utachuku Kilo 75.
75 Γ 8,000 = 600,000
Usafiri (machinjioni- buchani) 15,000
JumlishaπVifaa + mtaji wa nyama + usafiri)(3,370,000 + 600,000 + 15,000) + Umeme 5,000
Jumla ni 3,990,000/=
Assume kila siku utauza Kg 50 pekee na hizo 25Kg zitabaki. Ukumbuke sehemu unaweza kulipa kodi ya 150,000 kwa mwezi ni site nzuri, means bado ulikuwa na uwezo wa kutafuta Frame ya 70K au Laki moja, Lkn mimi nimekupendekezea utafute sehemu nzuri kodi 150K. Bei ya buchani = 10K+
Mahesabu:50Kg X 10,000 = 500K TOA Mtaji (50Kg)- 400,000 Mfanyakazi- 10,000
Usafiri hadi buchani- 15,000
Mifuko ya kufungia- 5,000 Umeme- 5k
Jumla = 435K
500,000 - 435,000 #FAIDA (Tshs 65,000)
Everday deposit Bank Tshs 40,000/= Remain with 25K
Kwa mwaka:40,000 X 365 Days = 14,600,000
Kumbuka hiyo ni Bucha moja tu, Times Two (02) butchery.14.6M Γ 2 = 29,200,000 within 1 Year.
Lengo letu miaka ni miaka miwili.29.2M X Two Years = 58.4Millions
Hapo nimekupigia mahesabu ya Bucha mbili pekee na kila siku utauza 50Kg
Biashara yoyote Ina changamoto iwe kubwa au ndogo π€¨Sawa mkuu, kikubwa hizi hesabu ni za PDF tuko pamoja.π