Unaweza usiambiwe, ila sio vizuri kufanya mambo haya

Mkuu,

Shukurani kwa mafunzo.

Namba 3 hapo vipi kama aliyekupigia hamalizi maongezi anaweza kuongea zaidi ya masaa mawili mambo ambayo unaona hayana tija?
 
Nilifundishwa kwenye miadi usiwahi zaidi ya dakika 15, na usichelewe zaidi ya Dk 5.

Huenda ni mambo ya kizamani najitahidi kuzangatia hili nikiwa na miadi.
 
😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…