But why?
Sina utani kabisa kwenye sekta ya chakula. Nakula hadi mwisho
Ukiniambia karibu kula tambua ya kwamba nikiamua kukaribia nakaribia kiukweli😅Yaani chakula kabisa usile chote, kwanini? Unambakishia nani sasa wakati umeletewa ule na mtu uko na njaa? Au tuanze kupita vibandani kwanza unapiga zege ndio unaenda Kwa watu?
"Karibu kula"Ukiniambia karibu kula tambua ya kwamba nikiamua kukaribia nakaribia kiukweli😅
Uko sahihi, nikikuta mtu kanipigia hua namtumia text ya tafadhali nipigie ht kama nna dkk bukuUkipigiwa simu halafu hajkupokea kwa bahati mbaya. Usipige 👉beep
Kuna wale wanajaza wali, hua nashangaa sana kwan makwao hua hawali?Kwenye bufee usijaze sahani pomoni na usifike mwisho wa vyakula, chagua vyakula usivyovila mara kwa mara. Chukua chupa moja ya kinywaji inatosha. Usijioneshe unajua kula sana. Umekuta meza ina vinywaji vingi usinywe tani yako acha wenyewe watachukua vinywaji vyao. Usirudie kuongeza chakula hata kama hujashiba utaaibika na kuonekana una njaa kali na huwa huli kwako
Subiri kwanza aamue kukaribia..."Karibu kula"
Juice ya kazi gani mkuu, hapo maji tuuWengine wataweka msisitizo sana ukaribie mezani, ila kiuhalisia unachokiona hata hakiwatoshi, kuwa tu muumgwana uombe maji au juice.
HIli sikubaliani na wewe,kwenye msosi hapana.Kwenye bufee usijaze sahani pomoni na usifike mwisho wa vyakula, chagua vyakula usivyovila mara kwa mara. Chukua chupa moja ya kinywaji inatosha. Usijioneshe unajua kula sana. Umekuta meza ina vinywaji vingi usinywe tani yako acha wenyewe watachukua vinywaji vyao. Usirudie kuongeza chakula hata kama hujashiba utaaibika na kuonekana una njaa kali na huwa huli kwako
Kuna siku nilitolewa out na mchumba wangu, nikaagiza chips nikaletewa na kuku nusu
Nikala chipsi na paja, kidari nikafunga na tishu tukarudi home
Kile kidari usiku wa kesho yake nikapika na wali tukala
Najua tu kuna maneno aliongea moyoni atajijua mwenyewe mimi sijali kwa kweli..!😂🤸
Pia uswahilini ukioga mchana unaulizwa unakwenda wapi?Kuna baadhi ya sehemu usipokula chakula cha msibani unaonekana una dharau na wako radhi kwenye msiba wa nyumbani kwako wote wakufanyie hivyo (wasile na kuondoka). Uswahilini kuna mambo mengi sana
Kipo cha kutosha?"Karibu kula"
Tajirii! Ulianza vizuri! Umekuja kuharibu hapa😂Hii post aione kaka Lukas
Hili jambo lako na kaka Lukas mmenipa jukumu zito la kuhakikisha kinatokea, ndio maana naliangalia Kwa marefu na mapana yake.Tajirii! Ulianza vizuri! Umekuja kuharibu hapa😂
thanksHil
HIli sikubaliani na wewe,kwenye msosi hapana.
Mambo yetu tuachie sisi wenyewe yatakuumiza kichwa bure🤸Hili jambo lako na kaka Lukas mmenipa jukumu zito la kuhakikisha kinatokea, ndio maana naliangalia Kwa marefu na mapana yake.