Na kawavua nguo haswaah!! Siku atakuja kusema lingine zito kuliko hilo. Ujinga mtupuMnatuaibisha sana sis kaka zenu nyie madogo.
Kwann mnaingia kwenye majukumu ya ndoa wakat bado akil zenu za kitoto namna hii?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], ndoa ndoano vumilia tuu!!Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
[emoji38][emoji38][emoji38]Na wewe jamba[emoji23]
Kabisa asee hawa madogo wa saiv sijui akili zao zimekuwajeMnatuaibisha sana sis kaka zenu nyie madogo.
Kwann mnaingia kwenye majukumu ya ndoa wakat bado akil zenu za kitoto namna hii?
๐๐๐๐ Ila JF kuna sample za viumbe wengi, hapo ushamchoka tayariUmetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi
Dah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Hahaha kila akijamba ni ๐ napenda ujinga ujinga sweetheart...Smart Unaeza mvumilia wa hivo???๐ค ๐ค
Uwiiiii huoni kinyaa ๐คฎ?? Una moyo love ๐Hahaha kila akijamba ni ๐ napenda ujinga ujinga sweetheart...
Sii kajamba tu, sii ni hewa tu... Jaribu mbele yangu uone... HeheheUwiiiii huoni kinyaa ๐คฎ?? Una moyo love ๐
Mavijana ya siku hizi ni mavi mavi! Kwani kulikuwa na sababu ya sisi kujua?Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya.
Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi.
Shida sio kujamba shida anatoa hewa chafu, inakera sana ukiliambia linacheka cheka tu.
Pumbavu, tabia chafu sana hii
Akili zako sasa๐ค ๐ค ๐ค ! Kuna vijambo sio poa love ๐๐๐!Sii kajamba tu, sii ni hewa tu... Jaribu mbele yangu uone... Hehehe
Kunde ndo nzuri, nyama utazeeka mapema mmeo atachepukaHuoni aibu kusema siri za ndani mwako??
Acha kumlisha mtoto wa watu vyakula vya jamii ya mikunde mxiewww!!
Nitakukimbiza sweetheart, utaniua aisee...Akili zako sasa๐ค ๐ค ๐ค ! Kuna vijambo sio poa love ๐๐๐!
Ngoja Siku nitajamba kijampo heavy nikufunike na shuka ๐๐๐๐๐ค !
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐! Una ujinga wako fulani dahh! HahahahaNitakukimbiza sweetheart, utaniua aisee...
Msaada noaweza kumpa amlete kwangu kidogo...๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐! Una ujinga wako fulani dahh! Hahahaha
Tusiharibu mada ya watu toa mbunu mwenzenu amsaidie huyo dada smart