Unawezaje kuvumilia miaka 2 bila sex kwa mke wako

Aiseeh una shida sana


Sasa kilichomtoa kwao ni nini?
Mi siwezagi atalalamika tu ila ataisikilizia imo sijui kuzuia kisa anaumwa au sijui nini.

Mke wangu anipangie au mi ndo nimpangie?

Mwambie unakata kuoa mateso huwezi.
 
Nimejipata nacheka kifala sana na hii comment , kiongozi tuma namba nkuweke za serengeti lite ulipo [emoji23][emoji23]
 
Ongeza mke wa pili
 
Eti mkeo???.Acha uongo mkuu,huyo mbuzi hakupendi inawezekana hata huyo mtoto sio wako labda kama ulimkuta bikra.Hapo anamtunzia anayempenda.Na hili liweke akiba siku akiomba ruhusa kwenda kusalimia Kwao Kisha arudi awe anakupa bila shida ujue ww ni Zuzu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ madam unachamba khaa!!
Hiyo pesa ya dinner ntumie mie mahi 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…