Curtis De Mi Amor
Senior Member
- Jan 9, 2022
- 136
- 514
Bado upo shy town?Nipo best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado upo shy town?Nipo best
KATAA NDOA.Wanakuja wale jamaa waumini wa KATAA NDOA 😀
Hivi umemficha wapi Lovie Lady 🏃♀️😅?Kwa makisio yako, kwahiyo kama 2000 alafu JF nikajiunga nikiwa na miaka 11 so great 😃
Haha yupo tight na mambo yake hata jf ameitenga kwa muda. All in all yupo salama na bukheri wa afya😊Hivi umemficha wapi Lovie Lady 🏃♀️😅?
Ohh, msalimie sana. Mpe pole piaHaha yupo tight na mambo yake hata jf ameitenga kwa muda. All in all yupo salama na bukheri wa afya😊
Mkewe aka lalamika wapi sasa, yaani na mke aka kasirika kabisa kubakwa ?!Kuna huyo jamaa alinyimwa alimbaka mkewe 🤭
Mke kama wewe ndiyo nataka sasa, maana mimi napenda sana mizagamuano mpaka najiuliza mke wangu siku niki oa hata kimbia nyumba (ndoa) kweli ?!🤣🤣🤣 Wee sio Mimi
Mimi baada ya siku moja dozi, sinaga mbambambaa
Aaah ni balaa na nusu kwa kweliKama umependwa wala wamsumbuani wapewa tu hadi kisamvu
Zimefika shemela.Ohh, msalimie sana. Mpe pole pia
Soma vizuri au unashida ya machoAlah tena wakati umesema ukipendwa hata huko unatoa? Au Lamomy anisaidie kwenye hili?
Onesha wapi nimesema natoa mbele na nyumaKama umependwa wala wamsumbuani wapewa tu hadi kisamvu
🤣🤣🤣Huyu jamaa namjua, ni kweli alichosema maana yeye mda mwingi anakuwaga mbinguni kwenye vikao.
Yani we ni kauzuu kuliko dagaa😆😆😆😆😂 situmiagi
Kwanini nmefanyaje 😂Yani we ni kauzuu kuliko dagaa😆😆😆😆