Unaye mtu wa kukusikiliza? Kuna muda unapitia hali unapitia unatamani kumweleza mtu mmoja upate ahueni lakini hayupo


Why ukubali kuzaliwa familia kama hiyo ?

By the way upendo unautengeneza wewe na sio yule.

Life can’t be the same to everyone

let appreciate the human differences

kuna wengine wanazaliwa na debilitating damage …. Chongo, kilema, kipofu, kiziwi etc etc …. And they see you as a luckiest person .

Enjoy the life my love and stop hiyo mentality ya baba huku mama kule , it does not help any how.

Accept what life has offered to you, that is your gift and makes you differ from others…. It is only you my love

building your own policies and empire while you are enjoying the NOW
 
"If you have a problem, write a letter"
Kua na diary yako ya siri, ukiona mambo mengi chukua karamu andika hata page 3, usitumie notebook ya simu au computer, tumia karamu na karatasi, utanishukuru baadae
NAKAZIA HAPA journaling
 
😅😅
Unaonekana haupo interested kunisikiliza. Nimegundua nikikwambia yanayonisibu unakaa mbali na mimi..so siongei tena.

Halafu ulipotea wapi?
Mimi nimeletwa duniani kuwasikiliza warwmbo wote lakini sijawahi kupata wa kumwambia kwa vile magumu yangi sipendi mtu ajue😂
 
Kimsingi upendo utengenezwa kwa malezi.
Kuzaliwa tofauti haikua sababu ya ninyi kuto tengenezewa bond ya kupendana, hapa kwa tafasiri nyepesi nikwamba babaenu hakuwajibika kwenyw malezi. Kumbuka namtuhumu baba kwasababu ninyi hamna kwenu pengine tofauti na kwa babaenu.
Hili ni kosa kubwa sana wazazi tunalifanya, unakuta baba anaacha kuishi na kuwalea wanawe eti kwasababu mkewe (ambae sio mama yao) hapendi ama baba anaogopa watagombana pu..bafu kabisa (mwanaume asie weza kusimama kama baba huyu).
Malezi uliyo yaishi wewe nami nimeishi hivyo mkuu, tofauti ni kwamba sisi baba na mama walitengana then maumivu ya utengano wao tukabeba sisi watoto kwa kukosa malezi stahiki.
Binafsi mtu pekee ambae namwambia lolote na chochote ni mke wangu, hata kama tumetofautiana nitanyamaza kwa muda mchache then nitamuita tuzungumze kama ni tofauti tutamaliza na kama kuna mtu amenikwaza hapa Jf pia nitamwambia.
Baada ya hapo najikuta nimepona kisha naenda kuchamba koo kama kawaida...😋
 
Huyo mwenza wako anavyouchunaga utasema hayupo humu😁
 
Huko juu unaniuliza why nimekubali kuzaliwa kwenye familia kama hiyo serious ?
 
Ahsante dear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…