Unayeamini kwamba ajira hutolewa kwa kujuana, tuambie Magufuli alijuana na nani mpaka akawa Rais wa nchi

Unayeamini kwamba ajira hutolewa kwa kujuana, tuambie Magufuli alijuana na nani mpaka akawa Rais wa nchi

Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
We kweli una mawazo mfu sana, toka kwanza usingizini, umeuliza swali la kijinga mno
 
Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
Tumia akili yako vizuri, Magu ametumikia serikali ya Kikwete kama waziri, unafikiri alikaa kizembe hakutengeneza connection, au kwako connection ni nini? ile tu kuwa waziri ni connection tayar
 
Wewe mjinga sana kwa kweli.
Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
 
Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
Sio rahisi kujibu hili swali.
 
Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
Kwa ulimwengu wa sasa bila connection nafasi ya kutoboa ni ndogo sana japo huwa inatokea ukatoboa hata bila kuhitaji connection endapo utajikuta right place at the right moment.
Na ukifanikiwa kwa njia hii mkuu lazima uache alama.

Ninayo personal experience kwa kitu kama hiki.
 
Aisee Ajira zenu za ualimu na upolisi ndo utapata bila connection
 
Yaani wewe ni poyoyo sana, raisi ni cheo ambacho kinahitaji kujulikana/connection kuliko utumbo ulioandika

Kitendo cha kuwa mbunge connection ilihusika mpaka akapita kura za maoni - CCM

Kuwa waziri ni connection ya raisi aliyemchagua

Kuwa raisi ni connection (kura za maoni)

NB
Uraisi ni process ndefu (inahitaji maandalizi ya muda mrefu)

Nafasi zote aiizochaguliwa ni connection ambazo zilimuandaa kuwa raisi

Kuna unaona uraisi hauna connection tutajie mtu yoyote ambaye hajawahi kushika nafasi yoyote kubwa ya Uongozi kabla na kisha akapewa agombee uraisi

Pia imani yako bedo ni dhaifu, hata huyo aliyepata kazi kwa connection anamtegemea MUNGU ila connection ni sababu tu ya kupata kazi kama wewe usio na connection unavyofanya interview ili upate kazi
Namkumbusha kwenye kura za Maoni Jiwe hakupita top 5 ila kutokana na mgogoro uliokuwepo na chama kua kimevurugika Mkapa ndo akampigia chapuo(connection).
 
Namkumbusha kwenye kura za Maoni Jiwe hakupita top 5 ila kutokana na mgogoro uliokuwepo na chama kua kimevurugika Mkapa ndo akampigia chapuo(connection).
Hajatumia ubongo sawa sawa, ubunge tu jimboni kwake alipata kwa koneksheni, huna watu hupati kitu
 
Mkapa ndiye aliyempambania kijana wake. Bado mtoto sana kwenye mambo haya
Jf tuleteeni emoj ya mtu akiabdika utumbo tumtumie bila hata kuandika neno lolote tuanza na huyu mpuuzi siku za mbele atatuambia mama yake bikra huyu hajui hata anataka kusema nn kama huku kuzito rudi kwa face book ukapige picha umeingiza demu getto huku kuzito huwezi kuwa mweupe ukajua kudesign content
 
Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
Kama hujui ndugu yangu magufuli ilikuwa bora wote tukose wewe usipate na mimi nisipate
 
Jf tuleteeni emoj ya mtu akiabdika utumbo tumtumie bila hata kuandika neno lolote tuanza na huyu mpuuzi siku za mbele atatuambia mama yake bikra huyu hajui hata anataka kusema nn kama huku kuzito rudi kwa face book ukapige picha umeingiza demu getto huku kuzito huwezi kuwa mweupe ukajua kudesign content

Kuamini katika connection ni dalili ya uchawi
 
Hajatumia ubongo sawa sawa, ubunge tu jimboni kwake alipata kwa koneksheni, huna watu hupati kitu

Kama unaamini katika connection kwanini na wewe usitengeneze uwe raisi ama waziri, think twice🏃
 
Huwa unakaa na kuwaza kabla ya kuandika?
Huwa unafikirisha ubongo (critical thinking) kabla ya kuandika?.

Nilikua Memkwa ni changamoto kubwa kumbe hata BRN Ni changamoto kubwa sana katika taifa hili Kwa sasa

Wewe unayeamini katika connection ndio utumie critical thinking sababu hiyo ni dalili ya uchawi na ukosefu wa maarifa
 
Urais sio ajira. Ajira unaipata kwa academic qualifications na nafasi zilizopo, sio kwa kupigiwa kura

Basi hata ambaye hakwenda shule kabisa anastahili kuwa raisi cha muhimu apigiwe kura tu?
 
Back
Top Bottom