Unayeamini kwamba ajira hutolewa kwa kujuana, tuambie Magufuli alijuana na nani mpaka akawa Rais wa nchi

Unayeamini kwamba ajira hutolewa kwa kujuana, tuambie Magufuli alijuana na nani mpaka akawa Rais wa nchi

Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
Ona hii akili mgando!!!
 
Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
Ni ukweli kuwa sio Ajira zote hutolewa kwa connection ILA Watu mkisha lamba Ajira mnajisahaulisha kabisa changamoto za ajira wenzenu wanazopitia....
Niliwahi kusikia humu jukwaani kuwa shirika moja la mafao limeajiri wafanyakazi 600 eti inhouse (bila kutangaza). Na watu walipo lalamika hapa, waka ambiwa, ni nafasi zilikuwa zinajziwa....
 
Watu mkisha lamba Ajira mnajisahaulisha kabisa changamoto za ajira wenzenu wanazopitia....
Mimi niliwahi kusikia kuna shirika limeajiri wafanyakazi 600 eti inhouse (bila kutangaza)
Na watu walipo lalamika hapa waka ambiwa, ni nafasi zilikuwa zinajziwa....
Soon nitawaambia nilipataje ajira bila ya connection.
 
Back
Top Bottom