Charlez kanumba
Senior Member
- Nov 2, 2024
- 187
- 501
- Thread starter
- #41
Soma thread kwa kuirudia rudia utanielewa tuJf madogo wapo immature Sana ktk kufikiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma thread kwa kuirudia rudia utanielewa tuJf madogo wapo immature Sana ktk kufikiri
Unless hujui definition ya connection na critical thinking unayoandika hapo! Kasome tena eeh Memkwa generation! Usiwe na haraka kwa mambo yanayohitaji fikra kubwa. .Wewe unayeamini katika connection ndio utumie critical thinking sababu hiyo ni dalili ya uchawi na ukosefu wa maarifa
Baada ya kusikia huku Kuna mihadala wakahama Facebook!Jf madogo wapo immature Sana ktk kufikiri
Urais haukuja ghafla. Aliupata baada ya kuwa amekaa serikalini kama waziri kwa miaka 20. Tayari hapo ashajuana na wewe ukamjua pia.Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
Sawa albert EinsteinUnless hujui definition ya connection na critical thinking unayoandika hapo! Kasome tena eeh Memkwa generation! Usiwe na haraka kwa mambo yanayohitaji fikra kubwa. .
Unajua tu kupata mtu reputable kukufanyia recommendations ni connection tosha? Now who will recomend you? Faggot
Sio rahisi kujibu hili swalli
Huo Ndio ujinga sasaSawa albert Einstein
Huo Ndio ujinga sasa
Senior Member joined September 2024!Njoo taratibu mkuu acha kukaza fuvu, acha kuamini katika connection ni dalili ya uchawi
Kama masharti ya mgombea urais yakiruhusu, atagombea. Ninachosema hapa ni kwamba masharti ya mgombea urais ni tofauti na masharti ya muomba ajira, ndio maana urais sio ajira. Serikalini hakuna ajira bila usaili.Basi hata ambaye hakwenda shule kabisa anastahili kuwa raisi cha muhimu apigiwe kura tu?
Kila mtu anatengeneza connection alipo mkuu, wewe unataka mimi nitengeneze connection ya kuwa Raisi kwani nimekuambia nina ambition hiyo? ukitaka kuwa Raisi lazima uanze kwenye chama ujulikane huko uaminike uwe na watu wa kushika mkono ndio connection yenyeweKama unaamini katika connection kwanini na wewe usitengeneze uwe raisi ama waziri, think twice🏃
Umri unaweza kuwa changamoto kubwaInaelekea bado kuna mengi huyajui
Kabla ya kutaka sisi tukueleza alijuana na nani wewe tuthibitishie pasipo shaka kuwa hakujuana na mtu. Kwa ushahidi wa wazi.Mnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?
Hiyo ipo wazi alikuwa mtoto wa kimasikini tu asiye na mjomba waziri wala mbunge katika ukoo wake, lakini alifanikiwa kuwa waziri mpaka uraisi, tofauti na vijana wa leo wanaamini kama huna ndugu mwenye cheo huwezi kupata hizo nafasi.Kabla ya kutaka sisi tukueleza alijuana na nani wewe tuthibitishie pasipo shaka kuwa hakujuana na mtu. Kwa ushahidi wa wazi.
Iko wazi katika hisia zako tu.Hiyo ipo wazi alikuwa mtoto wa kimasikini tu asiye na mjomba waziri wala mbunge katika ukoo wake, lakini alifanikiwa kuwa waziri mpaka uraisi, tofauti na vijana wa leo wanaamini kama huna ndugu mwenye cheo huwezi kupata hizo nafasi.
Ujafuatlia historia mkuu unakurupuka tu kaka kaangalie magufuli aliingiaje kwenye siasa ni nan aliemshawish mpaka kuwa politician ili hali alikua ni mwlMnaosema kama hauna mzito unaye fahamiana nae serikali/ shirika fulani huwezi pata kazi, haya mbona uncle magu alilamba uraisi na alitokea chato, kwanini wewe unaamini katika connection? Mbona uncle magu alitoboa bila ya connection?