Unazeeka jione hapa

Unazeeka jione hapa

Hahaha... Miaka ina Kimbia sana aisee, kama mwaka huu yani siamini kama tayari tupo November!

Nilikuwa nampango hadi December nilipie kakiwanja sehemu lakini naona kabisa dalili za kufeli
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] afadhali wewe ulikuwa na hata wazo. Ndoto yako itatimia kama sio mwaka huu basi mapema mwakani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka, sio kweli bwana watu wengine wamezaliwa na kismati, mtu anagraduate ana 25 let's say, mara moja anapata kazi ya mshahara 1m+ akifika 31 hana gari wala pagale atakuwa na tatizo mahali fulani kwenye kichwa chake
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli ila hao kwa nchi yetu hii ni 1 kati ya 100.

Yani mimi nikiwa ona masela waliograduet wanavyo haha huku kitaa nawaonea huruma kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] afadhali wewe ulikuwa na hata wazo. Ndoto yako itatimia kama sio mwaka huu basi mapema mwakani
Umenitia moyo sana aisee..

Maana si kwa kugongwa huku na maisha.

Ila kitu nmegundua kwa wakati huu vijana tujiepushe na vimikopo visivyo na Maana. Vinaongeza stress mara 100 zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenitia moyo sana aisee..

Maana si kwa kugongwa huku na maisha.

Ila kitu nmegundua kwa wakati huu vijana tujiepushe na vimikopo visivyo na Maana. Vinaongeza stress mara 100 zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Tutiane tu moyo ndugu yangu, ulichosema ni kweli kabisa. Mambo yakiwa hayaendi na huku unadaiwa stress zinakuwa mara 100
 
Si hadi niwe na hizo mali!!

Dar nilishakimbia tokea jemedari aseme kufikia July atakaebaki Dar mwanaume. Sie wenye roho ndogo tukatawanyikia mbali.
Hahaha... aliyesema kilimo uti wa mgongo..mali zipo shamban..kilimo kwanza wote Hua hata hawajui jembe linashikwa vipi!
Kwahiyo ulipokimbia Dar mwezi july ulienda shamba na mali umezipata??😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom