Wakati ww hujapata huko shambani, acha kusumbua watotot na wajukuu
Duh humu kuna madogo wengiSiku zinaenda kwa kasi sana yaani sasa hivi 30 naona kabisa ilee naichungulia kwa mbali. Mpka huyu mzee atoke nitakuwa nimefikia.
Hapana ww sio baharia ww ni mvuviNavua samaki tu kwa sasa. Nimekua baharia
For sure. Umri bana kitu cha ajabu sana unajiona bado bado kumbe ndio miaka inazidi kusongaVijana wengi wanadhani umri wa unarudi nyuma.
Kwani sasa hivi vipi mnapambwa?Nilipokuwa najiunga Jf wadada wa 30+ walikuwa wanachambwa ila mimi nilikuwa naona kama iko mbaaali[emoji3][emoji3][emoji3] nilivyofikafika hata sielewi
Ukifika huku niliko huuajiita mhenga utasubiri uitwe...
39
Maisha yanaenda kasi sana jamani!!
Hebu nipeni connection wakuu! Na mimi niteembeemo nimekaa
Hongera kazana sasa usijekuta 2020 decemberMkubwa.. Naona dalili mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana ww sio baharia ww ni mvuvi
Hahahahahahahaha utafanya watoto wakutukane tuHizo lugha za kujitetea tu. Sasa si bora uache kipande cha karatasi kimeandikwa chochote kuliko upite tu kana kwamba haukuwahi kabisa kuishi mkuu.
duh 29 nizae tu hamna namna....
Mkuu nimecheka sanaaa pole kwa kujiwazia makubwa alafu life linakataa. Vipi unavua dagaa au samaki au ndo unazamia pweza ?Inamaana hata cheo nilichofikiria nnacho kumbe ni magumashi tu. Kwa ufupi sina kitu nnachomiliki
Aisee!!31..ndio kwanza niponipo tu hata bei ya tofali siijui, maisha bwana yakiamua kukupa kisogo
Ukiwa na mawazo hayo utabweteka.Kabisa. Mimi huwa nasema haya maisha kwa Mungu ni kama kibao ni sekunde tu kugeuza mshale uelekee upande wa pili.
Mimi mpaka nikifika 45 sina kitu ndio ntasema hapa basi, lkn kwa hii 31 bado sana.
Na asikudanganye mtu, sister, ukiona mtu ana miaka 31 lakini tayari ana vitu vyote muhimu jua ni mwizi.
For sure. Umri bana kitu cha ajabu sana unajiona bado bado kumbe ndio miaka inazidi kusonga
Ha ha ha ha halafu huyo anaekuita hivyo sio mdogo!Huu uzi unanipa mashaka ya moyo. Nashangaa siku hizi nikipa sehem watu hawasemi baba, naambiwa mhudumieni mzee dah! Mwanzoni nilikua kama nashikwa na gubu nikakumbuka wakati ukuta, hauwezi kushindana nao.
Inabidi kujiweka sawa kwenda na majira.
I didn't say thatKwani sasa hivi vipi mnapambwa?
Hongera pacha, we wa kishua....upo kwa mama na bado una smatfon na bando55 bado niko kwa mama