Unazeeka jione hapa

sijui kwa nini nimefungua...maana haizoeleki
 
Daaaa!!! jua kweli lishazama,ila tatizo ni asili ya familia zetu na nchi yetu ndoo maana unaona jua limezama huku upo kama ulivyozaliwa.Bongo nyoso
 
Usikariri maisha dogo
 
Umemaliza kila kitu mie nkiwa na 26 nilikuwa nna mke,nyumba na gari
 
Mim bado Sana under 18 ndo Nina 13 na miez 5 tuu
 
Asante kwa kukumbushana, nina watoto japo wake sina, Mungu anirehemu.
 
Asee kumbe hizi shikamoo ninazokutana nazo ni haki yangu nilijua wananizeesha
 
Bora ufike uzeeni kuliko kufa kijana.
Kikubwa tuombe mwisho mwema
 
Yaani ukiona tu watu tegemezi wanaongezeka na wewe sio tegemezi tena ujuwe tu kuwa the clock is ticking.

2013 nilivyojiunga humu I used to call myself a young man, sasa hakyanani kichwa kimeanza mvi, ndevu zimejaa hadi sizipendi tena.

Uzee upo jirani sana, maisha ni mafupi sana...
 
Mi napendaga hiyo Avatar yako tu
 
Mimi katika umri wa miaka 28 Nilikuwa karibu na. Kila kitu isipokuwa gari ila alieniangusha ni mwanaume, Nilikuwa mpiganaji kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…