Unazingatia Vitu gani kabla ya kuingia kwenye Ndoa?

Unazingatia Vitu gani kabla ya kuingia kwenye Ndoa?

Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake.

Kutokana na uelewa, experience na mtamzamo wako unahisi ni kipi kati ya hivyo ni vya kuzingatia zaidi?

1. ECONOMY STABILITY(UCHUMI)
Uwezo wa kiuchumi kukuwezesha kuitunza familia bado hauruhusu Unahisi kwa uchumi ulionao kujiingiza kwenye ndoa ni kujiongezea majukumu ambayo yatakuumiza kichwa kupelekea kuipa shida familia.

2. AGE (UMRI)
umejiwekea baada ya umri flani afe masai afe simba lazima uoe. kwamba 18-29 ni age ya kuutumia ujana hivyo badala ya kuingia kwenye ndoa na kumsumbua mtoto wa mama mkwe unaona ni bora ule ujana kwanza. au kwamba age ya ujana ni AGE ya kujitafuta hivyo ukichanganya na mambo ya familia utachelewa?

3. PARTNER(MTU SAHIHI)
Je, wewe ni miongoni mwa wanaosubiri mtu sahihi ndipo uingie kwenye ndoa? hapa nazungumzia aina ya familia, historia, malezi, tabia ya mtu unayekutana nae na vitu kama hivyo.

ni upi mtazamo/ushauri wako kwa wewe uliopo na ambae bado hujaingia kwenye NDOA? Na kwann unashauri ivyo.

Nb: Ndoa/mapenzi hayana formula ila kwa namna moja au nyingine Ushauri wako unaweza saidia kupunguza kiwango cha taraka karne hii.
Mimi napendekeza namba 1 ibadilishane na namba 3 au itoe tu namba 1 kisha namba 3 ipandishe hapo 😅
 
Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake.

Kutokana na uelewa, experience na mtamzamo wako unahisi ni kipi kati ya hivyo ni vya kuzingatia zaidi?

1. ECONOMY STABILITY(UCHUMI)
Uwezo wa kiuchumi kukuwezesha kuitunza familia bado hauruhusu Unahisi kwa uchumi ulionao kujiingiza kwenye ndoa ni kujiongezea majukumu ambayo yatakuumiza kichwa kupelekea kuipa shida familia.

2. AGE (UMRI)
umejiwekea baada ya umri flani afe masai afe simba lazima uoe. kwamba 18-29 ni age ya kuutumia ujana hivyo badala ya kuingia kwenye ndoa na kumsumbua mtoto wa mama mkwe unaona ni bora ule ujana kwanza. au kwamba age ya ujana ni AGE ya kujitafuta hivyo ukichanganya na mambo ya familia utachelewa?

3. PARTNER(MTU SAHIHI)
Je, wewe ni miongoni mwa wanaosubiri mtu sahihi ndipo uingie kwenye ndoa? hapa nazungumzia aina ya familia, historia, malezi, tabia ya mtu unayekutana nae na vitu kama hivyo.

ni upi mtazamo/ushauri wako kwa wewe uliopo na ambae bado hujaingia kwenye NDOA? Na kwann unashauri ivyo.

Nb: Ndoa/mapenzi hayana formula ila kwa namna moja au nyingine Ushauri wako unaweza saidia kupunguza kiwango cha taraka karne hii.
Aisee, wengine tumejikuta tu tupo ndoa ndoani...hayo mengine yanajiseti yenyewe! Mungu ana mipango yake katika kila hatua ya mwanadamu. Mimi ukinirudisha leo sekondari ukaniambia nichague cha kufanya, labda ningetamani kuwa Kasisi wa Kikatoliki (Padre)....lakini acha tu nikomae na ndoa yangu, maana ndiyo 'msalaba' wangu!
 
Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake.

Kutokana na uelewa, experience na mtamzamo wako unahisi ni kipi kati ya hivyo ni vya kuzingatia zaidi?

1. ECONOMY STABILITY(UCHUMI)
Uwezo wa kiuchumi kukuwezesha kuitunza familia bado hauruhusu Unahisi kwa uchumi ulionao kujiingiza kwenye ndoa ni kujiongezea majukumu ambayo yatakuumiza kichwa kupelekea kuipa shida familia.

2. AGE (UMRI)
umejiwekea baada ya umri flani afe masai afe simba lazima uoe. kwamba 18-29 ni age ya kuutumia ujana hivyo badala ya kuingia kwenye ndoa na kumsumbua mtoto wa mama mkwe unaona ni bora ule ujana kwanza. au kwamba age ya ujana ni AGE ya kujitafuta hivyo ukichanganya na mambo ya familia utachelewa?

3. PARTNER(MTU SAHIHI)
Je, wewe ni miongoni mwa wanaosubiri mtu sahihi ndipo uingie kwenye ndoa? hapa nazungumzia aina ya familia, historia, malezi, tabia ya mtu unayekutana nae na vitu kama hivyo.

ni upi mtazamo/ushauri wako kwa wewe uliopo na ambae bado hujaingia kwenye NDOA? Na kwann unashauri ivyo.

Nb: Ndoa/mapenzi hayana formula ila kwa namna moja au nyingine Ushauri wako unaweza saidia kupunguza kiwango cha taraka karne hii.
Kwa matukio niliopigwa sina hata hamu ya kuingie kwenye mahusiano Wala ndoa.
 
Watu WASALITI sio KE sio ME wanagawa gadi kwa idadi weeeh Thubutuuu!!
Wengine viburi, ujuaji na kupiga.!!
Mi NITAJIOA nikitaka mtoto nitatafuta wa ku adopt
Juzikati nilikuwa nimekaa sehemu na mzee fulani akawa ananiambia yanayomsibu Kwenye ndoa yake.

Aliniambia yeye na mkewe hawapatani kbsa japokuwa wanaishi katika nyumba moja lakini wamegawana vyumba kila mtu na chumba chake.

Aliniambia yeye anajipikia chakula chake naye make anajipikia chake.
 
Swadakta, 💯. Mwanaume hupaswi kuangalia suala la kiuchumi la mwanamke. Kuna hili suala la mwanaume kukwepa wanawake wenye UCHUMI mzuri kwa kuhofia dharau kutoka kwa wenzi wao. Wee unakionaje hili kwako unaliangalia pia?
Nadhani ni hofu ya dharau na kutoheshimika kama ulivyosema. Wengi wa wanawake waliohuru kiuchumi wanajisahau sana, wanashindwa kutenganisha career na familia, hilo linawa-cost sana!
 
Juzikati nilikuwa nimekaa sehemu na mzee fulani akawa ananiambia yanayomsibu Kwenye ndoa yake.

Aliniambia yeye na mkewe hawapatani kbsa japokuwa wanaishi katika nyumba moja lakini wamegawana vyumba kila mtu na chumba chake.

Aliniambia yeye anajipikia chakula chake naye make anajipikia chake.
Alikwambia tatizo ni nini??
Hizi ndoa zina mambo mengi sana.!! Sasa hao wanaishi hivyo km watu ambao hawakuwahi kupendana?!!
 
Back
Top Bottom