Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well understood chief. All the best ✅️Hapo namaanisha akili yangu ndio muongozo wa kila kitu.
In case huyo mwanamke nimemchagua Mimi, na mimi ndio compass.
Mimi napendekeza namba 1 ibadilishane na namba 3 au itoe tu namba 1 kisha namba 3 ipandishe hapo 😅Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake.
Kutokana na uelewa, experience na mtamzamo wako unahisi ni kipi kati ya hivyo ni vya kuzingatia zaidi?
1. ECONOMY STABILITY(UCHUMI)
Uwezo wa kiuchumi kukuwezesha kuitunza familia bado hauruhusu Unahisi kwa uchumi ulionao kujiingiza kwenye ndoa ni kujiongezea majukumu ambayo yatakuumiza kichwa kupelekea kuipa shida familia.
2. AGE (UMRI)
umejiwekea baada ya umri flani afe masai afe simba lazima uoe. kwamba 18-29 ni age ya kuutumia ujana hivyo badala ya kuingia kwenye ndoa na kumsumbua mtoto wa mama mkwe unaona ni bora ule ujana kwanza. au kwamba age ya ujana ni AGE ya kujitafuta hivyo ukichanganya na mambo ya familia utachelewa?
3. PARTNER(MTU SAHIHI)
Je, wewe ni miongoni mwa wanaosubiri mtu sahihi ndipo uingie kwenye ndoa? hapa nazungumzia aina ya familia, historia, malezi, tabia ya mtu unayekutana nae na vitu kama hivyo.
ni upi mtazamo/ushauri wako kwa wewe uliopo na ambae bado hujaingia kwenye NDOA? Na kwann unashauri ivyo.
Nb: Ndoa/mapenzi hayana formula ila kwa namna moja au nyingine Ushauri wako unaweza saidia kupunguza kiwango cha taraka karne hii.
Ewaaa umeongea facts sana. Nimekuelewa sana ila hili la ELIMU sijaliewa kidogo. Kwann unahisi elimu ni muhimu?1.Dini
2.Elimu
3.Nasaba
4.Economic stability
Aisee, wengine tumejikuta tu tupo ndoa ndoani...hayo mengine yanajiseti yenyewe! Mungu ana mipango yake katika kila hatua ya mwanadamu. Mimi ukinirudisha leo sekondari ukaniambia nichague cha kufanya, labda ningetamani kuwa Kasisi wa Kikatoliki (Padre)....lakini acha tu nikomae na ndoa yangu, maana ndiyo 'msalaba' wangu!Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake.
Kutokana na uelewa, experience na mtamzamo wako unahisi ni kipi kati ya hivyo ni vya kuzingatia zaidi?
1. ECONOMY STABILITY(UCHUMI)
Uwezo wa kiuchumi kukuwezesha kuitunza familia bado hauruhusu Unahisi kwa uchumi ulionao kujiingiza kwenye ndoa ni kujiongezea majukumu ambayo yatakuumiza kichwa kupelekea kuipa shida familia.
2. AGE (UMRI)
umejiwekea baada ya umri flani afe masai afe simba lazima uoe. kwamba 18-29 ni age ya kuutumia ujana hivyo badala ya kuingia kwenye ndoa na kumsumbua mtoto wa mama mkwe unaona ni bora ule ujana kwanza. au kwamba age ya ujana ni AGE ya kujitafuta hivyo ukichanganya na mambo ya familia utachelewa?
3. PARTNER(MTU SAHIHI)
Je, wewe ni miongoni mwa wanaosubiri mtu sahihi ndipo uingie kwenye ndoa? hapa nazungumzia aina ya familia, historia, malezi, tabia ya mtu unayekutana nae na vitu kama hivyo.
ni upi mtazamo/ushauri wako kwa wewe uliopo na ambae bado hujaingia kwenye NDOA? Na kwann unashauri ivyo.
Nb: Ndoa/mapenzi hayana formula ila kwa namna moja au nyingine Ushauri wako unaweza saidia kupunguza kiwango cha taraka karne hii.
Kikubwa tunagusanisha waya hakuna kesiHiyo sio nyumba ni genge la wahuni..!!
Kwa matukio niliopigwa sina hata hamu ya kuingie kwenye mahusiano Wala ndoa.Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake.
Kutokana na uelewa, experience na mtamzamo wako unahisi ni kipi kati ya hivyo ni vya kuzingatia zaidi?
1. ECONOMY STABILITY(UCHUMI)
Uwezo wa kiuchumi kukuwezesha kuitunza familia bado hauruhusu Unahisi kwa uchumi ulionao kujiingiza kwenye ndoa ni kujiongezea majukumu ambayo yatakuumiza kichwa kupelekea kuipa shida familia.
2. AGE (UMRI)
umejiwekea baada ya umri flani afe masai afe simba lazima uoe. kwamba 18-29 ni age ya kuutumia ujana hivyo badala ya kuingia kwenye ndoa na kumsumbua mtoto wa mama mkwe unaona ni bora ule ujana kwanza. au kwamba age ya ujana ni AGE ya kujitafuta hivyo ukichanganya na mambo ya familia utachelewa?
3. PARTNER(MTU SAHIHI)
Je, wewe ni miongoni mwa wanaosubiri mtu sahihi ndipo uingie kwenye ndoa? hapa nazungumzia aina ya familia, historia, malezi, tabia ya mtu unayekutana nae na vitu kama hivyo.
ni upi mtazamo/ushauri wako kwa wewe uliopo na ambae bado hujaingia kwenye NDOA? Na kwann unashauri ivyo.
Nb: Ndoa/mapenzi hayana formula ila kwa namna moja au nyingine Ushauri wako unaweza saidia kupunguza kiwango cha taraka karne hii.
Kwa haraka mtu anaweza asikuelewe ila umeongea point Mkuu ila vipi unalipi na kusema kuhus uchumi Mkuu.Afya ya akili ndo cha msingi la kuangalia
Juzikati nilikuwa nimekaa sehemu na mzee fulani akawa ananiambia yanayomsibu Kwenye ndoa yake.Watu WASALITI sio KE sio ME wanagawa gadi kwa idadi weeeh Thubutuuu!!
Wengine viburi, ujuaji na kupiga.!!
Mi NITAJIOA nikitaka mtoto nitatafuta wa ku adopt
Usiongee kauli za kipuuzi kama hizo, sasa unataka tuwe vile utakavyo?, unakosea sana.Wewe SIO Mwanaume
Mwanaume gani unasusa Mbunye? Akitoka kugongwa na Wewe kamata gongaUsiongee kauli za kipuuzi kama hizo, sasa unataka tuwe vile utakavyo?, unakosea sana.
Nadhani ni hofu ya dharau na kutoheshimika kama ulivyosema. Wengi wa wanawake waliohuru kiuchumi wanajisahau sana, wanashindwa kutenganisha career na familia, hilo linawa-cost sana!Swadakta, 💯. Mwanaume hupaswi kuangalia suala la kiuchumi la mwanamke. Kuna hili suala la mwanaume kukwepa wanawake wenye UCHUMI mzuri kwa kuhofia dharau kutoka kwa wenzi wao. Wee unakionaje hili kwako unaliangalia pia?
📌pinnedNadhani ni hofu ya dharau na kutoheshimika kama ulivyosema. Wengi wa wanawake waliohuru kiuchumi wanajisahau sana, wanashindwa kutenganisha career na familia, hilo linawa-cost sana!
Bila uchumi hakuna ndoaKwa haraka mtu anaweza asikuelewe ila umeongea point Mkuu ila vipi unalipi na kusema kuhus uchumi Mkuu.
sawa mkuu😂Mwanaume gani unasusa Mbunye? Akitoka kugongwa na Wewe kamata gonga
Umemaliza Mkuu 📌Bila uchumi hakuna ndoa
Alikwambia tatizo ni nini??Juzikati nilikuwa nimekaa sehemu na mzee fulani akawa ananiambia yanayomsibu Kwenye ndoa yake.
Aliniambia yeye na mkewe hawapatani kbsa japokuwa wanaishi katika nyumba moja lakini wamegawana vyumba kila mtu na chumba chake.
Aliniambia yeye anajipikia chakula chake naye make anajipikia chake.
Siwezi kuishi maisha ya aina hiyo, hapo hakuna ndoa.Kikubwa tunagusanisha waya hakuna kesi