Undani kuhusu ajali ya Ndege ya Precision Air, Kudondoka kwake hadi hatua za Uokozi

Kama ni uzembe mkubwa na kuna watu wanatakiwa kuwajibika watapoteza black box
 
Rubani alikosea sana
Serikali kwa uzembe wa miaka yote inaendelea kufanya makosa makubwa yale yale haina hata vifaa na watu 100 tu wa kuokoa majanga kama haya??? Tangu Mv BUKOBA???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…