Undani kuhusu ajali ya Ndege ya Precision Air, Kudondoka kwake hadi hatua za Uokozi

Undani kuhusu ajali ya Ndege ya Precision Air, Kudondoka kwake hadi hatua za Uokozi

Huyo rubani mbona jana alitangazwa kunusurika, isipokuwa mwenzake msaidizi ambaye ni raia wa Kenya?

Iweje leo naye tusikie kadanja, mjanganyiko gani huu sasa?
Mzee wote marubani hatunao, ila after crush walikuwa wazima according to dogo yule mvuvi. kwa hiyo tungekuwa na system ya wokozi inayofanya kazi sawasawa nafikiri tusingepoteza watu namna hiyo. Kauzembe kamo ndani yetu watanania ifike pahala tukubali tu ukweli.
 
Kweli ukiambiwa changanya na zako! Binafsi nimeamua kupuuza kila taarifa ya ajali hii ilivyo tokea zaidi ya kuanzia kwenye uokozi tuliyo shuhudia wenyewe, ila nyuma ya hapo nasubiri majibu ya BLACK BOX maana nyie wengine mnatuchanganya kila mtu ana story yake.

Kuna uzi mwingine unaelezea ajali hii tangu ndege haijaingia ziwani na sababu ya ajali sio hali ya hewa kama ww unavyo tupanga hapa

Siasa mbaya sana kwenye vitu kama hivi hatuitaji hoja tunataka facts bhasi.
Wewe hiyo black box utaiona, ama walau kuthibitisha kisemwacho kua kimetoka kwenye black box ni cha kweli??

Ukweli huwezi kuujua kama huhusiki, utapigwa danadana mpaka uchoke
 
Mwenyezi Mungu ninayemjua mimi hawezi kubariki maafa ya wanadamu anaowapenda, kukubali mapungu pamoja na uzembe ni kitu kizuri ili kujifunza siku za usoni ili kisijitokeze tena.
...Meli ilipozama na tukasibiri Waokoaji Toka Afrika KUSINI hatukujifunza Kitu?...[emoji35]
 
Mzee wote marubani hatunao, ila after crush walikuwa wazima according to dogo yule mvuvi. kwa hiyo tungekuwa na system ya wokozi inayofanya kazi sawasawa nafikiri tusingepoteza watu namna hiyo. Kauzembe kamo ndani yetu watanania ifike pahala tukubali tu ukweli.
...After CRASH!...[emoji57][emoji57]
 
kulikuwa na mawasiliano kati ya waongoza ndege na rubani pale uwanjani, lakini uamuzi wa mwisho huwa ni wa rubani mwenyewe wakati ndege ikiwa bado haija land.

Sasa kwa nini ilikuwa ni lazima afanye emergency landing hapo hatujui, maana kwa akili za kawaida emergency landing hufanyika kama kila option imeshashindikana.
Na alikua na nafasi nzuri ya kutua kawaida majini kuliko kutanguliza kichwa kama ana chumpa[emoji848]
 
Kuna uzi unaelezea sababu ya ajali sio hali ya hewa bali ni tairi zilishindwa kufungu ana kutaka maelekezo akalazimika kuzurula huku akingoja maelekezo, anadai baada ya kuzunguka mda mrefu akahofia wese kukata ikabidi wamuelekeze akatue ziwani timu ya uokozi ipo tayari inamfuata, ndugu yetu akajiamini akaenda kuchumpa na maji yalivyo shida ikawa imefika car wash! Kilichofuata mpaka wanatua wote walikua salama na bado walikua wanawasiliana wakati tayari wakiwa salama salmini yaliyo fuata wote tumeshuhudia ss na huyu ndugu yetu anatuambia tatizo lilikua hali ya hewa wapi na wapi
Aseeehhh.... huzunii sana
 
Mkuu tukiacha na yote, uzembe, hili na lile kuhusu ajali nzima.....

Siku ya kufariki ikifika sababu lazima isikosekane, iwe uzembe, ugonjwa au lolote, lazima kifo kinakuwa na sababu.

Kwa hiyo pamoja na yote yaliyotokea Kwa ndugu zetu, huenda siku Yao ilifika, ndio maana wenye ahadi ya kufariki Jana walifariki, na waliokuwa ahadi Bado walifanikiwa kutoka.

Mungu awapumzishe wanapostahili.
Ume
Uzoefu ulimdanganya. Na matokeo yake akajua kafikia runway kumbe yupo kwenye maji. Ukungu huo.
ukisoma vizuri ni kwamba upepo ulikua unakinzana na ndege hivyo huwezi jua yote kwa yote Kazi ya Mungu haina makosa
 
Wewe hiyo black box utaiona, ama walau kuthibitisha kisemwacho kua kimetoka kwenye black box ni cha kweli??

Ukweli huwezi kuujua kama huhusiki, utapigwa danadana mpaka uchoke
Tutajua tu, muda hua unasema
 
Mbele pasingekuwa chini sababu mbele ndo huwa pepesi kwani hakunaga mizigo. Kuna kitu hatujui ni hitilafu au lah
Kuna kitu hakiko sawa, ile ndege kama angekosea kutua lazima pua ingekuwa juu
Kama sehemu ya nyuma ndiyo iliwahi kugusa chini (maji) ikingali kwenye mwendo, lazima kichwa kichupie na kuanza kuzama kwanza.
 
Mzee wote marubani hatunao, ila after crush walikuwa wazima according to dogo yule mvuvi. kwa hiyo tungekuwa na system ya wokozi inayofanya kazi sawasawa nafikiri tusingepoteza watu namna hiyo. Kauzembe kamo ndani yetu watanania ifike pahala tukubali tu ukweli.
Mbona unasema KAUZEMBE? Ni uzembe mkubwa wa kutisha tena wa kiwango kisichovumilika.
 
bado nauliza swali, kama Rubani angeamua kurudi Mwanza ama kutua uwanja wa Magufuli Chato au Kahama asubiri hali ya hewa itengemae hilo lisingewezekana?

kuna muda sisi tulitoka Mza - Ngara, hali ya hewa ikawa mbaya balaa Ngara, ikabidi turudi Mwanza - baada ya masaa 3 tukarudi tena - ni gharama ila unaepuka ku risk.
Maelekezo huwa unapewa Toka marubani wa chini,baada ya kuangalia anga, tatizo ni kitu cha ghafla
 
RIP kwa wote waliopoteza maisha.

Tunawapa pole waliopoteza wapendwa wao.

Majeruhi, tunawatakia afya njema na kuendelea kulijenga Taifa.

Ila, tungesikia mengi endapo hii ajali ingekuwa ni kwa zile 'Mbawa za Kilimanjaro'. IMEISHA HIYO
 
Wapumzike Kwa amani,mwenyezi Mungu awape matumain waliopoteza ndungu zao..
 
Back
Top Bottom