Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wote marubani hatunao, ila after crush walikuwa wazima according to dogo yule mvuvi. kwa hiyo tungekuwa na system ya wokozi inayofanya kazi sawasawa nafikiri tusingepoteza watu namna hiyo. Kauzembe kamo ndani yetu watanania ifike pahala tukubali tu ukweli.Huyo rubani mbona jana alitangazwa kunusurika, isipokuwa mwenzake msaidizi ambaye ni raia wa Kenya?
Iweje leo naye tusikie kadanja, mjanganyiko gani huu sasa?
Wewe hiyo black box utaiona, ama walau kuthibitisha kisemwacho kua kimetoka kwenye black box ni cha kweli??Kweli ukiambiwa changanya na zako! Binafsi nimeamua kupuuza kila taarifa ya ajali hii ilivyo tokea zaidi ya kuanzia kwenye uokozi tuliyo shuhudia wenyewe, ila nyuma ya hapo nasubiri majibu ya BLACK BOX maana nyie wengine mnatuchanganya kila mtu ana story yake.
Kuna uzi mwingine unaelezea ajali hii tangu ndege haijaingia ziwani na sababu ya ajali sio hali ya hewa kama ww unavyo tupanga hapa
Siasa mbaya sana kwenye vitu kama hivi hatuitaji hoja tunataka facts bhasi.
...Sio WALIMNYIMA...Bali WALIMKATAZA kuvunja Kioo!Kwa maelezo ya yule mwamba kuna watu wa serekali ndio walimnyima kuvunja kioo sio kwamba nguvu zilimwisha
...Meli ilipozama na tukasibiri Waokoaji Toka Afrika KUSINI hatukujifunza Kitu?...[emoji35]Mwenyezi Mungu ninayemjua mimi hawezi kubariki maafa ya wanadamu anaowapenda, kukubali mapungu pamoja na uzembe ni kitu kizuri ili kujifunza siku za usoni ili kisijitokeze tena.
...After CRASH!...[emoji57][emoji57]Mzee wote marubani hatunao, ila after crush walikuwa wazima according to dogo yule mvuvi. kwa hiyo tungekuwa na system ya wokozi inayofanya kazi sawasawa nafikiri tusingepoteza watu namna hiyo. Kauzembe kamo ndani yetu watanania ifike pahala tukubali tu ukweli.
Na alikua na nafasi nzuri ya kutua kawaida majini kuliko kutanguliza kichwa kama ana chumpa[emoji848]kulikuwa na mawasiliano kati ya waongoza ndege na rubani pale uwanjani, lakini uamuzi wa mwisho huwa ni wa rubani mwenyewe wakati ndege ikiwa bado haija land.
Sasa kwa nini ilikuwa ni lazima afanye emergency landing hapo hatujui, maana kwa akili za kawaida emergency landing hufanyika kama kila option imeshashindikana.
Aseeehhh.... huzunii sanaKuna uzi unaelezea sababu ya ajali sio hali ya hewa bali ni tairi zilishindwa kufungu ana kutaka maelekezo akalazimika kuzurula huku akingoja maelekezo, anadai baada ya kuzunguka mda mrefu akahofia wese kukata ikabidi wamuelekeze akatue ziwani timu ya uokozi ipo tayari inamfuata, ndugu yetu akajiamini akaenda kuchumpa na maji yalivyo shida ikawa imefika car wash! Kilichofuata mpaka wanatua wote walikua salama na bado walikua wanawasiliana wakati tayari wakiwa salama salmini yaliyo fuata wote tumeshuhudia ss na huyu ndugu yetu anatuambia tatizo lilikua hali ya hewa wapi na wapi
UmeMkuu tukiacha na yote, uzembe, hili na lile kuhusu ajali nzima.....
Siku ya kufariki ikifika sababu lazima isikosekane, iwe uzembe, ugonjwa au lolote, lazima kifo kinakuwa na sababu.
Kwa hiyo pamoja na yote yaliyotokea Kwa ndugu zetu, huenda siku Yao ilifika, ndio maana wenye ahadi ya kufariki Jana walifariki, na waliokuwa ahadi Bado walifanikiwa kutoka.
Mungu awapumzishe wanapostahili.
ukisoma vizuri ni kwamba upepo ulikua unakinzana na ndege hivyo huwezi jua yote kwa yote Kazi ya Mungu haina makosaUzoefu ulimdanganya. Na matokeo yake akajua kafikia runway kumbe yupo kwenye maji. Ukungu huo.
Tutajua tu, muda hua unasemaWewe hiyo black box utaiona, ama walau kuthibitisha kisemwacho kua kimetoka kwenye black box ni cha kweli??
Ukweli huwezi kuujua kama huhusiki, utapigwa danadana mpaka uchoke
Sio kwa Tz hii mkuu.Tutajua tu, muda hua unasema
Hamna namnaSio kwa Tz hii mkuu.
Hakunaga uwajibikaji hii nchi, hata ukweli ukijulikana still hakuna hatua zitazochukuliwa.
Inaumiza ila hamna namna
Aliyekimbia baada ya kuokolewa Nina shaka ni maharage ya ukweni
Mbele pasingekuwa chini sababu mbele ndo huwa pepesi kwani hakunaga mizigo. Kuna kitu hatujui ni hitilafu au lah
Kama sehemu ya nyuma ndiyo iliwahi kugusa chini (maji) ikingali kwenye mwendo, lazima kichwa kichupie na kuanza kuzama kwanza.Kuna kitu hakiko sawa, ile ndege kama angekosea kutua lazima pua ingekuwa juu
Mbona unasema KAUZEMBE? Ni uzembe mkubwa wa kutisha tena wa kiwango kisichovumilika.Mzee wote marubani hatunao, ila after crush walikuwa wazima according to dogo yule mvuvi. kwa hiyo tungekuwa na system ya wokozi inayofanya kazi sawasawa nafikiri tusingepoteza watu namna hiyo. Kauzembe kamo ndani yetu watanania ifike pahala tukubali tu ukweli.
Maelekezo huwa unapewa Toka marubani wa chini,baada ya kuangalia anga, tatizo ni kitu cha ghaflabado nauliza swali, kama Rubani angeamua kurudi Mwanza ama kutua uwanja wa Magufuli Chato au Kahama asubiri hali ya hewa itengemae hilo lisingewezekana?
kuna muda sisi tulitoka Mza - Ngara, hali ya hewa ikawa mbaya balaa Ngara, ikabidi turudi Mwanza - baada ya masaa 3 tukarudi tena - ni gharama ila unaepuka ku risk.
Una uhakika gani?Sasa ndo tumepata maelezo mazuri, yenye kuonesha kilichotokea