HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kuna kitu hakiko sawa, ile ndege kama angekosea kutua lazima pua ingekuwa juuUzoefu ulimdanganya. Na matokeo yake akajua kafikia runway kumbe yupo kwenye maji. Ukungu huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu hakiko sawa, ile ndege kama angekosea kutua lazima pua ingekuwa juuUzoefu ulimdanganya. Na matokeo yake akajua kafikia runway kumbe yupo kwenye maji. Ukungu huo.
Aliyevunja kioo na kufungua mlango wa emergency anasema aliona marubani wanamwambia avunje kioo ila hakuweza sababu aliishiwa nguvuni kweli watachunguza ila kwa sisi ma kapuku kujua nini kilitokea ni ndoto. Mkuu wa mkoa wa mwanza alisema kuwa bado walikuwa na mawasiano na rubani, then tunaambia rubani wote wamefariki, hapo maswali ni mengi kuliko majibu.
Mambo mengine ni ya kuacha tu, ukitaka kuyajua yatakuletea shida.
Kwa maelekezo aliambiwa akachumpe humo, kua wamesha jipanga 1st respond kwa mujibu wa uzi huoTairi zingeshindwa fungua angerudisha ndege Mwanza
Kwny natgeo kuna kipindi kinaitwa aircrash investigation unaangaliaga! [emoji15]“OBJECTIVE OF THE INVESTIGATION
The sole objective of the investigation of an accident or incident shall be the prevention of accidents and incidents. It is not the purpose of this activity to apportion blame or liability.”
Mbele pasingekuwa chini sababu mbele ndo huwa pepesi kwani hakunaga mizigo. Kuna kitu hatujui ni hitilafu au lahKwa maelekezo aliambiwa akachumpe humo, kua wamesha jipanga 1st respond kwa mujibu wa uzi huo
sawa bora majibu sahihi na kwa wakatiKwny natgeo kuna kipindi kinaitwa aircrash investigation unaangaliaga! Alafu angalia matakwa ya mtoa uzi hapo juu (sio matako ni matakwa) [emoji15]
Una hojaKuna kitu hakiko sawa, ile ndege kama angekosea kutua lazima pua ingekuwa juu
Hata waziri mkuu wetu aligusia hili, kua na mashaka ya uelekeo wa ndege yenyeweMbele pasingekuwa chini sababu mbele ndo huwa pepesi kwani hakunaga mizigo. Kuna kitu hatujui ni hitilafu au lah
[emoji848][emoji120]sawa bora majibu sahihi na kwa wakati
Kwa maelezo ya yule mwamba kuna watu wa serekali ndio walimnyima kuvunja kioo sio kwamba nguvu zilimwishaAliyevunja kioo na kufungua mlango wa emergency anasema aliona marubani wanamwambia avunje kioo ila hakuweza sababu aliishiwa nguvu
Waziri mkuu alikua na mashaka ya ndege kutua maana ile imetua kutokea kyaka na wakati ndege hua zinatua kutokea ziwaniHata waziri mkuu wetu aligusia hili, kua na mashaka ya uelekeo wa ndege yenyewe
Sababu angevunja maji hata hao wengine wangekufa sababu kwa maelezo yao ni kuwa maji yalishaanza jaaKwa maelezo ya yule mwamba kuna watu wa serekali ndio walimnyima kuvunja kioo sio kwamba nguvu zilimwisha
Kuna kitu hakiko sawa ila uchunguzi ufanywe na wahusika wa ndege na si TanzaniaHata waziri mkuu wetu aligusia hili, kua na mashaka ya uelekeo wa ndege yenyewe
Yeap! Hivyo iyo story behind ndio yenye madudu na tungependa mwenye madudu yake awajibishwe kama ni control tower tujue kama ni rubani RIP hukumu yake tuijue kama ni kampuni tujue! Hawa wa uokozi tumesha wajuaWaziri mkuu alikua na mashaka ya ndege kutua maana ile imetua kutokea kyaka na wakati ndege hua zinatua kutokea ziwani
kulikuwa na mawasiliano kati ya waongoza ndege na rubani pale uwanjani, lakini uamuzi wa mwisho huwa ni wa rubani mwenyewe wakati ndege ikiwa bado haija land.Yeap! Hivyo iyo story behind ndio yenye madudu na tungependa mwenye madudu yake awajibishwe kama ni control tower tujue kama ni rubani RIP hukumu yake tuijue kama ni kampuni tujue! Hawa wa uokozi tumesha wajua
Huyo rubani mbona jana alitangazwa kunusurika, isipokuwa mwenzake msaidizi ambaye ni raia wa Kenya?hili watu hawataki kuliongelea, kifupi uamuzi wa rubani umeghalimu maisha yake na ya wengine pia.