Undumila kuwili wa wamaagharibi mgogoro Gaza, Putin Dume!

Unamuongelea Putin yupi mkuu? Huyu kiungo wa Simba au yule anayepekekeshwa puta na Mr Zelesky? Hao Hizbullah soon watakipata wanachokitafutana usije kurudi tena hapa na misemo yenu " Pray for Lebanon"
 
"Revenge or collective punishment" ni haramu kokote kulikostaarabika. Katibu Mkuu UN anasema hata vita zina sheria zake. Kwamba haki za binadamu na natural justice lazima kuheshimiwa.
Upo sahihi kwa hili...
 
Huu unabii nani ameutoa?
 
Mnamganda sana putin ila yeye anawakataa. Kama kweli yuko pamoja na waarabu apeleke jeshi kama alivyofanya Ukraine.
 
Si mfano mzuri, Waarabu ni first party na Israel ni first party, Marekani ni 3rd party.

Urusi ambaye anamuunga mkono Palestina pia kuna wayahudi wengi tena wafanya Biashara wakubwa kama Avram, Tanzania, Kenya, Uganda kote kuna mashabiki wa pande zote mbili.
 
Mnamganda sana putin ila yeye anawakataa. Kama kweli yuko pamoja na waarabu apeleke jeshi kama alivyofanya Ukraine.
Unahisi Hamas wanachofanya sasa hivi kulipua ndege na kuaibisha IDF ni uwezo wao? Hamas wapo well Equiped wametoa wapi hizo Silaha, wana silaha za kisasa za Marekani ambazo zilipelekwa Ukraine wamezipata wapi?
 
Unahisi Hamas wanachofanya sasa hivi kulipua ndege na kuaibisha IDF ni uwezo wao? Hamas wapo well Equiped wametoa wapi hizo Silaha, wana silaha za kisasa za Marekani ambazo zilipelekwa Ukraine wamezipata wapi?
Onesha official statement kutoka kwenye serikali ya urusi kwamba wana waback Palestinians na watapeleka silaha kama marekani alivyofanya. Achana na silaha za kusmuggle
 
Wapi Israel wapo wapalestina hawapo?
1. Waziri mkuu wa Scotland analalamika mama mkwe wake amekwama Gaza, ni wapalestina hawa wana Cheo kikubwa tu Scotland.

2. Nenda Usa kuanzia kina Hadid, hadi kwenye MA engineer wakubwa Wa nyuklia unawakuta wapalestina,

3. Nenda South America RAISI El Salvador Mpalestina, Makamu Raisi Honduras Mpalestina, wana mabiashara makubwa na ni Mabanker wakubwa wakubwa wenye pesa za maana.

4. Ukija Nchi za kiarabu kuna wapalestina kibao mawaziri na vyeo vikubwa.

Issue hapa ni Uzayuni, hawa Zionist ni wakubwa kuliko Israel na Palestina ni wakubwa kuliko Uyahudi wana agenda zao nyengine kabisa.

Kuna wa Israel wengi mno hawaitaki hii vita leo tu asubuhi nimeona video ya orthodox jews wakiwa suppressed na IDF sababu ya kupinga vita.

So issue ni uzayuni na sio Palestina.
 
Onesha official statement kutoka kwenye serikali ya urusi kwamba wana waback Palestinians na watapeleka silaha kama marekani alivyofanya. Achana na silaha za kusmuggle
Sawa kaa isubirie hio official statement nchi ikikiri imesaidia kikundi kisicho kuwa na mamlaka.
 
Unahisi Hamas wanachofanya sasa hivi kulipua ndege na kuaibisha IDF ni uwezo wao? Hamas wapo well Equiped wametoa wapi hizo Silaha, wana silaha za kisasa za Marekani ambazo zilipelekwa Ukraine wamezipata wapi?
Putin mwenyewe alikua ndani kajifungia ahhhahh alivyoona Americans wameelekea middle east jamaa akatoka chap kwenda pale kyrgstan ata hana habari na waarabu wanaokufa gaza zaid ya matamko. 😀😀
 
Tatizo kwa Hawa wenzetu Waislam liko kwenye mafundisho ya Mtume Mohammad wao. Anafundisha chuki. Na hata watu wengine wa dini za Kikiristo, Hindu, Buddha hatuko salama.
Umeandika ukaingiza chuki zako..
 
Myahudi atawatesa mpka ujio wa masihi. Na ukichokoza acha ushuhulikiwe sawa sawa
Sawa na wewe endelea kushabikia wazayuni mpaka masihi aje, mtu ambaye anasema kila siku mtu mweusi hapaswi kukaa bila kufanywa mtumwa.
 
Hamas watandikwe ndio njia pekee ya kuishi na mwarabu
 
Sawa na wewe endelea kushabikia wazayuni mpaka masihi aje, mtu ambaye anasema kila siku mtu mweusi hapaswi kukaa bila kufanywa mtumwa.
We kwanini usilalamikie madhila ya waafrica wanachofanyiwa na waarabu hapo dafur Sudan au wewe akitajwa mwarabu unaona katajwa mtume. Miafrica bure kabisa
 
We kwanini usilalamikie madhila ya waafrica wanachofanyiwa na waarabu hapo dafur Sudan au wewe akitajwa mwarabu unaona katajwa mtume. Miafrica bure kabisa
1. Hilo ni Eneo la vita,
2. Hakuna Muisilamu ama mwarabu anaeshabikia hivyo vitu, huo ni uhalifu kama uhalifu mwengine.

Hapa tunaongelea Apartheid ama uhalifu ambao upo backed na Dini/Nchi.

Kuna watu weusi wengi tu Nchi za kiarabu wenye vyeo vikubwa hadi viongozi, Wa nchi, hivyo hakuna ubaguzi wowote uliohalalishwa na Katiba ama viongozi,
 
Kuna watu wanafiki humu sijawahi kuona
Masai wanahamishwa na kuuwawa wana tofauti gani na Palestine wanaotolewa Makwao
Halafu mtu anashangilia

Aborigines na Red Indians na Kurds wana tofauti gani mbona tunakuwa warahisi kusahau hivi
Acha nipumzike tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…