Undumila kuwili wa wamaagharibi mgogoro Gaza, Putin Dume!

Undumila kuwili wa wamaagharibi mgogoro Gaza, Putin Dume!

PUTIN hana moral yoyote kuifundisha Israel ustaarabu, yeye anachokifanya Ukraine ni nini kama sio kupora ardhi na kuikalia kimabavu?
putin ni war lord kama alivyo netanyahu, akae kimya waongee wengine
Una habari yoyote kuhusu Jimbo la mexico city la USA,
Una habari yoyote kuhusu
Eneo la Guantanamo bay la Cuba?
Una habari yoyote kuhusu kisiwa Cha Hawaii?
Kwa uchache TU.
Unajua kuhusu bifu la USA na mexico?
Achilia mbali historia ya wahindi wekundu wa Marekani
 
Shughuli ya pale Gaza pitia historia kuielewa, hii mifano unatumia sijui mara Ruto, mara Migingo wala haisaidii kitu.
Kuna migogoro ya kipekee duniani inataka ushirikishe ubongo kuielewa.
Kila mkizingua, Israel inajimegea ardhi zaidi.

Iko nje ya mada ndugu. Hata hivyo Dunia si wajinga kutaka kujihesabia haki wewe kijiweni:

Screenshot_20231015-150637~2.jpg
 
Iko nje ya mada ndugu. Hata hivyo Dunia si wajinga kutaka kujihesabia haki wewe kijiweni:

View attachment 2782800

Haya mapicha nimekuambia hayasaidii kitu, Israel wamezungukwa na magaidi ya kidini ambao dini yao imeamrisha Wayahudi wauawe hadi wa mwisho, hivyo lazima wakae kimabavu...

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
Haya mapicha nimekuambia hayasaidii kitu, Israel wamezungukwa na magaidi ya kidini ambao dini yao imeamrisha Wayahudi wauawe hadi wa mwisho, hivyo lazima wakae kimabavu...

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

Endelea kuota ndugu suala la haki na ukiukwaji wa haki ni la kiuhalisia (real) na kuwa mchokozi hushughulikiwa kisheria si kiimani.

Kaa hapo hapo na Imani zako ndugu.
 
Endelea kuota ndugu suala la haki na ukiukwaji wa haki ni la kiuhalisia (real) na kuwa mchokozi hushughulikiwa kisheria si kiimani.

Kaa hapo hapo na Imani zako ndugu.

Sioti ndugu, haya ni masuala ya mbali sana na ndio maana nimekuambia ujifunze historia tangu mtume wenu aliposema wayahudi wachinjwe hadi wa mwisho, hivyo wana haki ya kukaa na nyie jino kwa jino.
 
Kwa hiyo Hamas waue na kuteka waisrael Huku mnashangilia utekaji huo na kuwaita hamasi ni mashujaa, Israel imeisha ni dhaifu halafu Israel wawachekee! Hakuna nchi ambayo inaweza kuvumilia uchokozi wa hamasi.
Israel ni mvamizi kama tu Idd Amin pale Kagera je na sisi tulivyomvurumusha tulikosea?

Wanachofanya Ukraine ndio hiko hiko anafanya Hamas but huu unafiki ni kwa faida ya nani?
 
Israel ni mvamizi kama tu Idd Amin pale Kagera je na sisi tulivyomvurumusha tulikosea?

Wanachofanya Ukraine ndio hiko hiko anafanya Hamas but huu unafiki ni kwa faida ya nani?

Putin ni mchokozi Ukraine lakini Kwa kumkemea Israel yuko sahihi. America kumwunga mkono Ukraine ni sahihi lakini si Israel hapa.
 
Back
Top Bottom