MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Historia hiyo inafahamika mno ndugu wala usidhani kuna rocket science hapo.
Causes of the 1948 Palestinian expulsion and flight - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Wapalestina 700,000 walifukuzwa hapo 1948. Mengine ni kama ilivyo kwenye mada. Yote hayo ni history.
Uhalisia wa mambo tulipo ni kuwa:
Since the 1967 international armed conflict between Israel and its neighboring States that triggered the application of the four Geneva Conventions of 1949, the Palestinian territory has been under the authority of the Israeli army."
Dunia inajua Israel inakalia ardhinya wapalestina.
Ninakazia:
Palestina ina haki ya kupambana na mwizi wake w ardhi.
Kama ni historia kila mtu ana yake. Huwezi na historia yako peke yako isiyokubalika na wengine. Huo utakuwa ujambazi.
Unaongea kuhusu historia ya juzi sana, nimekuambia fanya utafiti wacha kukaririshwa.