Undumila kuwili wa wamaagharibi mgogoro Gaza, Putin Dume!

Undumila kuwili wa wamaagharibi mgogoro Gaza, Putin Dume!

Historia hiyo inafahamika mno ndugu wala usidhani kuna rocket science hapo.


Wapalestina 700,000 walifukuzwa hapo 1948. Mengine ni kama ilivyo kwenye mada. Yote hayo ni history.

Uhalisia wa mambo tulipo ni kuwa:

Since the 1967 international armed conflict between Israel and its neighboring States that triggered the application of the four Geneva Conventions of 1949, the Palestinian territory has been under the authority of the Israeli army."

Dunia inajua Israel inakalia ardhinya wapalestina.

Ninakazia:

Palestina ina haki ya kupambana na mwizi wake w ardhi.

Kama ni historia kila mtu ana yake. Huwezi na historia yako peke yako isiyokubalika na wengine. Huo utakuwa ujambazi.

Unaongea kuhusu historia ya juzi sana, nimekuambia fanya utafiti wacha kukaririshwa.
 
Urusi kabanwa huko kwake.

Msingi wa mada ni katika kumwunga mkono Palestina kama mtu anayepambana na mwizi wa ardhi yake

Mvamizi hawezi kudai haki yake ya kujilinda kwenye maeneo ya wizi.. Yeyote akisimama na Palestina kwenye hili anastahili maua yake

Putin yuko hapa Kwa kutouitika upuuzi wa wamagharibi kusimama na Israel kwa lolote dhidi ya Palestina.
 
Unaongea kuhusu historia ya juzi sana, nimekuambia fanya utafiti wacha kukaririshwa.

SIsi tunaongelea international law siyo disputes (hadithi) za Kilimanjaro ni Kenya, Kagera ni Uganda au Mingino island ni Uganda, au Kenya's waters in the Indian ocean ni Somalia?


Hatuandiki hapa from nowhere. Acha ujuaji ndugu.

Tafadhali jikite kwenye mada.
 
PUTIN hana moral yoyote kuifundisha Israel ustaarabu, yeye anachokifanya Ukraine ni nini kama sio kupora ardhi na kuikalia kimabavu?
putin ni war lord kama alivyo netanyahu, akae kimya waongee wengine
 
PUTIN hana moral yoyote kuifundisha Israel ustaarabu, yeye anachokifanya Ukraine ni nini kama sio kupora ardhi na kuikalia kimabavu?
putin ni war lord kama alivyo netanyahu, akae kimya waongee wengine

Kumbe nani anayo ndugu? Si walisema heri nusu shari? Hapa chini yapo kwenye mada:

Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Vladimir Putiin, (pamoja na ukakasi Ukraine) rais wa Urusi.

Au hukuyaona ndugu?

Hao wenye moral authority wamefanya nini, hata?
 
I
Sawa kwa hio waarabu wanadanganya kwa kumuweka mtu mweusi Awe kiongozi wao sio?

1. Mukiuana humu Mauaji yote ya Zanzibar watu wanakimbilia Oman na wanapokelewa wanapewa opportunities kama wengine

2. Wakati wote wa Ukoloni waliokimbia Africa wamepewa hifadhi Arabuni, Saudi pekee asilimia 10 ya Raia wake ni watu weusi ambao wanaishi eneo la kandokando ya Mecca. Asili yao ni Nigeria wamekimbia Ukoloni, ndio hao tunawaona hadi world cup.

3. Tumeona Saudi, Oman, Kuwait etc Royal Family zenye watu weusi. Sijawahi sikia Royal Family ya kiarabu ikifanya Assassination sababu mtoto sio damu yao, wana rise hadi wanakua Wafalme, huko kwengine sasa.

Kuhusu hao wadada hizo case zipo nyingi mno na sio rahisi kwa serikali za kiarabu kuzihandle Tushazungumzia sana humu mfano hio Al ain unayosema ni Dubai? Hapo UAE asilimia 10 tu ndio wenyewe raia na asilimia 90 ni wageni kuna ushenzi wa kila namna kama huja enda official unategemea nini? Mbona wa Filipino wengi wanatoboa? Ukiondoka Nchini kwako hakikisha Ubalozi wako wanajua, serikali unapokwenda wanajua, unajulikana unafanya kazi kwa nani hakuna atakae kuzingua na ikitokea umefanyiwa kitu kibaya sheria itafuata mkondo wake.
ngekuwa simpo hivo hao waarabu wenzao Yemen Syria Iraq wasingekimbilia ulaya Wakat wenzao hela ipo mingi. Waarabu ni Mashetan wenye miili ya binadamu Chief. Ngoja nikuulize jambo. HIV serIkali yako ilivyowahamisha wamasai kwa nguvu eneo lao la asili umefanya nini mkuu? Au wao sio binadamu.
 
I

ngekuwa simpo hivo hao waarabu wenzao Yemen Syria Iraq wasingekimbilia ulaya Wakat wenzao hela ipo mingi. Waarabu ni Mashetan wenye miili ya binadamu Chief. Ngoja nikuulize jambo. HIV serIkali yako ilivyowahamisha wamasai kwa nguvu eneo lao la asili umefanya nini mkuu? Au wao sio binadamu.
Huwezi fananisha issue ya wamasai na hii hata kidogo. Wamasai hawapelekwi Kenya ama Sahara desert wapo hapa Hapa Tanzania na haki zote wanazo.

Na hao waarabu unaosema ni mashetani ndio kila siku wanakusaidia tena bila masharti wanatoa sababu wanajua kesho watakikuta kwa mungu.

Niliwahi kuandika humu kinchi kidogo tu cha Kuwait.
1. Ndio kimesaidia kukomesha wakati MA Albino wanauliwa
2. Wamekupa misaada ujenge daraja la Mkapa
3. Dodoma ukame wote wakaja kukujengea visima vikubwa upate maji
4. Hizo barabara ndio usiseme.

Kuna mdau alileta Deni la Taifa humu majority Tunadaiwa na hao hao waarabu na Wairan.

Jiulize huyo unayemuita Shetani umemsaidia nini wakati yeye anakusaidia kila siku.
 
Wasipoangalia hapa vita kuu #3 ya Dunia inanukia.

"Bila kusahau Iran iko na Palestina na Hizbolla. Na Iran Iko na Urusi."

Cc: MK254
kwani ulikua hujui kuwa nchi hizo ni kitu kimoja na wapalestina? Wawe makini sana kwenye mgogoro huu la sivyo nao watakula kisago cha mbwa koko
 
SIsi tunaongelea international law siyo disputes (hadithi) za Kilimanjaro ni Kenya, Kagera ni Uganda au Mingino island ni Uganda, au Kenya's waters in the Indian ocean ni Somalia?


Hatuandiki hapa from nowhere. Acha ujuaji ndugu.

Tafadhali jikite kwenye mada.

Nimekuambia tumia historia sio hadithi, kuna maugomvi dunia hii hauwezi kukurupuka bila kusoma historia na kuelewa yalikochipukia. Wacha kukaririshwa mambo ya ajabu kisa dini.
 
Aise
Huwezi fananisha issue ya wamasai na hii hata kidogo. Wamasai hawapelekwi Kenya ama Sahara desert wapo hapa Hapa Tanzania na haki zote wanazo.

Na hao waarabu unaosema ni mashetani ndio kila siku wanakusaidia tena bila masharti wanatoa sababu wanajua kesho watakikuta kwa mungu.

Niliwahi kuandika humu kinchi kidogo tu cha Kuwait.
1. Ndio kimesaidia kukomesha wakati MA Albino wanauliwa
2. Wamekupa misaada ujenge daraja la Mkapa
3. Dodoma ukame wote wakaja kukujengea visima vikubwa upate maji
4. Hizo barabara ndio usiseme.

Kuna mdau alileta Deni la Taifa humu majority Tunadaiwa na hao hao waarabu na Wairan.

Jiulize huyo unayemuita Shetani umemsaidia nini wakati yeye anakusaidia kila siku.
e umeongea upuuzi wa hali ya juu. Yaan wamasai uwatoe nchini ya ya asili uwahamishie usambaan ni sawa kwako japo wamekataa na wengi kuuwawa na kuumizwa. Kila siku unasikia wanafukuzwa wachungaji na ng'ombe zao kila mahali kwasababu kwao mliwafukuza. Wewe kwako ni sawa pumbavu kabisa. Misaada hata shetan anaweza kukupa Chief ni wewe tu ukubaliane na mashart yake. Narudia tena kukuambia katika nchi 57 nilizotembea hapa dunian na katika jamii nyingi Mungu alizonipa nafas kuziona mwarabu ndio shetan kabisa. Zaman nilifikir wazungu ndio wabaguz kupita kias kumbe nilijidanganya. Jichanganye huko vijiijn au vimji vidogo uarabun ndio utawajua hawa sio watu. Nimekutolea mfano pale Darfur Sudan. Haya kwanini hampigi kelele pale Morocco anachowafanyia jamiiforum ya saharawi kwakuchukua nchi yao. Au kwanini hammuongea madhila wanayopitia wakurd Kati ya turkey Syria Iran na Iraq? Na unavyosema wameporwa nchi yao hao walioporwa na waliopora si walishakufa. Unataka mjukuu aliyewazaliwa hapo aende wapi. Ni kama mwarabu aliyezaliwa Tanzania umwambie arud Oman. Kwa nani.
 
Nimekuambia tumia historia sio hadithi, kuna maugomvi dunia hii hauwezi kukurupuka bila kusoma historia na kuelewa yalikochipukia. Wacha kukaririshwa mambo ya ajabu kisa dini.

Ugomvi hautanzuliwi kwa mujibu wa historia bali kwa mujibu wa sheria haijali wewe ungetaka iweje. Kwani wewe ni nani ndugu?

Vinginevyo Mingino island ingekuwa Uganda, sehemu ya maji ya bahari ya Hindi inayozozaniwa ingekuwa Somalia na mlima Kilimanjaro ungekuwa Kenya.

Migogoro hutanzuliwa Kwa mujibu wa sheria:

IMG_20231015_072729.jpg


Punguza mahaba kwa wa magharibi.

Haki ya mtu haiwezi kutegemea mahaba ya watu na hasa walamba makombo.
 
Ugomvi hautanzuliwi kwa mujibu wa historia bali kwa mujibu wa sheria haijali wewe ungetaka iweje. Kwani wewe ni nani ndugu?

Vinginevyo Mingino island ingekuwa Uganda, sehemu ya maji ya bahari ya Hindi inayozozaniwa ingekuwa Somalia na mlima Kilimanjaro ungekuwa Kenya.

Migogoro hutanzuliwa Kwa mujibu wa sheria:

View attachment 2782438

Punguza mahaba kwa wa magharibi.

Haki ya mtu haiwezi kutegemea mahaba ya watu na hasa walamba makombo.

Narudia tena, sio kila migogoro ya kukurupuka kwa hizo hisia za kidini na kukaririshana huko, kuna mingine ina historia ya mbali sana.
Kuna mwenzako ametumia ubongo kudadavua huu mgogoro bila hisia za kidini, fuatilia huku labda utajifunza kitu Pongezi kwa Zakazakazi kuufafanua mgogoro wa Israel na Palestina kwa facts, ni Muislam lakini kaweka dini kando kuelezea ukweli, someni alichoandika
 
Tatizo lilopo Palestina ni la muda mrefu kutokea kwenye unyakuzi wa maeneo yaliyokuwa ya wapalestina kufanywa taifa la Israel. Pia unyakuzi wa maeno zaidi ulioendelea kufuatia vita mbali baina yao 1967 na 1973.

Duniani kote watu wanaandamana kupinga ulipizaji kisasi wa Israel kwa wapalestina wote, kwa vita vyake na HAMAS:


View: https://m.youtube.com/watch?v=0bfIBhWquTU

Uingereza imepiga marufuku kunyanyua bendera ya HAMAS hadharani, lakini bado zinapanda. Maandamano ni kwingi duniani. Tokea mashariki ya mbali, kati, ya magharibi hadi New York huko, ni maandamano mtindo mmoja na si madogo.

Syria, Lebanon na West Bank kumeshakuwepo makabiliano (ya moto) na makombora mazito mazito. Huko ni maeneo mapya ya makabiliano.

"Hezbollah (Lebanon) Kwa hakika wapewe maua yao kwa kusimama na wapalestina kwa vitendo vikamilifu katika wakati huu mgumu." Bila kusahau Iran iko na Palestina na Hizbolla. Na Iran Iko na Urusi.

"Revenge or collective punishment" ni haramu kokote kulikostaarabika. Katibu Mkuu UN anasema hata vita zina sheria zake. Kwamba haki za binadamu na natural justice lazima kuheshimiwa.

Marekani na washirika wake wameapa kuiunga mkono Israel kwa lolote. Bila shaka "lolote" ni kwa maana yake kamili.

"Putin amekuwa wazi. La muhimu Sasa hivi ni kisisitiza vita kusimama mara moja. Bila kusahau historia ya mgogoro huu kwenye ni kwenye uvamizi wa ardhi ya Palestina."

Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Vladimir Putiin, (pamoja na ukakasi Ukraine) rais wa Urusi.

"Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni."

Kwa hakika Nyerere, Mandela, Tutu na wa namna hiyo wangekuwapo, wangesha walaani Israel na kuwaunga mkono Palestina. Kwa hakika wangekuwa wameyafanya hayo hadharani na mchana kweupe.

Uzi huu unahusika:

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

wee mpigie Yahudi Putin Kumbe hujui Anamsaidia Yahudi Kwa kipunjo??
Shangaa kama kuna mrusi Aliye andamana kuipinga Israel!!
Halafu jiulize jihad zote nchi za kiarabu baada ya Kuabudiwa na mrusi ipi imefanikiwa??? 👂

Shituka bro!
 
Naomba uanzishe uzi wa ichokiandika.
Umeongea ukweli ambao wengi hawajui.

Huwa nasema dini ya uislam inatengeneza chuki zaidi na kuleta machafuko duniani.
Japo wapo waislam wachache wanaojitambua na kuutambua ukweli.
Von Bismarck nimeanzisha Uzi kama ulivyoshauri " Ukweli kuhusu wakazi halisi wa nchi Takatifu"-habari mchanganyiko"
 
Narudia tena, sio kila migogoro ya kukurupuka kwa hizo hisia za kidini na kukaririshana huko, kuna mingine ina historia ya mbali sana.
Kuna mwenzako ametumia ubongo kudadavua huu mgogoro bila hisia za kidini, fuatilia huku labda utajifunza kitu Pongezi kwa Zakazakazi kuufafanua mgogoro wa Israel na Palestina kwa facts, ni Muislam lakini kaweka dini kando kuelezea ukweli, someni alichoandika

Wewe ni zaidi ya hawa?

IMG_20231015_072729.jpg


Kwamba?

"Israel occupation is unlawful."

Kama hutaki, kakate rufaa, si kukomaa ndugu.
 
wee mpigie Yahudi Putin Kumbe hujui Anamsaidia Yahudi Kwa kipunjo??
Shangaa kama kuna mrusi Aliye andamana kuipinga Israel!!
Halafu jiulize jihad zote nchi za kiarabu baada ya Kuabudiwa na mrusi ipi imefanikiwa??? 👂

Shituka bro!

Unashindwa kufahamu kuwa mada Wala si kuhusu mapigano.

Mada ni kuhusu Palestina kuonewa. Kwamba hata alichofanya HAMAS ilikuwa ni kwenye kupambana nawizi wake.

Mwizi (wa ardhi) hawezi kuchagua mkong'oto wake.

Ndiyo maana walikumbukwa kina Nyerere, Tutu, Mandela, Winnie na wa namna hiyo kuwa wasingekaa kimya.

Putin kama wao kaonyesha njia.

"Haki ni haki, hata kama ya jambazi."

Hapo ndipo tunapoachana njia panda.
 
Wewe ni zaidi ya hawa?

View attachment 2782654

Kwamba?

"Israel occupation is unlawful."

Kama hutaki, kakate rufaa, si kukomaa ndugu.

Haya mapicha hayasaidii kitu, nimekuambia na narudia kuna migogoro dunia hii inabidi ujielimishe historia, tatizo mumeshikiliwa akili hamna ujasiri wa kuthubutu kujiongeza.
Hamtokaa muifute Israel, mumejaribu miaka mingi na kila mkijaribu Israel wanamega ardhi zaidi.
 
Aise

e umeongea upuuzi wa hali ya juu. Yaan wamasai uwatoe nchini ya ya asili uwahamishie usambaan ni sawa kwako japo wamekataa na wengi kuuwawa na kuumizwa. Kila siku unasikia wanafukuzwa wachungaji na ng'ombe zao kila mahali kwasababu kwao mliwafukuza. Wewe kwako ni sawa pumbavu kabisa. Misaada hata shetan anaweza kukupa Chief ni wewe tu ukubaliane na mashart yake. Narudia tena kukuambia katika nchi 57 nilizotembea hapa dunian na katika jamii nyingi Mungu alizonipa nafas kuziona mwarabu ndio shetan kabisa. Zaman nilifikir wazungu ndio wabaguz kupita kias kumbe nilijidanganya. Jichanganye huko vijiijn au vimji vidogo uarabun ndio utawajua hawa sio watu. Nimekutolea mfano pale Darfur Sudan. Haya kwanini hampigi kelele pale Morocco anachowafanyia jamiiforum ya saharawi kwakuchukua nchi yao. Au kwanini hammuongea madhila wanayopitia wakurd Kati ya turkey Syria Iran na Iraq? Na unavyosema wameporwa nchi yao hao walioporwa na waliopora si walishakufa. Unataka mjukuu aliyewazaliwa hapo aende wapi. Ni kama mwarabu aliyezaliwa Tanzania umwambie arud Oman. Kwa nani.
Mkuu Tukubali kutokubaliana we ni hater chochote nitakachosema hutakikubali sababu moyo wako tayari unaamini hilo.

Mfano hio Morocco itengwe mara ngapi? Nchi nyingi Duniani hazina mahusiano mazuri na Morocco iwe Za Kiarabu hadi Tanzania. Toka Kipindi cha Nyerere nchi ambazo hatuna mahusiano nazo ni Israel na Morocco. Kuieka hapo tayari inaonesha unaongozwa na Chuki badala ya uhalisia, Algeria na Morocco haziendi,

Mfano Algeria wanatambua Uhuru wa Western Sahara

Israel wanakubaliana na Morocco kuikalia kimabavu Western Sahara


Hivyo unaona mambo hayapo kama unavyotudanganya, Zipo Nchi za Kiarabu zipo against kama vile Yemen, Algeria, Syria, Libya Etc. Pia nchi nyengine ambazo haziendi sana na West kama Iran, Vietnam, Mexico etc zote zina support Western Sahara.

Hao machampion wako wenye Roho nzuri kama Usa na washirika wake wa West wote wanasuport Morocco kuikalia kimabavu Western Sahara.

Na Darfur siku zote ni sehemu yenye vita na tunajua nani wapo nyuma, siku nyingi tu hio nchi inapigana proxy wars za Magharibi na Urusi na sehemu nyengine, kama Ilivyo Isis na vikundi vingine has nothing to do na hao unaowasema.

Same kwa hao wakurdi sio black and white kama unavyofikiria kwamba waarabu hawawapendi wakurdi, kuna varieties kibao kila mmoja na maslahi yake, na wakurdi wanaishi kwa amani hizo nchi vita vipo tu kwa Nchi ambazo Wakurdi wanafanya uasi.
 
Haya mapicha hayasaidii kitu, nimekuambia na narudia kuna migogoro dunia hii inabidi ujielimishe historia, tatizo mumeshikiliwa akili hamna ujasiri wa kuthubutu kujiongeza.
Hamtokaa muifute Israel, mumejaribu miaka mingi na kila mkijaribu Israel wanamega ardhi zaidi.

Hayo siyo mapicha ndugu. HIzi ni hukumu tokea world bodies huko. Hakuna historia yenye kuishinda sheria kwenye jambo lolote.

Zingatia Ruto yuko ofisini huko si kwa mujibu wa historia bali sheria.

Bila sheria animalism kama ya Israeli inachukua nafasi. Hiyo haikubaliki na mpalestina anayo haki ya kujilinda.
 
Hayo siyo mapicha ndugu. HIzi ni hukumu tokea world bodies huko. Hakuna historia yenye kuishinda sheria kwenye jambo lolote.

Zingatia Ruto yuko ofisini huko si kwa mujibu wa historia bali sheria.

Bila sheria animalism kama ya Israeli inachukua nafasi. Hiyo haikubaliki na mpalestina anayo haki ya kujilinda.

Shughuli ya pale Gaza pitia historia kuielewa, hii mifano unatumia sijui mara Ruto, mara Migingo wala haisaidii kitu.
Kuna migogoro ya kipekee duniani inataka ushirikishe ubongo kuielewa.
Kila mkizingua, Israel inajimegea ardhi zaidi.
 
Back
Top Bottom