😂😂😂😂😂😂😂😂chochote unachotaka kufanya kwenye mahusiano fanya kwasababu umependa mwenyewe au unajifurahisha
usifanye kwa ajili ya mwanaume 😂hawa wenye miguu mitatu utafanya na bado atatumia ulichofanya kama sababu ya kukuacha
Naona option ya kumwacha kwakuwa kaku-cheat haipo tena siku hizi; umesema:Utamsaidiaje aache? Au na wewe utampatia??
Boss unajua kusoma vizuri?Naona option ya kumwacha kwakuwa kaku-cheat haipo tena siku hizi; umesema:
- Asaidiwe kuacha
- Uanze kumpa
Feminist wakaribishwe hapa pia kwa maoni zaidi.😊
Ila jf jaman Kwan hamjasoma kwamba sio mimi. Sasa why mna ni address mimi?Hata ukimpatia ataenda kwa mwingine kutafuta kitu kingine. Utateseka sana kwenye hii dunia ukiwafatiliza viumbe wasioridhika
Namaanisha pole Kwa wewe uliyesikia, maana amekufanya uwaze kidogo.Mpe yeye pole sio mm
Mwislam by choiceDuuuuh hii dunia mbona hatari saana , unawezaje ingia mrango wa kutokea tena unatoka uchafu 🤮🤮🤮🤮 alafu mtu anaramba duuuuh
Mfikishie ujumbe huyo maza.Ila jf jaman Kwan hamjasoma kwamba sio mimi. Sasa why mna ni address mimi?
Mbali na hapo umeandika hoja nzuri Sana