Unique Sisters wako wapi siku hizi?

Unique Sisters wako wapi siku hizi?

John Mjema alipogundua anao akajiua kwa kujichoma kisu moyoni laiti angepata ushauri mzuri akatafuna njugu tungekuwa naye sasa hivi. Jini Kabula yule tall naye alitakaga kujiua ila kanselling ikamsaidia akaanza dozi sasa hivi huwezi kumtambua pisii kali ataondoka na wengi.

King Kong III
Mkuu acha basi! Mbona unataka tuishi kwa mawazo hapo kwa Kabula [emoji47]
Inamana siku hizi anakula mbaazi?!
 
Daah kweli sio poa hapa ndo napoogopa hata kama nilikuwa na mechi nikikumbuka hii kitu stimu zinakata😁😁
Siku kupima kumelaisishwa kama unataka kuchakata mbususu kavu kampime kwanza.Akikumbia mshukuru Mungu.Ukiambiwa Fresh chakata.
 
We mwamba tutakuwa tunajuana, hizo ndo area zangu sana tu
Mimi mtoto wa makumbusho karibu na makumbusho shule ya msingi usawa wa Bahari Motors ya mzee wa Sera ya ubwabwa uchaguzi mkuu uliopita😆 . Mwananyamala kwa Kopa, Victoria, Kijitonyama yoote ndo maeneo niliyokulia mkuu.
 
Wale madada warembo watatu waliotamba Bongo flavor miaka ya 2000 mabinti wa Kipozi Unique Sisters/ Dadaz wako wapi siku hizi na wanafanya nini?

Walikuwa wanaongea kijapani kilichonyooka, walishaishi Japan.

Kuna huyu jamaa mabangi walimshirikisha kwenye ngoma yao flani Mez B naye yuko wapi siku hizi na anafanya nini?
Members wawili wa Unique Sisters (mkubwa na mdogo kabisa) wanafanya kazi kwenye media kama ilivyo kwa kaka yao Ramadhani Tuwa, ila yule wa kati aliolewa na Mjapan na anaishi Japan, hii ni mojawapo ya sababu ya wao kuacha muziki, japo sababu nyingine kubwa inasemekana ni dhuluma iliyokuwepo wakati huo kwa media fulani ya wazee.wa fursa. Nimewahi kufanya kazi na mama yao Sango Kipozi na kaka zao wawili: Hussein na Ramadhani Tuwa...
 

Attachments

  • Screenshot_2023-04-05-10-50-35-367_com.instagram.android.jpg
    Screenshot_2023-04-05-10-50-35-367_com.instagram.android.jpg
    243.5 KB · Views: 22
Nadhani wapo nje ya inchi kama nakumbuka vizuri wameolewa na wachina na wazungu.
 
Back
Top Bottom