Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas, Wabunge wa Israel walia

Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas, Wabunge wa Israel walia

Mabwana zako mwezi sasa wanauwa kama kuku. Kafiri hamshindi muislam
Wewe unashabikia uislamu ambayo ni utamaduni wa mwarabu na wewe haikuhusu kwani hata wewe mwarabu anafahamu vyema kwamba wewe ni pagazi wake tu na kafiri kama mashia wa Iran.

Mtu mweusi atakuwa limbukeni tu mpaka mwisho kwa sababu haachi fikra ya utumwa hata siku mmoja.
 
Umenikumbusha jamaa mmoja huko iraki alikua anaitwa chemical ally... tulimwamini ila baadae bosi wake sadamu husein akanyongwa
Hiyo habari ipo guardian uingereza,na hakuwa chemical,rejea kumbukumbu zako vizuri
 
The new graveyard if empires ,the new Afghanistan .
Hii vita hawa wazayuni wa Rombo walichukulia kiwepesi sana ,vita si rahisi
Wazayuni watakaoingia kichwa kichwa hapo watalambishwa mchanga tu
Sio hivyo
Ila hii vita pamoja na ya Ukrein italeta mabadiliko makubwa sana ktk mambo ya maamuzi na utawala wa ulimwengu.
 
Ni kweli kabisa kwani hata hao watu karibu 9000 waliouawa ni wachacge sana, namajengo waliobomoa israel si mengi ki hivyo!!! Acha wampelekee tu moto israel
Usichanganye Hamas na Wapalestina wanaokufa kila mtu Ana Goals zake. Hamas wapo kwenye mahandaki huko hayo mabomu ambayo hata hayafukui msingi wa Nyumba hata hayawagusi, real loser wa vita ni IDF na Wananchi wa Palestina ila so Far Hamas hawajaathirika
 
Palestina haina cha kupoteza... Resistance ipo kwenye damu.. wakimalizwa Hamas sahiv, hao wakimbizi unawaona vitoto vya kipalestina ndo Hamas wa kesho.

Halafu siri moja ni kwamba, wanawake wa Kipalestina wanafyatua watoto sio mchezo.

Ndo maana hii vita mpaka sasa ni ushindi mkubwa wa Palestina. Maana two state solution inaenda kutokea wala sio siri, maana hata Israel haamini macho yake.

Hapo bado ijumaa sijui Hassan Nasrallah atasema nini.
 
Ukiangalia IDF wanavyopigana na Hamas ni kama hawajajiandaa na urban war. Kuna Clip moja niliiona Twitter Wanajeshi wamejikusanya kama kumbikumbi wamevikimbia vifaru baada ya kuwa ambushed na Hamas
Wanajeshi wa Israel waliouliwa ni wengi kwa siku chache tu tangu waingie Gaza.Mapigo ya Hamas yanaonesha wazi wazi wana jeshi la siri linalowasaidia,kwa sababu kifaru cha merkava isingekuwa rahisi kuripuliwa na RPG tu.

Siku ya mwanzo pekee inakisiwa walikufa askari karibu 50 kwani vifaru vilivyoongoza msafara viliunguzwa vyote na hakukuonekana askari aliyetoka kukimbia.

Kumbuka siku hiyo IDF baada ya pigo hilo walisema wameingiza vifaru katika hatua ya mwanzo kama matayarisho na baadae wakavirudisha.Kumbe walirudishwa nyuma.

Yanayoendelea kutokea sasa ikiwa ni siku ya 5 ni zaidi ya vita vya siku ya mwanzo.
 
Sasa bro kwa akili ndogo tu upo zako Buguruni kwa madenge unafikiri kuonea kwako huruma. Au kufurahia kwako wenzako wakiuliwa kuna athari ipi ya moja kwa moja kwenye vita inayopiganiwa huko middle east
Ni kweli
 
Back
Top Bottom