...... Sawa na wewe unavyojiona pagazi wa mwarabu hadi leo hadi jina una la mwarabu, bure kabisa black African.Kafiri akisikia hamas anawaua majeshi ya Isreal roho inamuua. Utadhani na yeye muyahudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...... Sawa na wewe unavyojiona pagazi wa mwarabu hadi leo hadi jina una la mwarabu, bure kabisa black African.Kafiri akisikia hamas anawaua majeshi ya Isreal roho inamuua. Utadhani na yeye muyahudi
Wewe unashabikia uislamu ambayo ni utamaduni wa mwarabu na wewe haikuhusu kwani hata wewe mwarabu anafahamu vyema kwamba wewe ni pagazi wake tu na kafiri kama mashia wa Iran.Mabwana zako mwezi sasa wanauwa kama kuku. Kafiri hamshindi muislam
Hiyo habari ipo guardian uingereza,na hakuwa chemical,rejea kumbukumbu zako vizuriUmenikumbusha jamaa mmoja huko iraki alikua anaitwa chemical ally... tulimwamini ila baadae bosi wake sadamu husein akanyongwa
Sio hivyoThe new graveyard if empires ,the new Afghanistan .
Hii vita hawa wazayuni wa Rombo walichukulia kiwepesi sana ,vita si rahisi
Wazayuni watakaoingia kichwa kichwa hapo watalambishwa mchanga tu
wapi nimesema vita haina maafa mkuu ama ndo wale mnajitungiaga maswali kwenye mtihani, baada ya kuona maswali yote huyawezikuna vita haina maafa au muv za Anord zimekushika akili?
Mnabaki kujifariji vita vya ardhini vinaweza kumtoa madarakani netanyau ngoja baada ya miezi 5 ijayo tutasikia mengimuda si mrefu mtarud kivingine
La msingi tulieni tu mvua inyeshe tuone panapovuja!! Baadaye msianze kulia lia!!Vita vya ardhini watapata tabu sana,HAMAS wana mahandaki maalumu ambayo yamejengwa kistadi na yana mzunguko wa zaidi ya 400km. Yaani umbali wa kama Dar to Tanga,ndio wanayatumia kushambulia misafara ya wanajeshi wa Israel...
Wakifika 100 vita basi.Netanyahu ataacha kile kiburi chake cha kukataa UN resolutionWamepigwa kifala sana.
Hamas has nothing to lose, so far washafanikiwa kwa zaidi ya Asilimia 100.La msingi tulieni tu mvua inyeshe tuone panapovuja!! Baadaye msianze kulia lia!!
Ni kweli kabisa kwani hata hao watu karibu 9000 waliouawa ni wachacge sana, namajengo waliobomoa israel si mengi ki hivyo!!! Acha wampelekee tu moto israelHamas has nothing to lose, so far washafanikiwa kwa zaidi ya Asilimia 100.
Source please.Wana mgambo wa Hamas wameshambhulia na kuuwa Askari zaidi ya 14 kwa mkupuo kwenye msafara wa jeshi la Israel Kaskazini mwa GazaView attachment 2800493View attachment 2800494View attachment 2800495
Usichanganye Hamas na Wapalestina wanaokufa kila mtu Ana Goals zake. Hamas wapo kwenye mahandaki huko hayo mabomu ambayo hata hayafukui msingi wa Nyumba hata hayawagusi, real loser wa vita ni IDF na Wananchi wa Palestina ila so Far Hamas hawajaathirikaNi kweli kabisa kwani hata hao watu karibu 9000 waliouawa ni wachacge sana, namajengo waliobomoa israel si mengi ki hivyo!!! Acha wampelekee tu moto israel
Wanajeshi wa Israel waliouliwa ni wengi kwa siku chache tu tangu waingie Gaza.Mapigo ya Hamas yanaonesha wazi wazi wana jeshi la siri linalowasaidia,kwa sababu kifaru cha merkava isingekuwa rahisi kuripuliwa na RPG tu.Ukiangalia IDF wanavyopigana na Hamas ni kama hawajajiandaa na urban war. Kuna Clip moja niliiona Twitter Wanajeshi wamejikusanya kama kumbikumbi wamevikimbia vifaru baada ya kuwa ambushed na Hamas
Pigaaaaa machokooo hayooooouraaaaaaa Palestinian resistance forces destroy 4 Israeli armored vehicles, using 'Al-Yasin' mortar shellsView attachment 2800605
Wakishindwa kwenye medani badala yake wakaanza kushambulia wanawake na watoto hovyo hovyo ni razima tuseme.La msingi tulieni tu mvua inyeshe tuone panapovuja!! Baadaye msianze kulia lia!!
Ni kweliSasa bro kwa akili ndogo tu upo zako Buguruni kwa madenge unafikiri kuonea kwako huruma. Au kufurahia kwako wenzako wakiuliwa kuna athari ipi ya moja kwa moja kwenye vita inayopiganiwa huko middle east