100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Who are you?Umenikumbusha jamaa mmoja huko iraki alikua anaitwa chemical ally... tulimwamini ila baadae bosi wake sadamu husein akanyongwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who are you?Umenikumbusha jamaa mmoja huko iraki alikua anaitwa chemical ally... tulimwamini ila baadae bosi wake sadamu husein akanyongwa
Tunawaonea huruma mnavyokufa kumbe mna Jeuri hivi ee,ok sawa....time will tell mkuu
Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
aina mpya ya kileviWakiristo africa wamevumbua nini? Au hakuna mkiristo Africa?
Tumevumbua Jumuia na kitokukuzika ukiwa hautoi sadaka.Wakiristo africa wamevumbua nini? Au hakuna mkiristo Africa?
Sasa siumelizwa kuwa nyinyi mlio wekeza kwenye elimu mmevumbua nn?
Alafu baba yako ange achana na bikra ww usingekuwa hapa duniani.
Wale mabikra walioko peponi ni dada zenu wa kiislamu au? Maake isije kuwa ni wakristo wenzenu mnawatolea macho. Naomba jibu kama vipi tumuombe Marekani akawakomboe dada zetu faster huko peponiMuislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
Eti walichakazwa😁Kweli Aisee,
Afu raia wanawaficha Sana
Israeli kuingiza vikosi Gaza wamejichanganya,
Israeli Akumbuke vizur kilichomkuta marekani kule bhaghadi iraq, urban warfare walichakazwa Hadi bunge la seneti likaingilia Kati.
Tatizo watu wanaangalia propaganda za BBC na CNN tuMkuu Hamas hawaongei maneno matupu kila kitu wanarecord. Wameachia video za kutosha tu, video zina mb nyingi ila chache fupi fupi
View attachment 2800671
Hapo ki drone kinadondosha Bomu kwenye kundi la watu, sema Bomu lenyewe tu la kienyeji, ingekuwa Bomu la kisasa kikosi kizima kingekufa.
Hii wanaonesha mabomu ya kupandikiza Ardhini
Kifaru kimeganyaga kikalipuka.
View attachment 2800697
Kuna video nyengine Kubwa wanaonesha namna wanavyotoka kwenye shimo na kulipua vifaru.
Kuna video ya juzi hiyo ambayo hicho kikosi kizima kiliuliwa tena na watu watatu tu.
Kifupi IDF wanakufa vibaya mno, ndio maana kuna pressure kubwa Netanyahu ajiuzulu.
watu 9000 hata hamguswi ila mnashangilia kufa watu hawazidi hata 100Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas wabunge wa Israel walia
A picture[emoji1313][emoji1313] of the killed unit from 'Givati Brigades' who were blown up together in northern Gaza.
Hii ni unit nzima ya wanajeshi wa Israel waliouliwa wote na Kombora la Hamas hii imewafanya hadi wabunge Knesset ya Israel kulia kwa uchungu baada ya vijana wao kuangamizwa wote na wanamapambano wa Hamas
The Final Image of 10 Soldiers in the 84th “Givati” Brigade of the Israel Defense Force before they entered the Gaza Strip and were Killed last night by an Anti-Tank Guided Missile Attack on their “Namer” Heavy Armored Personnel Carrier
View attachment 2800481View attachment 2800482
wapigane bila kujificha nyuma ya raia , hv hv Japan alifanya kweny WW2 ila walishindwaUkiangalia IDF wanavyopigana na Hamas ni kama hawajajiandaa na urban war. Kuna Clip moja niliiona Twitter Wanajeshi wamejikusanya kama kumbikumbi wamevikimbia vifaru baada ya kuwa ambushed na Hamas.
Wachambuzi wanasema hamas wangekuwa na drone za fastarefaster kikosi chote kingegeuzwa mkaa maana wamepigwa picha kutokea juu.
Wanajeshi kama hawafuatilii SMO ya Russia na mabadiliko makubwa hasa ingizo la drone warfare watakuwa wanakufa kizembe.
Watashinda na kuiteka Gaza ila vita hivi vimeonyesha pia mapungufu yao mengi ambayo wasipoyafanyia kazi, hiyo nchi yenye maadui wengi kila gaidi atatamani kuitest.
mbona ww huend kufa ?Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
Macron naye kwa kujua yanayompaka kaskazini ya Afrika alimuonya sana Israel ili asiingie kwenye mtego.Kweli Aisee,
Afu raia wanawaficha Sana
Israeli kuingiza vikosi Gaza wamejichanganya,
Israeli Akumbuke vizur kilichomkuta marekani kule bhaghadi iraq, urban warfare walichakazwa Hadi bunge la seneti likaingilia Kati.
UongoKweli Aisee,
Afu raia wanawaficha Sana
Israeli kuingiza vikosi Gaza wamejichanganya,
Israeli Akumbuke vizur kilichomkuta marekani kule bhaghadi iraq, urban warfare walichakazwa Hadi bunge la seneti likaingilia Kati.
Watu wanashangaza....hawafatilii historia....palestina Ina wakristo wakutosha...Wanao kufa ni wapalestina wakiwemo wakristo wenzio huyo unaye msimanga ni mmatumbi mwenzio. View attachment 2800505
Haya sasa na mungu wenu wa mauaji😂😂Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
Muda ni mwalimu mzuri acha tusubiri!!!Usichanganye Hamas na Wapalestina wanaokufa kila mtu Ana Goals zake. Hamas wapo kwenye mahandaki huko hayo mabomu ambayo hata hayafukui msingi wa Nyumba hata hayawagusi, real loser wa vita ni IDF na Wananchi wa Palestina ila so Far Hamas hawajaathirika
Nchi gani braza? the rule number one ya vita, fanya juu chini uwanja wa vita isiwe kwako, je nyie Hamas mnatambua hili?utani utani hii vita inaenda kula vichwa vya wanajeshi wa kutosha na inaweza badirisha historia ya nchi mojawapo