To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kwa hiyo wewe mnyaki unataka kufanya nini ?
Nianze kuchochea,nimekumbuka hii vita haimuhusu huyu wa mtogoleKwa hiyo wewe mnyaki unataka kufanya nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe mnyaki unataka kufanya nini ?
Nianze kuchochea,nimekumbuka hii vita haimuhusu huyu wa mtogoleKwa hiyo wewe mnyaki unataka kufanya nini ?
Sio kuuwawa tu na wanajeshi wao wametekwa yani idadi ya mateka inazidi kuongezekaView attachment 2800558
Mkuu Hamas hawaongei maneno matupu kila kitu wanarecord. Wameachia video za kutosha tu, video zina mb nyingi ila chache fupi fupiSource please.
Mnapenda kujifariji ndo maana Allah kawakimbia na kujificha
Kwani uliambiwa vita ni sherehe? Pande zote hupoteza maisha, muhimu ni kupima upande upi wanaisha sanaUnits nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas wabunge wa Israel walia
A picture[emoji1313][emoji1313] of the killed unit from 'Givati Brigades' who were blown up together in northern Gaza.
Hii ni unit nzima ya wanajeshi wa Israel waliouliwa wote na Kombora la Hamas hii imewafanya hadi wabunge Knesset ya Israel kulia kwa uchungu baada ya vijana wao kuangamizwa wote na wanamapambano wa Hamas
The Final Image of 10 Soldiers in the 84th “Givati” Brigade of the Israel Defense Force before they entered the Gaza Strip and were Killed last night by an Anti-Tank Guided Missile Attack on their “Namer” Heavy Armored Personnel Carrier
View attachment 2800481View attachment 2800482
Kweli Aisee,Vita ya kipigana na gaid haijawah kuwa rahisi. Ogopa mtu asiye na sare na yupo pamoja na raia wengne.
Hapo hamna front line
Hamna hiyo habari we harubu wa vigwaza,huko kote ni majeruhi waliofanikiwa kutoroshwa,wahanga ni watoto na wamama km kawaida na wazee.Sio na wewe kila kitu unapiga tu bila kwanza kufatilia ukajua ukweli hiyo taarifa wametoa wenyewe idf bbc aljazeera ccn france24 wote wameitoa hiyo tayari pole sana
Pepo yenu ipo basi?Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
Dawa ni kufyeka mtu yeyote...hao hadi wanawake na watoto ni magaidi.Kweli Aisee,
Afu raia wanawaficha Sana
Israeli kuingiza vikosi Gaza wamejichanganya,
Israeli Akumbuke vizur kilichomkuta marekani kule bhaghadi iraq, urban warfare walichakazwa Hadi bunge la seneti likaingilia Kati.
Unabishana na mtu;Hamna hiyo habari we harubu wa vigwaza,huko kote ni majeruhi waliofanikiwa kutoroshwa,wahanga ni watoto na wamama km kawaida na wazee.
Sio kweliWanao kufa ni wapalestina wakiwemo wakristo wenzio huyo unaye msimanga ni mmatumbi mwenzio. View attachment 2800505
Walishatangaziwa wahame hapo wanafanya nini kama sio wao nao wako kitu kimoja na hamas?Wanao kufa ni wapalestina wakiwemo wakristo wenzio huyo unaye msimanga ni mmatumbi mwenzio. View attachment 2800505
Futa hilo wazoHao wa Palestina wenu wakianza kulia msije lia nao, ni swala la mda
Ajabu kumbe wanasikia uchungu ehh
Subiria muanze kulasni, very soon mtalia na kuchana hivyo visuruali vya watoto mnavyovaa mifaller nyieFuta hilo wazo
Tatizo hawaelewi washaambiwa ondokeniDawa ni kufyeka mtu yeyote...hao hadi wanawake na watoto ni magaidi.
Watangaze raia wahame kabla hawajaichoma moto Gaza
Mudy kawalisha tango pori. Hiyo pepo ya aina hiyo haipo,mungu wa dunia hii amewadanganya na kweli ni Yesu pekee na bila huyo ni motoni moja kwa Moja huko motoni ndio mkaoe wale bikira 72 wenye macho ya duara na vifua vyenye TV na mito ya ulevi.Muislam akifa ktk vita hivi peponi akimuua kafiri peponi. Wa kuonewa huruma mpaka hujaujua ukweli na ukasilimu
leaked video of members of the Israeli Knesset after they left a secret, closed session in which they were informed of the real numbers of dead and wounded among their soldiers and the extent of the losses they incurred in Gaza. The pictures are sufficient to reveal the extent of the disaster and defeat that the occupation is experiencing and explain the madness of bombing and destruction of everything in Gaza.
Muislam akipigana na kafiri. Kafiri mtu 1 muislam huwaona kama wpo 20 hivi