sio kizembe hivo , mm nlikuwa maeneo husika nmekutana nao mara5 ila hawajawai hata nikunja , ww unaleta siasa na visasi kweny inshu za usalama , Libyia iliharibiwa na walibyia wenye upeo mfupi km wako , huko chamaz waliitwa kikao cha usalama na waliambiwa kila kitu juu ya hali ya usalama kwasasa na utaratibu wa kuimarisha usalama maeneo husika , usiku saa 7 mtu unakuwa unaenda wap wkt unajuwa kuna panya roada maeneo husika , unasimamishwa hlf hutak unakimbia au unaanza warushia mawe polisi , ss huyu mtu wa hv ndo unamtetea , kwa akil zako kuwa polisi km walitaka kumuua mtu wangeshindwa mpk wasubir skendo ya panyaroad , je mtu ambae ni panyaroad hana sifa zinazomuonesha kuwa ni panya road , demokrasia ulikuwa mtego wa kumpa uhuru mjinga kukwamisha mipango Iliyo juu ya akilI zao wajinga