Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Wewe nae haueleweki. Hakuna mtu anayefurahia kuona hawa madogo wanadhibitiwa kwa style hii ila ndio namna rahisi iliyopo ya kuwanyoosha. Wewe unadhani vile wanavunja maduka ya watu hata mara 4 kwa wiki na kuacha majeraha na kudhuru watu kuwatia vilema ni jambo zuri?!


Sasa wewe jifanye mwanaharakati za binadamu. Hao vijana unaosema wanajivutia bangi na sio wahalifu wewe una uhakika gani na ushahidi upi namna wanayatumia masaa yao kwa siku?!

Hebu siku tukupeleke kwa watu wenye makovu ya mishono mwilini ujionee hao vijana walivyowatukutu na wasivyostaili kuachiwa waendelee kupumua.

Ugaidi huanza hivi hivi kwa watu kama wewe ambao haujawi pitia au kuexpirience shambulio la hawa wahalifu kutetea kuwa haki za binadamu zinakiukwa.

Kama ni haki yao kuishi pia basi ni haki yao kuishi kwa kuheshimu raia wengine na kutii sheria. Maisha ni magumu kweli na ajira ngumu ila sio excuse sasa yakuwa mhalifu na kudhuru watu wengine.

Hivi wewe mtu anaenyanyua panga na kumkata mtu asiyemjua na hajamkosea lolote kwasababu ana hasira ya ugumu wa maisha na analenga kumnyang'anya mali yake utakuwaje na huruma na mtu wa hivyo?!


Wewe subiria siku mkeo, baba au mama yako, kaka yako, dada yako itokee kashambuliwa na uvamizi wa hawa wahuni uone majeraha ya kukatwa mapanga vidonda vibichi vikitoka damu na mishono ya nyuzi sehemu za usoni ndipo utavuta picha ya ukatili uliofanywa na hawa jamaa na ndipo utajua kwann serikali kupitia jeshi la polisi wameamua kuwa aggressive na hao takataka.


Jambo lingine usije ukadhani askari wanaruka tu kuja kukamata vijana hovyo bila kuwa na background data. Mtoto wako kama ni muhalifu kila mtu atamuona kwa mwenendo wake na tabia na hata hao wahuni wanapokamatwa huwa wanataja wenzao. Ni ngumu muhuni kumtaja mtu asiyemjua na asiye na mazoea nae ambae hawashindi pamoja. Wanapo kamatwa na kutiwa mbaroni sura zao zinatia huruma sana unapowatazama utasema hawa vijana mbona wanaonekana ni waadilifu ni maisha ya kipato cha chini tu yanawapa muonekano mbaya sasa wewe ngoja ukutane nao eneo la tukio la uhalifu ndipo utajua kuwa shetani akimvaa mtu nini huwa kinatokea.

So funga tu bakuli lako na uwe muungwana kwa jamii yako. Nenda hospital ya temeke mwambie nesi naomba unionyeshe majeruhi wa matukio ya panya road then uone kama utaendelea kuongea haya maneno yako ya unafiki.
Umetisha sana kaka mkubwa, uncle wangu mmoja walimuua hapo Tanzania mwaka 2021 na hao hao panya road anawatetea huyo mtoa mada.. nasisitiza wauliweeeee
 
Wazazi na walezi wanawajua watoto wao wezi wote huko mitaani lakini wananshindwa kuwakemea na hata kwenda POLISI kutoa taarifa badala yake watoto wao hao wanauza na kujeruhi binadamu wenzetu. Ninachojua tabia ya wizi mtu anarithi kutoka kwa wazazi ndyo maana wazazi wenye watoto wezi huwa hawawezi kuathibiti ili wasiendelee na vitendo hivyo. Ukikuta mtoto mwizi basi tambua Baba au mama ni wezi au katika ukoo wao kuna wezi. Mwizi haibuki tu ghafla kwenye ukoo, huwa kuna chanzo. Pili kuna makundi watu hujikuta wanafundishwa wizi kwasababu ya tamaa ya kumiliki vitu vya thaman wakati hawana uwezo. Kwasababu wao wanaua basi nao wauawe.
 
Raisi wetu mpendwa Samia aingilie kati kuzuia huu unyama.

Haya Maturubali hapa TMK sio ya kawaida.

Au hii ni ile sera ya "shoot first ask questions later?"

Vijana wanaangamia Mayo! 😥
 
Habari!

Miaka 5 hivi imepita tulikuwa tukikemea mambo fulani mtandaoni. Kitendo cha serikali yenye zaidi ya vyombo sita vya usalama na haki kujichukulia sheria mkononi.

Serikali ifuate procedure katika kila zoezi, kama sheria itamtia mtu hatia na kuhukumiwa kuuawa auawe, kama itamfunga jela afungwe kama itamwacha huru aachwe.

Sasa polisi wanafika mitaani na kukusanya vijana wasio na kazi, na wale wanaowashuku kuuza au kuvu bangi kisha kuwaua kinyama. Misiba ni mingi mitaani, inatia huruma. Hili jambo ni kinyume na haki za binadamu.

Kijana anashikwa ndani ya masaa 12 anakuwa ameshakatishwa uhai. Upelelezi wa kutosha umefanyika? Hili zoezi nina hakika limepoteza vijana wasio na hatia. Hebu wapelekeni mahakamani mkawaue baada ya mahakama kuwatia hatiani.

Rais Samia utakuwa na mwisho mbaya. Police wamegeuza Kitonga Dar kuwa machinjio ya binadamu. Hata familia zenu zina vijana wa hovyo, wangekuwa wanaishi uswahilini tungewaita panya road. Serikali (mzazi na mlezi mkuu) inakwepa jukumu lake la kuwalea watoto wake na badala yake inwaua.

NB: Mimi si mhalifu, ni raia safi kabisa, sijapoteza ndugu yangu kwa hii operation na wala sina ndugu mhalifu, ila nimeumia tu na haya yanayotokea. Misiba ni mingi, huzuni na vilio. Huku viunga vya Kitonga ambako wamekugeuza machinjio ndiko ninakoishi. Jana nilienda uswahilini Tandika na Buza ni huzuni.
Usiombe ukutane na hawa panya Road,hutakuja kuandika,ulivyoandika.Hawana huruma kabisa,kukupiga panga,kisu,bisibisi,hawaoni tabu.Utatamani ardhi,ifunguke,uingie.
 
Kwanini uvae kama panya road katika kipindi hiki.

Police fanyeni KAZI yenu acheni kusikia hawa watetezi WA panya road tena nendeni mbali zaidi wekeni intelligence mjue wanaonunua Mali za wizi za hawa panya road mkiwakamata na wenyewe Pigeni haswa.


Nchi haiwezi kunyoka Kwa kuchekeana hovyo.

Yani panya road akipiga MTU panga na kuua tunaona Sawa Ila Panya road akikamatwa na kuwekwa Bullet mwilini mwake watetezi mnakuja
Hawa hawajakutana na panya Road,mtu asiombe,hawana huruma kabisa,kukupiga panga kwao sio tabu,wala hawana huruma.
 
Cha muhimu vijana ni kuepuka makundi
Kukaa makundi ni uhalifu? Unajua maisha ya uswazi? Hujui kukutana ni sehemu moja muhimu sana ya maisha ya ujana duniani kote? Tatizo lipo kwenye utawala ulioshindwa kila kitu unabaki kutumia mbinu za zima moto na matamko kuongoza. Si juzi juzi raia walikuwa wanahimizwa raia kuzaa kwa wingi? Walidhani wanaozaliwa wataishije?
 
ww ni mpuuz sn , km wanafany hivyo mm ningekuwa marehem nmekutana na polis mara 5 mida ya saa 5 kasoro had sita kasoro usk , mbona hawajaniua ? HV UNALIPWA TSH NGAP KUPOTOSHA UMMA ? Kama ndugu yako ni panya road mshauri tu aache roho za watu million 60 ni muhimu , tukiwacha mtakuja kuwa makund makubwa zaid , na hatutaki hilo , mshauri ndugu yako aepuke makundi urafiki usio na tija , nmehama chamz mpk mbez beach kisa hao wapumbav , nmeacha kodi ya miez 6 , nashangaa kuona mpumbavy mmoja anawasifia hao watu kuwa waachwe tu
Upuuzi wangu ndio pona yako na Ndugu zako, who said tuwaache?? Mbona unajitoa akili dogo?? Au unapenda ligi??
 
Habari!

Miaka 5 hivi imepita tulikuwa tukikemea mambo fulani mtandaoni. Kitendo cha serikali yenye zaidi ya vyombo sita vya usalama na haki kujichukulia sheria mkononi.

Serikali ifuate procedure katika kila zoezi, kama sheria itamtia mtu hatia na kuhukumiwa kuuawa auawe, kama itamfunga jela afungwe kama itamwacha huru aachwe.

Sasa polisi wanafika mitaani na kukusanya vijana wasio na kazi, na wale wanaowashuku kuuza au kuvu bangi kisha kuwaua kinyama. Misiba ni mingi mitaani, inatia huruma. Hili jambo ni kinyume na haki za binadamu.

Kijana anashikwa ndani ya masaa 12 anakuwa ameshakatishwa uhai. Upelelezi wa kutosha umefanyika? Hili zoezi nina hakika limepoteza vijana wasio na hatia. Hebu wapelekeni mahakamani mkawaue baada ya mahakama kuwatia hatiani.

Rais Samia utakuwa na mwisho mbaya. Police wamegeuza Kitonga Dar kuwa machinjio ya binadamu. Hata familia zenu zina vijana wa hovyo, wangekuwa wanaishi uswahilini tungewaita panya road. Serikali (mzazi na mlezi mkuu) inakwepa jukumu lake la kuwalea watoto wake na badala yake inwaua.

NB: Mimi si mhalifu, ni raia safi kabisa, sijapoteza ndugu yangu kwa hii operation na wala sina ndugu mhalifu, ila nimeumia tu na haya yanayotokea. Misiba ni mingi, huzuni na vilio. Huku viunga vya Kitonga ambako wamekugeuza machinjio ndiko ninakoishi. Jana nilienda uswahilini Tandika na Buz

Habari!

Miaka 5 hivi imepita tulikuwa tukikemea mambo fulani mtandaoni. Kitendo cha serikali yenye zaidi ya vyombo sita vya usalama na haki kujichukulia sheria mkononi.

Serikali ifuate procedure katika kila zoezi, kama sheria itamtia mtu hatia na kuhukumiwa kuuawa auawe, kama itamfunga jela afungwe kama itamwacha huru aachwe.

Sasa polisi wanafika mitaani na kukusanya vijana wasio na kazi, na wale wanaowashuku kuuza au kuvu bangi kisha kuwaua kinyama. Misiba ni mingi mitaani, inatia huruma. Hili jambo ni kinyume na haki za binadamu.

Kijana anashikwa ndani ya masaa 12 anakuwa ameshakatishwa uhai. Upelelezi wa kutosha umefanyika? Hili zoezi nina hakika limepoteza vijana wasio na hatia. Hebu wapelekeni mahakamani mkawaue baada ya mahakama kuwatia hatiani.

Rais Samia utakuwa na mwisho mbaya. Police wamegeuza Kitonga Dar kuwa machinjio ya binadamu. Hata familia zenu zina vijana wa hovyo, wangekuwa wanaishi uswahilini tungewaita panya road. Serikali (mzazi na mlezi mkuu) inakwepa jukumu lake la kuwalea watoto wake na badala yake inwaua.

NB: Mimi si mhalifu, ni raia safi kabisa, sijapoteza ndugu yangu kwa hii operation na wala sina ndugu mhalifu, ila nimeumia tu na haya yanayotokea. Misiba ni mingi, huzuni na vilio. Huku viunga vya Kitonga ambako wamekugeuza machinjio ndiko ninakoishi. Jana nilienda uswahilini Tandika na Buza ni huzuni.
Jirani habari! Kumbe na wewe ulisikia zile risasi...
 
Usiombe ukutane na hawa panya Road,hutakuja kuandika,ulivyoandika.Hawana huruma kabisa,kukupiga panga,kisu,bisibisi,hawaoni tabu.Utatamani ardhi,ifunguke,uingie.
Kwani kuna mtu amesema panya road ni wazuri? Panya road ni hatari sana lakini haiwezekani polisi ifanye mauaji ya kadamnasi kwa kisingizio cha kupambana na panya road. Historia inaonyesha watakaouawa wengi siyo wezi.
 
yakikukuta natamani hao panyaroad wakule tigo kbs , maana unahis wote humu ni wasikiliza hbr km , ww tunataka wauliwe tumekutana na hao panya road , yaan baadhi ya waafrika tunakuwag km mbuz sometimes na sisi ndo wakwanz kusema magharibi wamechochea ghasia wakati ipo mijitu inatetea uhai wa wahaini humu ndan ya nchi , Kama ni wewe au ndugu yako tutapambana mpk muuawe wote , jirekebishe au uuwawe tu , HAO PANYAROAD NI WAKUUWA TENA NA KUTUNDIKA HADHARANI , WAHARIBIFU WAKIJA KWAKO HATA UKIWAPA CHOCHOTE LAZIMA WAKUPIGE MAPANGA NA KUKUACHIA HASARA YA KUVUNJA VITU VYAKO VYA NDAN KM TV , MAFRIJI FENI NK
Wewe ni mjinga flani, sidhani kama unahitaji kujibiwa na Mimi
 
Mnaotetea huu uhuni wa polisi subirini siku yakiwakuta mtatia akili, polisi wa bongo hawana tofauti na panya road, lile jeshi linatakiwa kufumuliwa lote maana bado linaendeshwa kwa sheria za kikoloni kuwalinda watawala na sio usalama wa raia, ndio maana wezi wakubwa wa kura ni jeshi la polisi
HunA akili
 
Kukaa makundi ni uhalifu? Unajua maisha ya uswazi? Hujui kukutana ni sehemu moja muhimu sana ya maisha ya ujana duniani kote? Tatizo lipo kwenye utawala ulioshindwa kila kitu unabaki kutumia mbinu za zima moto na matamko kuongoza. Si juzi juzi raia walikuwa wanahimizwa raia kuzaa kwa wingi? Walidhani wanaozaliwa wataishije?
Jinga kabisa wewe zaa Kwa wingi bila Kuwapa malezi wanao tuje kuwapiga kiberiti mtaani !

Nyie dawa yenu ni risasi, Polisi kama mnasoma humu tendeni haki. Mkikamata panya road ueni tumewachoka hata kama na Mimi ni panya road niuweni.

Ifike muda Lazima tutumie elimination method kupunguza hawa panya road.

Kama kuna sheria , mahakama na magereza Ila Panya road wanazidi kutesa kinachofuatia ni kuwapunguza Kwa njia ya Shaba.

Kama unajijua Una ndugu panya road au na wewe ni panya road jiandae kununua sanda usisumbue watu kukununulia sanda wakati tozo zinatubana.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Jinga kabisa wewe zaa Kwa wingi bila Kuwapa malezi wanao tuje kuwapiga kiberiti mtaani !

Nyie dawa yenu ni risasi, Polisi kama mnasoma humu tendeni haki. Mkikamata panya road ueni tumewachoka hata kama na Mimi ni panya road niuweni.

Ifike muda Lazima tutumie elimination method kupunguza hawa panya road.

Kama kuna sheria , mahakama na magereza Ila Panya road wanazidi kutesa kinachofuatia ni kuwapunguza Kwa njia ya Shaba.

Kama unajijua Una ndugu panya road au na wewe ni panya road jiandae kununua sanda usisumbue watu kukununulia sanda wakati tozo zinatubana.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kuzaa kwa wingi ni watawala wako walisema siyo mimi. Ujinga wangu umetoka wapi kusema watawala wanashauri raia wazae kwa wingi? Najua mtu mwenye akili kama zako ni shida kuona tatizo la kushabikia polisi kuua bila kufuata sheria. Unhakika gani kila anayeuawa ni panya road? Hizi ndioz naita akili za ndezi.
 
Narudia kushauri waacheni Polisi wafanye kazi yao.
Hawa watoto wenu wameua na kujeruhi watu vibaya sana.
Kaeni kwa kutulia....
Lazima mjue Serikali yoyote makini haitakubali...
Kwanza unasema wanavuta bangi...bangi inaruhusiwa kuvutwa kwa sheria ipi?..hapo hapo unaomba procedure ifuatwe....procedure ipi kwa wavuta bangi.
Katika hili Mungu wabariki PT.

Mkuu let me get this straight from you, kwa hio kwa maono yako, adhabu ya kuvuta Bangi iwe shoot on site?
Hivi unajua polisi hana mamlaka ya kuhukumu?
 
Mtoa Mada yuko sahihi tangu lini form four Zero akafanya Kazi kwa ufasaha Zaidi ya Kukulupuka
Naomba Serikali ijaribu kuwa makini kuuwa innocent people haifai , wanaovuta bangi wengi ndo wameuliwa wakati sio wezi Wala vibaka.
Kupata division 4 hakumaanishi mtu hana akili, wote waliofanya mambo makubwa hawana degree. Mtaani kwako una watu kibao hawana degree na wanainjoy life. Panya road hawana haki ya kuishi kama ambavyo wenyewe wemekatili haki za wengine. Nakuungana na mkuu wa mkoa kama una ndugu yako anazurura ovyo mitaani huko usiku, mchana yuko vijiwe vya wavuta bangi, usipomwuona siku mbili tembelea mortuary
 
Kuzaa kwa wingi ni watawala wako walisema siyo mimi. Ujinga wangu umetoka wapi kusema watawala wanashauri raia wazae kwa wingi? Najua mtu mwenye akili kama zako ni shida kuona tatizo la kushabikia polisi kuua bila kufuata sheria. Unhakika gani kila anayeuawa ni panya road? Hizi ndioz naita akili za ndezi.
Ukiambiwa zaa na weww unazaa kama panya taahira wewe.

Zaa hovyo ushindwe kulea mtoto awe panya road uone Kama hatauawa.






Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom