umefanya utafit wap ? mbona mnafanya siasa hatarishi kwa taifa , jitahidin kuheshimu vitengo vya watu , wenzenu wapo mtaan kufanya research , ww upo jf kufanya research hlf research yako ndo unataka tuiamin , nakupa story fupi Mzee JPM anaingia madarakan , aliomba list ya wahuni wote wa mitaa ilipelekwa kwa wenyeviti na ikawa imepigwa tukio akashikwa mmoja bas akiwataja na ikaonekana upo kweny list bas umeisha , waliangushwa watu huko Vingunguti kukatulia kbs nikahamia Vingungut nlikuwa natembea saa 7 usiku sikabwi , ila alipofarik siku ya pili likapigwa tukio daktar mmoja alikuwa na laptop plus laki tatu ya mauzo ya duka lake la dawa alivamiwa alipgwa mapanga na kuibiwa laptop , simu na laki 3 zote , siku iliyofuatia wakapiga matukio 3 , vingungut ikawa haikalik , wakaenda mpk airport wakapiga tukio mbele ya airport na jeshi la anga lipo krb , tulikaa vikao watu wakasema wanawajua ila kuwataja ni hatari sabab wakienda polisi wanarudishwa na unakuwa hatarini uliewataja , nlihama vngungut baada ya kuona wanaogopa kuwakuchukulia hatua kali mpk kesho huko vingungut hao watoto huwa wanafunga mtaa muda wa mchana kweupe ( km Syria vile , ndo unavyotaka ? ) , nlihamia chamaz palikuwa shwar ila baada ya tukio la kawe napo pakawaka moto kila siku wanavamia mitaa ya huko chamaz , rpc alikuja wiki moja iliyopita wananchi walisema wanawajua hao panyaroad ila wakiwataja bas watoto wanapelekwa selo then wanarudishwa mtaani , jion ya siku hiyo ya kikao watoto wakapiga tukio krb na eneo hilo la kikao kilipofanyika uone walivyo na dharau , hao watoto wameiba na kuwafanya waty vilema hata kuwatia watu uchiz huko chamaz , nlipoona hali ni mbaya juz nmehama nmeona nihamie mbez beach huku nikiacha kodi ya miez 6 kisa hao watoto unawatetea , KAMA ULIZA NA SIO KUCHANGANYA SIASA NA USALAMA WA NCHI , WATU WANAANGAMIZWA VIBAYA KISA HAO WATOTO , HAMTANGAZIW TU ILA WANAYOFANYA HAO WATOTO NI BALAA WAKIULIWA SHUKURU NA SIO KULETA MIGAWANYIKO YA KISIASA , MM SIO WA NJANO ILA KWENY HILI WAULIWE TU HAO WAHUNI