Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Wao wanavyoua usiku watu majumbani mwao wanatoa maelezo. Ngoja tuwashughulikie kwanza. Jana nimeua watatu leo natarajia kuua watano, mpaka waishe hawa panya wamekula sana nguo zangu
Natamani niwaelekeze sehemu nyingine ya hao mbwa mwitu, Vingunguti maeneo ya shule ya msingi Tapa mtaa wa wapendanao kule kula chimbo la kuhifadhi vitu vya wizi ,kuna nyumba special ya hao watu!iko bondeni km unaeleka spenko..niliibiwaga Kila kitu ndani nkaambiwa ntoe laki3 nirudishiwe fenicha zangu!!
 
Mnaotetea huu uhuni wa polisi subirini siku yakiwakuta mtatia akili, polisi wa bongo hawana tofauti na panya road, lile jeshi linatakiwa kufumuliwa lote maana bado linaendeshwa kwa sheria za kikoloni kuwalinda watawala na sio usalama wa raia, ndio maana wezi wakubwa wa kura ni jeshi la polisi
Ni kweli nikikumbuka mauaji waliyofanya dhidi ya Yule kijana Kule Mtwara naumia Sana ,majitu yanaua na kupora sasa Yana tofauti gani na panya road ?
 
Habari!

Miaka 5 hivi imepita tulikuwa tukikemea mambo fulani mtandaoni. Kitendo cha serikali yenye zaidi ya vyombo sita vya usalama na haki kujichukulia sheria mkononi.

Serikali ifuate procedure katika kila zoezi, kama sheria itamtia mtu hatia na kuhukumiwa kuuawa auawe, kama itamfunga jela afungwe kama itamwacha huru aachwe.

Sasa polisi wanafika mitaani na kukusanya vijana wasio na kazi, na wale wanaowashuku kuuza au kuvu bangi kisha kuwaua kinyama. Misiba ni mingi mitaani, inatia huruma. Hili jambo ni kinyume na haki za binadamu.

Kijana anashikwa ndani ya masaa 12 anakuwa ameshakatishwa uhai. Upelelezi wa kutosha umefanyika? Hili zoezi nina hakika limepoteza vijana wasio na hatia. Hebu wapelekeni mahakamani mkawaue baada ya mahakama kuwatia hatiani.

Rais Samia utakuwa na mwisho mbaya. Police wamegeuza Kitonga Dar kuwa machinjio ya binadamu. Hata familia zenu zina vijana wa hovyo, wangekuwa wanaishi uswahilini tungewaita panya road. Serikali (mzazi na mlezi mkuu) inakwepa jukumu lake la kuwalea watoto wake na badala yake inwaua.

NB: Mimi si mhalifu, ni raia safi kabisa, sijapoteza ndugu yangu kwa hii operation na wala sina ndugu mhalifu, ila nimeumia tu na haya yanayotokea. Misiba ni mingi, huzuni na vilio. Huku viunga vya Kitonga ambako wamekugeuza machinjio ndiko ninakoishi. Jana nilienda uswahilini Tandika na Buza ni huzuni.
Kuna watu katika jamii wakishaharibika dawa ni kuwaondoa tu, na wazazi watakuwa serious
 
Sina kijana yoyote ila kama mwananchi mpenda haki inabidi nitetea vijana wote wa Dar. Shida yako naona unadhani kuwa (kama walivyo watanzania wengi) tatizo mpaka likupate wewe au mtu wako wa karibu ndiyo inabidi upige kelele. Ndiyo maana umeshafikia conclusion kuwa nina ''kijana wangu'' amekuwa victim. Mimi naumia sana kuona binadamu wenzangu wanateseka na kuuawa kwa bila kufuata sheria. Pengine wewe unadhani uko mbali sana na huu mfumo mbovu wa utawala, lakini nakuhakikishia hauko mbali. Kuna siku utakumbuka maneno yangu kwa sababu siyo lazima uathiriwe na hii ua ua au kamata kamata ya panya road tu, kuna mengi mengine unaweza kuja kuwa victim au mtu wako wa karibu.
Kama wewe ni kijana pia nakusihi kwa hichi kipindi achana na makundi yasiyo na maana
 
Habari!

Miaka 5 hivi imepita tulikuwa tukikemea mambo fulani mtandaoni. Kitendo cha serikali yenye zaidi ya vyombo sita vya usalama na haki kujichukulia sheria mkononi.

Serikali ifuate procedure katika kila zoezi, kama sheria itamtia mtu hatia na kuhukumiwa kuuawa auawe, kama itamfunga jela afungwe kama itamwacha huru aachwe.

Sasa polisi wanafika mitaani na kukusanya vijana wasio na kazi, na wale wanaowashuku kuuza au kuvu bangi kisha kuwaua kinyama. Misiba ni mingi mitaani, inatia huruma. Hili jambo ni kinyume na haki za binadamu.

Kijana anashikwa ndani ya masaa 12 anakuwa ameshakatishwa uhai. Upelelezi wa kutosha umefanyika? Hili zoezi nina hakika limepoteza vijana wasio na hatia. Hebu wapelekeni mahakamani mkawaue baada ya mahakama kuwatia hatiani.

Rais Samia utakuwa na mwisho mbaya. Police wamegeuza Kitonga Dar kuwa machinjio ya binadamu. Hata familia zenu zina vijana wa hovyo, wangekuwa wanaishi uswahilini tungewaita panya road. Serikali (mzazi na mlezi mkuu) inakwepa jukumu lake la kuwalea watoto wake na badala yake inwaua.

NB: Mimi si mhalifu, ni raia safi kabisa, sijapoteza ndugu yangu kwa hii operation na wala sina ndugu mhalifu, ila nimeumia tu na haya yanayotokea. Misiba ni mingi, huzuni na vilio. Huku viunga vya Kitonga ambako wamekugeuza machinjio ndiko ninakoishi. Jana nilienda uswahilini Tandika na Buza ni huzuni.
Ufikiri kwanini hujakamatwa wewe au mwanao?
 
HILI LA KUUA PANYA ROaD SIO SAHIHI.. kila mtu asikilizwe na ahukumiwe na sheria mahakamani. Mtu akifa unaweza kumpa hatia yeyote hata kama aliuliwa kwa makosa...
Ile tume ya kuangalia Jeshi letu ifanye kazi kwa haraka..
Mama mkanye mwanao
 
Raisi wetu mpendwa Samia aingilie kati kuzuia huu unyama.

Haya Maturubali hapa TMK sio ya kawaida.

Au hii ni ile sera ya "shoot first ask questions later?"

Vijana wanaangamia Mayo! [emoji26]
wabakie hai watuue ?
 
Kukaa makundi ni uhalifu? Unajua maisha ya uswazi? Hujui kukutana ni sehemu moja muhimu sana ya maisha ya ujana duniani kote? Tatizo lipo kwenye utawala ulioshindwa kila kitu unabaki kutumia mbinu za zima moto na matamko kuongoza. Si juzi juzi raia walikuwa wanahimizwa raia kuzaa kwa wingi? Walidhani wanaozaliwa wataishije?
wewe pia ni panya road , kuna vifo ving baada ya kile cha kawe havijtangazwa , vimesababishwa na panya road , mm mtaan kwenu huko wilaya ya temeke wameua watu watano , kwann wao wasiuliwe ,na kizur wanajulikana vzr tu
 
Upuuzi wangu ndio pona yako na Ndugu zako, who said tuwaache?? Mbona unajitoa akili dogo?? Au unapenda ligi??
akil zako sio za kuniita dogo , hujielew ,unaezaj sapoti panya road , au kwa vile hutangaziw kweny media wameua sana baada ya tukio la kawe licha ya kuambiwa waache uharifu , leo hii unatetea watu wa hv ? au na ww ni mwenzao ? kizur hawa watoto wanajulikana , mm naeza sema nimeishi maeneo ya vingungut , airport , nmefanya kaz yombo vituka , wilayan temeke na mbagala zakhiem , na nmeish chamaz pia , kwa miaka miwili baada ya JPM kufa hawa watoto walikuwa wanafanya matukio huko vingunguti , airport hadi kiwalan hadi yombo , wameua sana na kujeruhi watu sana hasa siku za sikukuuu , nmeshuhudia wahanga wa mapanga ya hawa wahuni, wanajulikana vzr tu ila ndo kuwataja watu walikuwa wanaogopa hata wiki iliyopita Rpc alienda chamaz saku ilulu akakaaa kikao na wananchi aliambiwa hao wahuni wanajulikana ila ukiwataja wanaenda polisi wanarud halaf ugomv unakuwa umeununua tyr , ndio maana sasa hv ukitambulika ww ni panya bas unalambishwa mchanga , halaf leo mtu unatetea waendelee kuwepo hai ? hiz ndo tabia za kimalaya Nyerere alikuwa anasema mnanunulika
 
Kwani kuna mtu amesema panya road ni wazuri? Panya road ni hatari sana lakini haiwezekani polisi ifanye mauaji ya kadamnasi kwa kisingizio cha kupambana na panya road. Historia inaonyesha watakaouawa wengi siyo wezi.
mtaje mtu mmoja kauliwa na una uhakika sio panya road , maana muda mwingine mnajitia uchiz tu
 
Kuzaa kwa wingi ni watawala wako walisema siyo mimi. Ujinga wangu umetoka wapi kusema watawala wanashauri raia wazae kwa wingi? Najua mtu mwenye akili kama zako ni shida kuona tatizo la kushabikia polisi kuua bila kufuata sheria. Unhakika gani kila anayeuawa ni panya road? Hizi ndioz naita akili za ndezi.
nyiny mnaounga mkono panya road kuachwa hai tuna mashaka na nyiny , polis kama mpo humu fanyeni tracing , kupitia hawa watu tunaeza gundua mtandao mpya
 
Ah kabisa....

Watoto hawasikiiii kuna watoto watukutu bila mkono wa chuma
Hawatuliiii
Eti umkamate ukimuweka ndani
Tu kesho kaachiwaaa

Ova
uko sahihi kabisa!
tena tunaliomba Jeshi letu la lisiwachekee wle wano hatarisha Amani na uslama wa nchi yetu.
dawa ya moto ni moto tuu, Raia wamechoshwa na hawa wahalifu wacheni watangulie maana hawafai kabisa kuishi hapa duniani na anaye tetea uhlifu huyo pia ni muhalifu.
 
Panya road walikuwa hawamwag damu ? tupo tunawafuatilia wote wanufaika wa huu uhuni mtalamba mchanga tu
 
Back
Top Bottom