Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Kabisa mkuu hili suala la ukosefu WA ajira na umasikini uliokithiri pia ni contributing factor angalia nchi zilizokabiliwa na magenge ya wahalifu Kule America ya kusini NK utakuta hizo communities ziko plagued na extreme poverty + unemployment sasa option inayobaki ni watu kuwa manunda na kusurvive kibabe Kwa uhalifu
 
Democracy is too fucking slow!! PT do the needful
 
Na hii pia ni mistake nyingine Kwa nini wawaue wakati polisi wamepewa mafunzo na technics ya kukamata wahalifu ?
Kwani hao watu walikuwa armed na silaha ? Hata kama walikimbia si Bora wawashoot miguu ? ,Kwani Hamna namna ya kuwakamata hao perceived criminals bila kuwaua ?
 
Wewe huna info za kutosha juu ya hii operation ndio maana umeandika hivi.
Kiongozi tuwekee hapa hizo info tupate kufahamu inawezekana kukawa kuna jambo kubwa nyuma ya hawa panyaroad au hii operation
 
utakuwa ni mharifu ww sio bure , watu wanateseka kisa hao panyaroad ww unawatetea wanaowatunza hao panyaroad , ungekuwa krb ningekutoa shing , nmepitia mikasa ya hao panya road ni mashetani
Bila Shaka walikupa bapa za panga za kutosha mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maana nasikia vitoto vinabonda hivyo ni laana ,usiombe kukutana navyo
 
Wanafki tu hawa, Kuna suki nilienda Amana hospitali usiku aisee nilikuta watu wamekula mapanga ya hao panya road aisee huwezi waangalia mara mbili, kuna miwatu humu nafikiri inanufaika na hawa panya road.
 
nkukumbushe tu wahanga ni mimi na ww na sio polis , polis anafanya kukusaidia ww ,ila ww unawaonea huruma watu wasio na huruma na ww , labda kama ww ni mmoja wao
 
Uhalifu pia hauishi kwa kuuaua watu....
me nawahesabu nyiny mapanyaroad , yaan mnaua wezi wasiowazuru mtaani ila panyaroad ambae ni hatar kwa uhai unamtetea , kuna walakini hapa , ww ni LIPANYAROAD
 
Sitetei uhalifu,vnakataa POLICE kiruhusiwa kufanya KAZI ya mahakama.

Tufuate utawala wa Sheria, we huoni Hilo?

Hawa wanachukua pesa zetu Kwa nguvu kwenye miamala ya kibenki mbona hatuwauwi tunaviachia vyombo husika???[emoji34][emoji34][emoji34]
kawaambie na panyaroad watafute kwa haki , kama hujui tulia maana unaeza wekwa ndan , nmehama wilaya ya Temeke kwa sabab ya hawa wapumbav , huenda ukawa ni miongon mwao au huwajui
 
huyo jamaa ni mpuuz , naamin polis hawaui kimakosa wengi ni wahusika wa upanya road , ingekuwa polisi wanahotea bas mm ningekuwa marehem wiki iliyopita yote nlikuwa nachelewa kutoka job nafika chamaz mida ya saa 5 usk ila hawajawai hata nikunja shati , wakisema simama nasimama naongea nao nasepa
 
Kama kweli ni wahalifu(PANYA ROAD) au Majambazi basi "WALE VYUMA" tu hakuna namna.
sio kama kwel , ni kwel hao ni waharifu , nmehama wilaya ya temeke jana na nmekutana na polis mida ya saa 5 usk mara 5 ila sijawai hata kukunjwa shati , unashambuliwa incase ukitaka washambulia polis , hawa wanataka kuudanganya umma kisa ndugu zao panya road wamedhibitiwa
 
Panyarodi acha wauliwe kabisa,hawafaikabisa, wamemuua binti yetu pale Kawe ukwamani, waliwajeruhi watu wengi maeneo ya kunduchi na tegeta, jamaa mmoja walimkata mkono alikuwa dukani kwake
wamemuua jamaa mmoja chamaz alikuwa anarud kulala wakamlazimsha awabebe kukimbia polisi jamaa akakataa wakampiga mapanga mpk kifo
 
kwan nan hajui , jifunz kuuliza , huko chamaz tumekuwa tunasikia risas kila mara watoto wanawatunishia polis , polis wakifanya km unavyotaka wanakufa wao , saa 7 usk hata km ni kuvuta bangi ni uongo
 
unanufaika na nini kutetea waharifu wazid kuwa hai , au wamekuajili kupotosha umma , unaona uhai wa watz million 60 si kitu kwa hao panyaroad 100 , NINA MASHAKA NA WW , UTAKUWA NI MTANDAO ULE ULE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…