Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Unyama huu wanaoufanya Polisi utamgharimu Rais Samia

Kuua siyo ishu nzuri, wawakamate na kuwapeleka Mahakamani wakienda jela wakafanyishwe kazi ngumu maisha wapewe kesi za uhaini tu (Treason)
Sasa askari anapofika kijiweni, anawaambia masela mpo chini ya ulinzi. Masela wanamwaga mbio huku wakijua kuna operation kamata kamata. Kama ni raia mwema kwa nini ukimbie?! Ni shaba tu!!
Wakiwaachia hao kama sio panya road wa leo basi wa kesho. We hujafikwa na mkasa, fikilia umepumzika kwako mara mlango pa! Mala mapanga, kifo!!
Hakuna muda wa kucheza na vibaka. Na kwa nini ukakae kijiweni bila kazi. Yaani ilitakiwa wasio na shughuli ya kufanya mtaani zoa wote peleka shamba litakaloanzishwa na serikali wakalime. Tusilee wanyonyaji
 
Kwanini uvae kama panya road katika kipindi hiki.

Police fanyeni KAZI yenu acheni kusikia hawa watetezi WA panya road tena nendeni mbali zaidi wekeni intelligence mjue wanaonunua Mali za wizi za hawa panya road mkiwakamata na wenyewe Pigeni haswa.


Nchi haiwezi kunyoka Kwa kuchekeana hovyo.

Yani panya road akipiga MTU panga na kuua tunaona Sawa Ila Panya road akikamatwa na kuwekwa Bullet mwilini mwake watetezi mnakuja
Napigilia nyundo kabisa hili wawatafute mabosi wanao nunua hivyo vitu vya wizi maana hao mabosi wanaweza tafuta vijana wengine Harafu waendelee kutuibia ..maana inauma mpaka basi mtu anakuibia bado anakupa na kilema ama kifo.
 
Nakaziaa..polic tembezen kichapo na na hata chuma kama ikiwezekana hadi ubwabwa waite wawa....haiwezkan ufanye wiz wa kuua au kuacha mtu kilema afu we upelekwe sero na kurudi mtaani
 
Polisi ni genge la kihalifu lililoundwa na Serikali na kubarikiwa na wananchi👇

 
Sasa askari anapofika kijiweni, anawaambia masela mpo chini ya ulinzi. Masela wanamwaga mbio huku wakijua kuna operation kamata kamata. Kama ni raia mwema kwa nini ukimbie?! Ni shaba tu!!
Wakiwaachia hao kama sio panya road wa leo basi wa kesho. We hujafikwa na mkasa, fikilia umepumzika kwako mara mlango pa! Mala mapanga, kifo!!
Hakuna muda wa kucheza na vibaka. Na kwa nini ukakae kijiweni bila kazi. Yaani ilitakiwa wasio na shughuli ya kufanya mtaani zoa wote peleka shamba litakaloanzishwa na serikali wakalime. Tusilee wanyonyaji
Nakupa ushauri: Ukisikia kuna operation wanaifanya police ukisimamishwa ukakubali kupandishwa kweli karandinga umekwisha.
Ni heri ulale mitini ufe au upone.
Ukiwekwa gari moja na watuhumiwa wa ujambazi au panya road au wauza dawa za kulevya mtapigwa wote risasi.
Ogopa sana operation haramu za policcm
 
Nakupa ushauri: Ukisikia kuna operation wanaifanya police ukisimamishwa ukakubali kupandishwa kweli karandinga umekwisha.
Ni heri ulale mitini ufe au upone.
Ukiwekwa gari moja na watuhumiwa wa ujambazi au panya road au wauza dawa za kulevya mtapigwa wote risasi.
Ogopa sana operation haramu za policcm
Si mpaka nikajikusanye kwa hao washukiwa, dawa ni kukaa mbali na mshukiwa yeyote. Kuna vijiwe vyao, kona zao huko mimi sisogei
 
Hawa watoto wa ushuani gari zao zitamfuata nani Chumbani, Kuwa maskini haimaniishi ukajeruhi na kuua watu kwa sababu unata smart phone, TV nk. Hatupaswi kutetea ujinga toa tahadhari kwa mwanao kwamba ajihadhari kipindi hiki. Lakini usichanganye mambo kwa habari ya watoto wa ushuani. Kwanza ushuwani panya road hatii mguu, anaanzaje nyumba ina fensi ya ukuta, juu yake umeme, kuna mbwa, kuna mlinzi na bado mshua ana mguu wa kuku? Panya road wanaua hao hao unaowaita maskini. Saga tokomeza panya road, hatuhitaji mapambio ktk hili
Na ndio uhalisia huo...
Mitaa ya Mbezi Beach, Mikocheni, Mbweni Panyaroad hawapiti maana inabidi wavunje mageti kuzama ndani, pia huko patrol zipo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Muhimbili wiki hizi mbili tatu kitengo cha dharura kazi kubwa waliyoifanya ni kupokea maiti zilizopigwa risasi za kichwani. Yaani kila siku maiti zinaletwa kama ndizi.
 
Unachoogopa kujadili ndicho kinachohatarisha usalama.

Nina ufahamu wangu mzuri kwenye eneo hilo.

Upumbavu wako hautaninyamazisha
Hautanyamaza humu jf labda unawatetea hao panya nenda kijiweni kwao ukawatetee tupasue bichwa hilo hao sijawahi kusikia tangu nizaliwe siku watu wa haki za binadamu wakitetea wanaokabwa,kuporwa,kudhuruliwa ,kutiwa ulemavu nk wao wapo kwa ajili ya watuhumiwa tu inakuaje hiyo?
 
Hautanyamaza humu jf labda unawatetea hao panya nenda kijiweni kwao ukawatetee tupasue bichwa hilo hao sijawahi kusikia tangu nizaliwe siku watu wa haki za binadamu wakitetea wanaokabwa,kuporwa,kudhuruliwa ,kutiwa ulemavu nk wao wapo kwa ajili ya watuhumiwa tu inakuaje hiyo?
Bahati mbaya sana haujanielewa na hasara kwa jamii ni kuwa mucus imejaa mu kichwa humo badala ya ubongo halisi
 
Bahati mbaya sana haujanielewa na hasara kwa jamii ni kuwa mucus imejaa mu kichwa humo badala ya ubongo halisi
Hatuwezi kuwaelewa wahalifu kama wewe hao unaowatetea watakwisha kabisa hivi wewe unalaumu polisi kuwa wanaonea ushawahi kulaumu hata kwa uongo hao panya? Si umeona wamebanwa ndio unaleta mba mba mba zako mtakwisha nasema
 
Muhimbili wiki hizi mbili tatu kitengo cha dharura kazi kubwa waliyoifanya ni kupokea maiti zilizopigwa risasi za kichwani. Yaani kila siku maiti zinaletwa kama ndizi.
Safi Sana

Safi Sana

Safi Sana

Safi Sana

Safi Sana

Safi Sana

Safi Sana

Safi Sana

Safi Sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Muhimbili wiki hizi mbili tatu kitengo cha dharura kazi kubwa waliyoifanya ni kupokea maiti zilizopigwa risasi za kichwani. Yaani kila siku maiti zinaletwa kama ndizi.
Kijiweni kunakutesa sana
Amna jema panya wakiwa wanafanya fujo mnalaumu polisi na serikaliii wakiuliwa mnalaumu polisi na serikaliii mnakera sana watu kama nyie na nyie ndo mapanya road wa akili
 
Back
Top Bottom