Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Pombe hii ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.

Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.

Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
DSC_0861.JPG


Wengi wanywaji wa pombe hii ngozi zao zimefifia sana, na kukosa nuru kutokana na kunywa asubuhi hadi usiku

Maduka karibu yote mtaani pamoja na grocery zote zilizopo Arusha na moshi huwezi kosa hii pombe.

Serikali Ipitie upya ubora wa hizi pombe zinazozalishwa nchini maana nyingi hazina viwango vya ubora

========
UPDATE:

Serikali mkoani Kilimanjaro, imechukua hatua haraka, soma: Uzalishaji wa pombe ya Banana wasitishwa kwa kutokidhi viwango vya ubora
 
Pombe ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.

Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.

Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
View attachment 2013026
Hii pombe si inazaliwa kilimanjaro hii? au
 
Pombe ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.

Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.

Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
View attachment 2013026

Wengi wanywaji wa pombe hii ngozi zao zimefifia sana, na kukosa nuru,.

Maduka karibu yote mtaani pamoja na grocery zote zilizopo Arusha na moshi huwezi kosa hii pombe.
Naona unachokoza vijana, kwao hii ni zaidi ya mbususu. Kuliko umpe mabikra kumi, heri umpe banana moja, hii ndo raha yao na huwezi mshawishi kwa lolote ila kwa banana tuuu.
 
Arusha pombe za kienyeji zinawamaliza vijana nilipata fursa ya kutembelea Ngarenaro vijana wadogo sana wanakunywa gongo 24 hrs na hizo banana plus toti za value. Alafu sasa msosi wao niwakugongea kwa masela sio siri tunazidi kupoteza nguvu kazi.
 
Pombe zote zina madhara hasa unywaji wa kupindukia. Tatizo la pombe hizi ni bei zake rahisi na kilevi chake ni juu. Watumiaji wengi hawajali lishe/ hawana uhakika na chakula. Wanaishia kulewa na mwisho kudhoofu....
Wengi wao ni wale wa hali ya chini, na mara nyingi hawali bali chakula Chao huwa ni hiyo pombe ya banana
 
Niliinywa kwa Mara ya kwanza na ya mwisho 1991 pale Ubungo opposite na ofisi za TBS karibu na daraja.
Sitarudia tena
Wanywaji wa hii pombe wengi wao hawataki hata wengine wajue wanainywa, maana wanaona aibu sijui kwanini maana mara nyingi huwekewa kwenye vikombe
 
Viwanda vipo kila mahali Kilimanjaro na Arusha pia, lakini moshi vijijini inanywewa kwa wingi sana.

Madhara yake ni makubwa sana hasa ilo la ku-udhofisha mwili kwa kiasi kikubwa na kuuzesha.
Hizi pombe ambazo hazina viwango zingepigwa tu marufuku maana miaka michache ijayo kutakuwa hakuna nguvu kazi ya kutosha kwa kweli
 
Back
Top Bottom