Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Unywaji wa pombe aina ya Banana inaathiri nguvu kubwa sana ya vijana

Kumbe hizi pombe bado zipo, huku Dar sizioni kabisa
 
Pombe hii ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.

Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.

Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
View attachment 2013026

Wengi wanywaji wa pombe hii ngozi zao zimefifia sana, na kukosa nuru kutokana na kunywa asubuhi hadi usiku

Maduka karibu yote mtaani pamoja na grocery zote zilizopo Arusha na moshi huwezi kosa hii pombe.
Kuna moja inaitwa barabara ya vumbi ni hatari na nusu chupa 300.
 
Me huwa nahisi hii Banana hizo alc percentage zilizoandikwa hapo kwenye chupa sio sahihi huenda zimezidi na TBS labda walihakiki za kwanza kwanza nyingine zinapigwa tu lebo [emoji3][emoji3] maana watu wanaopiga hii mambo ni kama kunywa gongo [emoji3] au kitoko na Double kick wamechoka sana !
 
Acha wanywe mkuu.

Acha wanywe wanaume tubakie wachache tufaidi hawa watoto wazuri.

Mimi nina wanawake kadhaa wake za watu ambao wanaume zao wanaendekeza pombe, nawasaidia kuwazalishia wake zao na wananisaidia kunilelea DNA yangu.

Acha wanywe.
 
Inasikitisha ila walevi wengi huwa hawali misosi,wakishaanza kunywa wao ni kata mti panda mti hakuna anayekumbuka kula.

Hivi Vipombe vidogo vodogo ni hatari ,kuna Double Kick na Burudani vinapendwa sana sababu ya bei rahisi.

Bila kula mwili hauwezi kupata nguvu.
 
Inasikitisha ila walevi wengi huwa hawali misosi,wakishaanza kunywa wao ni kata mti panda mti hakuna anayekumbuka kula.

Hivi Vipombe vidogo vodogo ni hatari ,kuna Double Kick na Burudani vinapendwa sana sababu ya bei rahisi.

Bila kula mwili hauwezi kupata nguvu.
Balaaa linakuja kizazi kijacho. Sahivi kila mtu anaangalia namna ya kujipatia pesa.
 
Back
Top Bottom