Inavunja vunja viungo yaani hutamani kuamka kesho yake. Na Kama ulichukua demu ujue siku hiyo hela yako umekwenda bure.Niliikuta Moro hiyo banana na wanasema inatengenezwa bigwa huko.Basi kila sehemu wanatengeneza hizo pombe. Alafu wanywaji wamechoka mbaya.
Miye sinywi hata kidogo hata hizo bia mkuu.Inavunja vunja viungo yaani hutamani kuamka kesho yake. Na Kama ulichukua demu ujue siku hiyo hela yako umekwenda bure.
Beer tamu wewe. Ila avoid Serengeti Kama una girl friend au mke.Miye sinywi hata kidogo hata hizo bia mkuu.
Bia Tamu ila nimeshindwa aiseee, sijui ni malezi maana ukoo wote hakuna mnywajiBeer tamu wewe. Ila avoid Serengeti Kama una girl friend au mke.
Kuna moja inaitwa barabara ya vumbi ni hatari na nusu chupa 300.Pombe hii ina kiwango cha kilevi asilimia kumi(10%)tu lakini wanywaji wa pombe hii ukiwaona hata kwa macho utajua tu huyu ni wa banana.
Pombe hii imekuwa ikiuzwa kwa bei rahisi tu ya sh 500 ndo mana vijana wengi wanaweza kumudu kuinunua,lakini ulevi wake sio wa kawaida kwani vijana wengi wanaotumia pombe hizo miili yao imechoka choka muda wote na haina nguvu kabisa kwenye kufanya kazi ngumu,.
Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
View attachment 2013026
Wengi wanywaji wa pombe hii ngozi zao zimefifia sana, na kukosa nuru kutokana na kunywa asubuhi hadi usiku
Maduka karibu yote mtaani pamoja na grocery zote zilizopo Arusha na moshi huwezi kosa hii pombe.
Ni Mwanama Kijenge, sio Mwanamama MkuuKiwanda chake Kipo mwanamama Arusha
Vipi performance yao mtanangeni? Wanawafikisha Oldonyo?Yan Arusha ,Mungu awasaidie tu vijana wanakunywa Kama maji na wanazeeka huku wakiwa watoto
Mungu azidi kukubariki kwa kutokunywa pombe. Wengi wetu tungekua mbali sana Kama sio pombe.Bia Tamu ila nimeshindwa aiseee, sijui ni malezi maana ukoo wote hakuna mnywaji
Umenishtuwa mzee. Serengeti vipi tena? Lite au lager?Beer tamu wewe. Ila avoid Serengeti Kama una girl friend au mke.
Hicho Cha kijani wanachopenda wadada wapenda ofa.Umenishtuwa mzee. Serengeti vipi tena? Lite au lager?
Ipo "dengerua" niliinywa pale Dangsi - Tengeru Ilinilaza kwenye shamba la mikahawa usiku kucha inkazinduka alfajiri. Siwezi inkasahau jamani.Siku hizi kuna aina nyingi za pombe na nyingi hazina chapa ya tbs, kuna Moja ilikuwa inaitwa machozi ya simba sijui bado ipo au lah, maana hiyo ilikuwa zaidi ya gongo
Hahaha...Idadi kubwa ya wanywa banana hawaoi na haijulikani kwanini.
Siku ukidakwa na wajuba ndipo utajua na wewe Ni mtamu.Acha wanywe mkuu.
Acha wanywe wanaume tubakie wachache tufaidi hawa watoto wazuri.
Mimi nina wanawake kadhaa wake za watu ambao wanaume zao wanaendekeza pombe, nawasaidia kuwazalishia wake zao na wananisaidia kunilelea DNA yangu.
Acha wanywe.
Balaaa linakuja kizazi kijacho. Sahivi kila mtu anaangalia namna ya kujipatia pesa.Inasikitisha ila walevi wengi huwa hawali misosi,wakishaanza kunywa wao ni kata mti panda mti hakuna anayekumbuka kula.
Hivi Vipombe vidogo vodogo ni hatari ,kuna Double Kick na Burudani vinapendwa sana sababu ya bei rahisi.
Bila kula mwili hauwezi kupata nguvu.