Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Unywaji wa pombe na tatizo la Figo

Umejuaje pombe ndio chanzo?

Vidababishi vingine
-Chumvi kupiga kiasi
-kukaa na mkojo muda mrefu
-energy drink
- High blood pressure
-Drug abuse
-Herbal medicine
-kutokunywa maji Lita 3
-pombe na sigara

Hapo vyote si ishu hapo
Umesahau jambo kubwa ambalo karibu 80% Kwa ambao hawana matatizo yoyote Yale ila FIGO zinafeli ghafra basi ni kutokana
Matumizi yasiyo SAHIHI ya ANTIBIOTIC

AZUMA(Azithromycin)
POWERSELF SINDANO (ceftriaxone)
DOXYCYCLINE(tetracycline)
ZINDOLIN(Ciprofloxacin)

Hizo dawa ndio zinawaondoa VIJANA wengi Kwa FIGO kuferi 7bu ya NGONO zembe DISPENSARY ucharwa za mtaani
kumeza hovyo hovyo unavyofeel dalili za U.T.I
Kuna wengine wanatembea na Ciprofloxacin(ZINDOLIN) au AZUMA mfukoni
Akimaliza kut*mba tu anabwia hiyo midawa

FIGO zitaachaje kufeli
 
Tuishi humo
Screenshot_20240104-194410_Instagram.jpg
 
Kutokunywa maji lita 3 itoe hapo. Hakuna sehemu unatakiwa unywe maji kiasi hicho. Mwili una respond wenyewe unapokuwa na kiu. Unapokuwa na kiu kunywa maji.
Kunywa maji mengi ni kuzichosha figo vile vile na maji yanaondoa mwilini nutrients zingine kama Calciums.
Kunywa maji pale mwili unaporespond uhaba wa maji mwilini kwa kuhisi kiu tu.
Mimi nawashangaa sana hawa wanaoweka idadi ya lita za maji .

Jitu linakunywa maji lita 5 linakojoa muda wote mkojo mweupe alafu anajisifia wakati anachosha figo.
 
Daa tarehe 1 Jan 2024 ilikuwa pigo kwa mshkaji wangu niliyempoteza kutokana na Tatizo la Figo ikiwa ni kutokana na kunywa pombe kupindukia.

Kwa kweli ningekuwa na nguvu ya kumzuia mtu asinywe pombe kupindukia ningefanya, na sijajua kwanini Kuna wimbi la vijana kufeli Figo zao kipindi hiki ilihali zamani ulevi ulikuwepo lakini hakukuwa na shida kama hizi.
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la pombe feki kwa sasa. Hivi sasa ni bora zaidi ukanywa Gongo kuliko St.Anna.
 
Daa tarehe 1 Jan 2024 ilikuwa pigo kwa mshkaji wangu niliyempoteza kutokana na Tatizo la Figo ikiwa ni kutokana na kunywa pombe kupindukia.

Kwa kweli ningekuwa na nguvu ya kumzuia mtu asinywe pombe kupindukia ningefanya, na sijajua kwanini Kuna wimbi la vijana kufeli Figo zao kipindi hiki ilihali zamani ulevi ulikuwepo lakini hakukuwa na shida kama hizi.
Mi kuna jamaa hanywi wala havuti na sio wale watu wa mademu kiivyo lakin Figo zilifeli mkuu. Kama sio kumpata mtu wa kumtolea Figo tena hela zikatoka ilikuwa nitolee hiyo. Wakat tukiwa pale India hospital aisee wabongo wengi wana hilo tatizo sana. Cjui nini kimetokea naambiwa kisukar cjui life style nk
 
Mi kuna jamaa hanywi wala havuti na sio wale watu wa mademu kiivyo lakin Figo zilifeli mkuu. Kama sio kumpata mtu wa kumtolea Figo tena hela zikatoka ilikuwa nitolee hiyo. Wakat tukiwa pale India hospital aisee wabongo wengi wana hilo tatizo sana. Cjui nini kimetokea naambiwa kisukar cjui life style nk
Figo kufel mpaka watoto wanafel ila pombe feki italiongeza tatzo mkuu.
 
Back
Top Bottom