Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Umejuaje pombe ndio chanzo?
Vidababishi vingine
-Chumvi kupiga kiasi
-kukaa na mkojo muda mrefu
-energy drink
- High blood pressure
-Drug abuse
-Herbal medicine
-kutokunywa maji Lita 3
-pombe na sigara
Hapo vyote si ishu hapo
Umesahau jambo kubwa ambalo karibu 80% Kwa ambao hawana matatizo yoyote Yale ila FIGO zinafeli ghafra basi ni kutokana
Matumizi yasiyo SAHIHI ya ANTIBIOTIC
AZUMA(Azithromycin)
POWERSELF SINDANO (ceftriaxone)
DOXYCYCLINE(tetracycline)
ZINDOLIN(Ciprofloxacin)
Hizo dawa ndio zinawaondoa VIJANA wengi Kwa FIGO kuferi 7bu ya NGONO zembe DISPENSARY ucharwa za mtaani
kumeza hovyo hovyo unavyofeel dalili za U.T.I
Kuna wengine wanatembea na Ciprofloxacin(ZINDOLIN) au AZUMA mfukoni
Akimaliza kut*mba tu anabwia hiyo midawa
FIGO zitaachaje kufeli